Dokta Panju wa kipindi cha michezo EFM

kwa kila sampali ya hudumia
 
Wewe ukisikiliza EFM nani ataisikiliza tbc yenu?
 
panju ya panjuaniiiiiiiiiiiiiii katika ubora wake
 
Hakuna mtangazaji wa hovyo kama huyo jamaa kama umewahi kuwasikia wahindi nadhani hana anachofanania wahindi wanalafudhi yao sitakai lakini sio kwa makosa ya herufi anayoyafanya huyo bwana. Kifupi anaboa
mpaka kesho clouds wanamtaka huyo kaa chini utafakari ujinga wako
 
Huenda ni marketing strategy kwenye social media! stuka mzee!
 
Jiunge na group la whatsap la betting lenye members zaidi ya watu 130 upate mikeka ya uhakika na ushauri mzuri kuhusu mechi na company za betting. Kujiunga ni bure na ushauri na mikeka yote ni bure. Linki iyo hapo chini.<br /><br /><br /><br />Betting only
 
Huyu jamaa ni nani ambaye huwa anaongea kama Mhindi? Je ni Maulid Kitenge au Ibrahim Maestro?
Broo hivi efm mwanza inapatikana nawamiss sana hawa jamaa kwa anaejua anijuze pls najua humu kila kitu kinawezekana
 
Huyo jamaa pumba kabisa...anakera na kuboa sana, bora hiyo sehemu wangemwachia wakira....
 
Jamaa ana kipaji cha kuiga pia lafudhi nyingine kama Kisukuma,Kihaya,Kikurya n.k Wakati yupo Magic FM walikua wanamtumia kutengeneza jingle za radio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…