Dola bilioni 400 ni sawa na shilingi ngapi za kitanzania?

Dola bilioni 400 ni sawa na shilingi ngapi za kitanzania?

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,612
Reaction score
4,721
Dola bilioni 400 ni sawa na shilingi ngapi za kitanzania?
 
hiyo hpo
Screenshot_20210702-120347_1.jpg
 
Wazee wa marketing network washakamata expert member
"Ukileta watu watatu nao wakileta watatu na nao pia wakifanya hivyo basi utaanza kuingiza dollar bilion mia nne kwa mwaka "

toplemon : damn! I'm a billionaire
 
Wazee wa marketing network washakamata expert member
"Ukileta watu watatu nao wakileta watatu na nao pia wakifanya hivyo basi utaanza kuingiza dollar bilion mia nne kwa mwaka "

toplemon : damn! I'm a billionaire
Hahaha hamna kitu km hicho
 
Ebu 923.5/37=24 years
Kweli ni pesa ya mboga
Bajeti ya Tz ya miaka 24
 
hiyo pesa hata Elon Musk hana sijui wewe unaipataje
 
Back
Top Bottom