Dola ya kale ya Kiislam (Mesopotamia) ilitawala Dunia Takribani miaka 500 na ilikuwa sana, ila ilikuwa na tatizo kubwa moja

Dola ya kale ya Kiislam (Mesopotamia) ilitawala Dunia Takribani miaka 500 na ilikuwa sana, ila ilikuwa na tatizo kubwa moja

Mkuu Elungata niliwahi soma pahala panasema wakati huo! watu walikuwa siyo wengi sana kama ilivo kuwa miaka ya baadaye kidogo! population kubwa ilikuwa Africa kaskazini, Middle East ya leo kwenda mpaka India,hapo ndo ilikuwa Dunia

Ulaya yote ilifunikwa na Barafu, Gracial age in Europe, iltokea polepole Neanderthal -wazungu wakahamia kule na kuzaliana

kwa sababu ya matumizi mabaya ya ardhi na kukata Miti hovyo kulipelekea kutokea jangwa la Sahara, which means hapo palikuwa ni pa kijani, huku kusini mwa Ikweta ilikuwa ni Wanyama wakali tu na watu wa kabila la Wabarbaig/ Khoisan.

kwa mfano leo Bara Antarctica hakuna watu, inawezekana miaka 200 ijayo watu wakaishi. hili unalisemeaje kimfano?
Wakati wa Mesopotamia at least twaweza Seema watu walikuwa bado wachache,lakini enzi za falme Kama Egypt tayari watu walikua wengi na Kuna Hadi mataifa ya eneo Hilo waliunda umoja wa mataifa hayo ambako malalamiko kadhaa ya migogoro ilipelekwa,
Hiyo Ni kwa mashariki ya Kati na North Africa,
Kwa ulaya inataka uanze na story za kina Viking uende unapiga rivasi utaipata picha,
Bara za America ya kusini ndo bado sijagusa history ila haiwezekani ile population mfano Brazil ikose kabida history,
Falme Kama Roman,Mongolia ,Macedonia etc zilitokea kipindi ambacho dunia imeshakuwa na population ya kutosha tu,
Mfano hata Rome ukiangalia ramani yake haikucover dunia yote achilia mbali Europe yote,kulikua na tawala Germany,France na kwingineko
 
Alipofika Rome alikutana na upinzani gani ?
Majeshi ya Kiislamu yakiongozwa na Mohammad Abdul Abbas yalitokea Centumcellae kuelekea Rome, yalishindwa kusonga mbele kirahis ili kishambulia St's Peters Basillica ajili ya Aurelian Wall, hivyo wakawa target ya adui.

Bila ajizi jeshi la kutoka Spelleto likiongozwa na mwana mfalme Lombard Duke Guy aliwabananisha majeshi ya waislam kwenye ukuta, wakati Mashua zao zikipigwa na Dhoruba Baharini, mahiti zikatupwa baharini, kuelekea ufukweni

Baada ya hapa wakaelekea kusini Mjini Gaeta vita ikaanza upya! Waislamu walisha kufa moyo na Merikeb zao za akiba na chakula ziliharibiwa vibaya sana, wakawa hawana jinsi ila kusalim amri. Huu ukuta upo mpaka leo.
800px-Torre_Giovanni_Giardini_Vaticani_20110705.jpg
 
Nimekupata vema sana. Ili tuendelee tunahitaji wawekezaji wengi kutoka ulaya walete mitaji na technology

Kwahiyo tulivyopata UHURU mwaka 1961 tungewaacha wazungu waendelee kuendesha Mashamba/kilimo, viwanda na masoko kwa sasa tungekuwa mbali kiuchumi kama nchi.

Sent using Fly in any Weather.
Sasa mwaka 1961 kuna Mswahili gani alikuwa na uzoefu wa kuendesha mashamba au miradi ya uzalishaji. Tulitafuta sifa badala ya maendeleo kitu ambacho kinatuumiza hadi leo. Sifa hazina faida yoyote, maendeleo hata kama sio yako lakini kuna namna yanakusaidia.

