Dola bandia kutoka Korea Kaskazini zilivyosambaa duniani na kutumika kwa zaidi ya 20 bila kujulikana.

Ndio nauliza, ni kwanini isianzishwe? Au huelewi maana ya ‘Kuanzishwa’, jaribu kulegeza ubongo ndugu, usiwe rigid hivyo
Itakuja kuanzishwa huko mbele ya safari wakati wa utawala wa Mpinga Kristo. Wakati huo kutakuwa na sarafu moja na dini moja dunia nzima. Ukitaka kujua kwa undani juu ya haya soma Biblia, Kitabu cha Ufunuo wa Yohana.
 
Safi sana... ikibidi waundiwe kila kitu bandia ili (marekani) ikome kabisa
 
Ndio nauliza, ni kwanini isianzishwe? Au huelewi maana ya ‘Kuanzishwa’, jaribu kulegeza ubongo ndugu, usiwe rigid hivyo
Sio kitu rahisi hivyo.

EU walijaribu na kuna nchi wameanza kujitoa kama UK.

Monetary objectives 3rd world countries ni tofauti na 2nd na 1st world countries.

Spending & investment patterns ni moja ya factors za kutengeneza monetary policies za nchi husika.
 
Uking'amua suala la uchapishaji wa hela, World Bank, IMF, US Dollar, basi unaweza kigundua kuwa, Marekani itaendelea kuwa nchi tajiri miaka na miaka
 
Haya mambo yote ya Centralization yatakuja kuwa history baada ya Cryptocurrencies kumature.
 
Sasa mkuu kama kila mtu akiwa na haki ya kuchapisha hizo dolla si kutatokea anguko la kiuchumi?
 
Haya mambo yote ya Centralization yatakuja kuwa history baada ya Cryptocurrencies kumature.
Unazungumzia crypto ambazo kwa mwezi mmoja tu leading crypto inashuka 50% ya thamani yake. Ni mwaka gani duniani USD iliwahi shuka thamani hata kwa 10% kwa mwezi mmoja.

Hakuna vita, corona inadhibitiwa, hakuna mdororo wa uchumi duniani ila crypto kubwa kina BTC, ETH na Doge zimeshuka 60%, 50% ya thamani kwa mwezi. Nchi gani itumie hela zisizo stable kwenye mzungumzo namna hii.

Labda kuna vitu vibadilike lakini si kwa utaratibu huu.
 
Sasa mkuu kama kila mtu akiwa na haki ya kuchapisha hizo dolla si kutatokea anguko la kiuchumi?
Sio kila mtu, iundwe sarafu ya dunia na isimamiwe na jumuia ya kidunia, mfano Euro kwa Ulaya, sasa iwe sarafu ya kidunia inayosimamiwa si na taifa moja, bali mamlaka ya kidunia itakayoundwa
 
Haya mambo yote ya Centralization yatakuja kuwa history baada ya Cryptocurrencies kumature.
 
Fedha hizo hazikutengenezwa na wahalifu wa kawaida ama mtandao wa wahalifu, lakini zilitengenezwa na serikali ya Korea Kaskazini... Serikali ya Marekani ilisema.
Hapa wanatafuta namna ya kuzichapa.
 
Hii thread ina maana North Korea wana akili sana kutuzidi sisi waafrika hata baadhi ya wazungu.
Wamevumbua hio dolla feki.
Wameweza kuunda mabomu ya nyuklia
Wanaunda IBM(intercontinetl balistic misile, teknolojia hii inawezesha hata kurusha satelite).
Wanarutubisha nyuklia.
Wanajiundia baadhi ya silaha.
Wanafanya biashar za magendo kwenye black markert.
Mabingwa wa ku hack dunuani.
Wanajiundia window kwa kikorea.
Je kuna haki kuiweka Korea na Tanzania kundi moja la nchi masikini?
 
Mmmh ngumu kumeza siamini Kama marekani inaweza ikafikia kiwango hiko cha uzembe
Kwann usiamin mkuu akili uzidiana ebu soma na hii hawa ni wa Ghana wakachakaza wa marekani

 
Kwahiyo wamefanikiwa kuzitokomeza??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…