smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Ndg km ilivo kivhwa cha nabari kwanini hii Dola Mesopotamia yenye nguvu kiuchumi, kijeshi, hivo, ilikuwa haina mpango wa kutwaa nchi za Africa kama sehemu ya Colon lake?
Sifa kubwa ya Waarabu ni waliijua vyema Africa kuliko Wazungu walivo dhani, licha ya kuzunguka miaka 400 Barani humu wakifanya Biashara ya Utumwa, na Pembe? Walijua Dola zipi za kienyeji zilikuwa hazishikiki.
Kinyume na Dola ya Kiislamu kutwaa Bara tajiri sana Duniani, kuanzia watu na vyote vilivyomo! zilikuja nchi za Ulaya zikagawana kiulaini kabisa, wakajikatia mapande as if hakukuwa na watu Barani Africa!
Kumbuka wakati wa kuligawa Africa, hapa kwetu Tanganyika kulikuwa na jumla ya watu laki nne tu (400,000) population wise! nchi km the United KIngdom of the Great Britain, Ufaransa, nk
Hawa walikuwa ni nchi maskini, sometimes kuliko Africa, waliwezaje kuingilia waarabu sehemu yao ya biashara bila kupingwa? Africa tena kiulaini kabisa.
Mpaka leo Ulaya inatawala Africa yote Kisiasa tokea Cairo mpaka Cape town! Mfaransa, na M-U/Kingdom, hawaingiliani, na wameshika Makoloni yao ni si kitoto!
Hili Dola la kiislamu je walikuwa vilaza kiasi kwamba hawakuona fursa, ya Madini na ardhi nzuri? au walipigwa kauzibe?
Je, kule Berlin conference sikuwahi kuona Taifa mojawapo la kiarabu lilioalikwa kuhudhuria! kwa nini? Urusi, Japan, China zilikuwa na nguvu kwa nini hazikualikwa?
Je, tunaweza kupinga maamuzi Batili yaliyotolewa kwenye mkutano ambao hata wawakilishi kutoka Africa hawakuwepo? Maamuzi ambayo mpaka leo yanatuathiri nchi zote za AFRICA kisiasa.
Kwa nini wa-Africa tusiwagomee Weupe? Hakuna kwenda, kula wala kununua kwao! Tupige kimya tu! naamini NGOs, AU, SADDC, ECOWAS nk zote zikiamua kuhamasisha inawezekana!
Sifa kubwa ya Waarabu ni waliijua vyema Africa kuliko Wazungu walivo dhani, licha ya kuzunguka miaka 400 Barani humu wakifanya Biashara ya Utumwa, na Pembe? Walijua Dola zipi za kienyeji zilikuwa hazishikiki.
Kinyume na Dola ya Kiislamu kutwaa Bara tajiri sana Duniani, kuanzia watu na vyote vilivyomo! zilikuja nchi za Ulaya zikagawana kiulaini kabisa, wakajikatia mapande as if hakukuwa na watu Barani Africa!
Kumbuka wakati wa kuligawa Africa, hapa kwetu Tanganyika kulikuwa na jumla ya watu laki nne tu (400,000) population wise! nchi km the United KIngdom of the Great Britain, Ufaransa, nk
Hawa walikuwa ni nchi maskini, sometimes kuliko Africa, waliwezaje kuingilia waarabu sehemu yao ya biashara bila kupingwa? Africa tena kiulaini kabisa.
Mpaka leo Ulaya inatawala Africa yote Kisiasa tokea Cairo mpaka Cape town! Mfaransa, na M-U/Kingdom, hawaingiliani, na wameshika Makoloni yao ni si kitoto!
Hili Dola la kiislamu je walikuwa vilaza kiasi kwamba hawakuona fursa, ya Madini na ardhi nzuri? au walipigwa kauzibe?
Je, kule Berlin conference sikuwahi kuona Taifa mojawapo la kiarabu lilioalikwa kuhudhuria! kwa nini? Urusi, Japan, China zilikuwa na nguvu kwa nini hazikualikwa?
Je, tunaweza kupinga maamuzi Batili yaliyotolewa kwenye mkutano ambao hata wawakilishi kutoka Africa hawakuwepo? Maamuzi ambayo mpaka leo yanatuathiri nchi zote za AFRICA kisiasa.
Kwa nini wa-Africa tusiwagomee Weupe? Hakuna kwenda, kula wala kununua kwao! Tupige kimya tu! naamini NGOs, AU, SADDC, ECOWAS nk zote zikiamua kuhamasisha inawezekana!