Ukikaa Masaki hata kama huna jumba la kifahari, utafanyia watu kazi kwa malipo ya maana, utapata ulinzi wa uhakika, barabara ni safi, ambulance ukiita inakuja muda huo, umeme ukikatika TANESCO wanakimbizana.
Hivyo vyote ni kwa ajili wa watu wa kipato cha juu na wageni wanaoishi uko lakini hata mtu duni ambaye hata wazungu hawajui kama yupo naye anafaidika.
 
Nimekupata vema sana. Ili tuendelee tunahitaji wawekezaji wengi kutoka ulaya walete mitaji na technology

Kwahiyo tulivyopata UHURU mwaka 1961 tungewaacha wazungu waendelee kuendesha Mashamba/kilimo, viwanda na masoko kwa sasa tungekuwa mbali kiuchumi kama nchi.

Sent using Fly in any Weather.
Sawa kwa hiyo tuna hitaajiana
 
Sasa mwaka 1961 kuna Mswahili gani alikuwa na uzoefu wa kuendesha mashamba au miradi ya uzalishaji. Tulitafuta sifa badala ya maendeleo kitu ambacho kinatuumiza hadi leo. Sifa hazina faida yoyote, maendeleo hata kama sio yako lakini kuna namna yanakusaidia.

Ukikaa Masaki hata kama huna jumba la kifahari, utafanyia watu kazi kwa malipo ya maana, utapata ulinzi wa uhakika, barabara ni safi, ambulance ukiita inakuja muda huo, umeme ukikatika TANESCO wanakimbizana.
Hivyo vyote ni kwa ajili wa watu wa kipato cha juu na wageni wanaoishi uko lakini hata mtu duni ambaye hata wazungu hawajui kama yupo naye anafaidika.
Bonge la fact

Zoë the bosslady in town
 
Majeshi ya Kiislamu yakiongozwa na Mohammad Abdul Abbas yalitokea Centumcellae kuelekea Rome, yalishindwa kusonga mbele kirahis ili kishambulia St's Peters Basillica ajili ya Aurelian Wall, hivyo wakawa target ya adui.

Bila ajizi jeshi la kutoka Spelleto likiongozwa na mwana mfalme Lombard Duke Guy aliwabananisha majeshi ya waislam kwenye ukuta, wakati Mashua zao zikipigwa na Dhoruba Baharini, mahiti zikatupwa baharini, kuelekea ufukweni

Baada ya hapa wakaelekea kusini Mjini Gaeta vita ikaanza upya! Waislamu walisha kufa moyo na Merikeb zao za akiba na chakula ziliharibiwa vibaya sana, wakawa hawana jinsi ila kusalim amri. Huu ukuta upo mpaka leo.View attachment 1423872
Hii unaongelea ottoman empire expansion into Europe au Ni Hawa walioongozwa na muawia?
 
Ndg km ilivo kivhwa cha nabari kwanini hii Dola Mesopotamia yenye nguvu kiuchumi, kijeshi, hivo, ilikuwa haina mpango wa kutwaa nchi za Africa kama sehemu ya Colon lake?

Sifa kubwa ya Waarabu ni waliijua vyema Africa kuliko Wazungu walivo dhani, licha ya kuzunguka miaka 400 Barani humu wakifanya Biashara ya Utumwa, na Pembe? Walijua Dola zipi za kienyeji zilikuwa hazishikiki.

Kinyume na Dola ya Kiislamu kutwaa Bara tajiri sana Duniani, kuanzia watu na vyote vilivyomo! zilikuja nchi za Ulaya zikagawana kiulaini kabisa, wakajikatia mapande as if hakukuwa na watu Barani Africa!

Kumbuka wakati wa kuligawa Africa, hapa kwetu Tanganyika kulikuwa na jumla ya watu laki nne tu (400,000) population wise! nchi km the United KIngdom of the Great Britain, Ufaransa, nk

Hawa walikuwa ni nchi maskini, sometimes kuliko Africa, waliwezaje kuingilia waarabu sehemu yao ya biashara bila kupingwa? Africa tena kiulaini kabisa.

Mpaka leo Ulaya inatawala Africa yote Kisiasa tokea Cairo mpaka Cape town! Mfaransa, na M-U/Kingdom, hawaingiliani, na wameshika Makoloni yao ni si kitoto!

Hili Dola la kiislamu je walikuwa vilaza kiasi kwamba hawakuona fursa, ya Madini na ardhi nzuri? au walipigwa kauzibe?

Je, kule Berlin conference sikuwahi kuona Taifa mojawapo la kiarabu lilioalikwa kuhudhuria! kwa nini? Urusi, Japan, China zilikuwa na nguvu kwa nini hazikualikwa?

Je, tunaweza kupinga maamuzi Batili yaliyotolewa kwenye mkutano ambao hata wawakilishi kutoka Africa hawakuwepo? Maamuzi ambayo mpaka leo yanatuathiri nchi zote za AFRICA kisiasa.

Kwa nini wa-Africa tusiwagomee Weupe? Hakuna kwenda, kula wala kununua kwao! Tupige kimya tu! naamini NGOs, AU, SADDC, ECOWAS nk zote zikiamua kuhamasisha inawezekana!
Hapa kijana nahisi kama umebugiiiii kwenye historia. Kama haujabugi basi unakiri kuwa Uislam ulikuwepo miaka 7500 BC (kabla ya ujio wa Kristo), ndipo historia ya awali ya Mesopotamia ilipoandikwa.

Kama sivyo hebu tufahamishe mtawala wa hiyo "Dola ya aKiislam ya Mesopatamia" alikuwa nani?
 
Hii unaongelea ottoman empire expansion into Europe au Ni Hawa walioongozwa na muawia?
Yes ndiyo namjibu muuliza swali, of course Rome iko Europe, Greece pia. nchi yeyote iliyosalimu amri ilibadilishwa na kuwa ya kiislam kwa hiyo wat km hawa wazee wa dini walifuata kuhubiri uislam!

Mu'awiyah's alikuwa political relious wa kalifu, na Gavana wa jimbo fulani , if my Memories serve me well hakuwahi kuongoza Majeshi- Mercenaries, zaidi alipanda kwenye Millitary career na kuwa Kiongozi wa Ummah!
 
Hapa kijana nahisi kama umebugiiiii kwenye historia. Kama haujabugi basi unakiri kuwa Uislam ulikuwepo miaka 7500 BC (kabla ya ujio wa Kristo), ndipo historia ya awali ya Mesopotamia ilipoandikwa.

Kama sivyo hebu tufahamishe mtawala wa hiyo "Dola ya aKiislam ya Mesopatamia" alikuwa nani?
Kweli nakiri nimebugi sehemu hasa kutofautisha kati ya Mesopotamia na Ottoman Empire Naomba mniwie radhi lkn baadhi wamenielewa! mambo yamepandana!
 
Yes ndiyo namjibu muuliza swali, of course Rome iko Europe, Greece pia. nchi yeyote iliyosalimu amri ilibadilishwa na kuwa ya kiislam kwa hiyo wat km hawa wazee wa dini walifuata kuhubiri uislam!

Mu'awiyah's alikuwa political relious wa kalifu, na Gavana wa jimbo fulani , if my Memories serve me well hakuwahi kuongoza Majeshi- Mercenaries, zaidi alipanda kwenye Millitary career na kuwa Kiongozi wa Ummah!
Muawia bin Abu sufiyan alikuwa kiongozi wa umayyah empire,kabla alikuwa gavana Jimbo la syria
 
Hapa kijana nahisi kama umebugiiiii kwenye historia. Kama haujabugi basi unakiri kuwa Uislam ulikuwepo miaka 7500 BC (kabla ya ujio wa Kristo), ndipo historia ya awali ya Mesopotamia ilipoandikwa.

Kama sivyo hebu tufahamishe mtawala wa hiyo "Dola ya aKiislam ya Mesopatamia" alikuwa nani?
Uislam ulikuja baada ya Kristu. Ulianzishwa na waroma.

Hiyo ni fact

Zoë the bosslady in town
 
Una ushahidi zaidi au nje ya Quran yako kwamba uislamu ulikuwepo 7500BC?
Nafahamu huzikubali hadithi za mtume.
Hapa kijana nahisi kama umebugiiiii kwenye historia. Kama haujabugi basi unakiri kuwa Uislam ulikuwepo miaka 7500 BC (kabla ya ujio wa Kristo), ndipo historia ya awali ya Mesopotamia ilipoandikwa.

Kama sivyo hebu tufahamishe mtawala wa hiyo "Dola ya aKiislam ya Mesopatamia" alikuwa nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mesopotamia haijawahi kuwa dola ya kiislamu,Wala haikuwahi kutawala dunia,Mesopotamia Ni dola ilikuwepo kabla haijameguka kuwa Asyria na Babylon,kabla ya Hapo kulikuwa na Akkadian na Hurian
Mleta mada amepotea kwenye Mesopotamia. Anazungumzia uislam miaka 300 na ushehe baada ya Christy. Mesopotamia ilikuwepo kabla ya Yesu kutabiliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nafikili ile berlin conference ndo imetufikisha hapa tulipo. Lengo la kile kikao ilikua ni kumfanya mwafrika awe mtumwa wa milele .matatizo tunayopata waafrika yote ni matunda ya kile kikao.

Ni vizuri tukajiangalia wenyewe kwanza. Kitu cha kwanza kujiuliza, ni kwanini wao walikuwa wameshaendelea na kuwa organised mpaka kukaa kutujadili watugawaneje kwa maslahi yao wakati sisi hatujitambui. Je, kwanini sisi hatukufanya hivyo ili tukawatawale wao? Tatizo ni la kwetu
 
Una ushahidi zaidi au nje ya Quran yako kwamba uislamu ulikuwepo 7500BC?
Nafahamu huzikubali hadithi za mtume.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kabla hujaenda huko jifundishe kuelewa unachokisoma. Anza kwa kusoma kichwa cha habari cha mleta halafu ujibu mswali niliyomuuliza.

Unaweza pia.kusaidia kujibu "Dola ya Mesopotamia ya Kiislam ilikuwepo lini na mtawala alikuwa nani".

Huelewi unachokisoma? Nimeuliza maswali halafu unataka niyajibu mimi badqla ya kumumshinikizq.mlwta mada atajibu au wewe umsaidie.


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga au ujinga upo kwenye genes zako?
 
Mwislam hajawahi kuitawala dunia
Wala hakuna Muislam mwenye haja ya kuitawala dunia. Muislam gani anaetaka kutawala sehemu ambyo mungu wake ni shetani? Kwa mujibu wa biblia mungu wa dunia ni shetani!
 
Mesopotamia haijawahi kuwa dola ya kiislamu,Wala haikuwahi kutawala dunia,Mesopotamia Ni dola ilikuwepo kabla haijameguka kuwa Asyria na Babylon,kabla ya Hapo kulikuwa na Akkadian na Hurian
Ni wazi kuwa mleta mada haelewi anachokiandika.Yeye mradi kaokoteza kaandika na kaleta mada JF, hata haelewi anachokifanya. Halafu utakuta huyo ndiyo msomi wa chuo kikuu na yeye ni Mwalimu anafundisha tena kwa.mbwembwe kweli kweli.

Huku kama si kujaza watu ujinga ni nini jamani? Na wengi wanaojibu humu wanakubaliana nae tu, hata hawaelewi wanachokisoma. Majanga!

Elimu yetu ipo mashakani. Hili ni janga kwa taifa kuliko corona.

cc: smaki
 
View attachment 1423632Tena alikuwa mshindi kweli kweli vita, Pande za Ulaya ya Kusini, akazibidilsha nchi za ukanda huo kufuata imani za kiislam, akafanikiwa, ngoma ilikuwa nzito alipofika Rome! rejea During Islamic Golden age!
Post yako hii inahusiana nini na post yako mamba moja ma bichwa lako la habari?
 
Uislam ulikuja baada ya Kristu. Ulianzishwa na waroma.

Hiyo ni fact

Zoë the bosslady in town

Ingawa hata maana ya Uislam hauifahamu lakini nnakushauri
Msome vizuri mleta mada halafu shindana nae, sikuyaleta mimi hayo ya "Mesopotamia" kuwa "Dola ya Kiislam' nisome vizuri, nimeuliza maswali.
 
Back
Top Bottom