Dola ya wachaga kabla ya uhuru

Mimi kunaswali mmoja nimekuwa nikijiuliza mara nyingi na mpaka leo sijapata majibu yake, ila naweza pata hapa leo majibu haya!

Hivi wanaojiita wachaga ni kabila moja! na kama ni kabila moja inakuwaje kwa mfano lugha ya mchaga wa machame hailewi mchaga wa Rombo!, kwa ufahamu wangu mimi, watu wa kabila moja lazima wasikilizane, sasa hawa wananichanganya kidogo, au yalikuwa makabila tofauti mtu mmoja au wachache wakafanya jitihada za kuwaunganisha hawa watu na kuwa kabila mmoja ili kutimiza adhma fulani?

Wanaojua jambo hili wanisaidie, niwaombe wachaga msiojua chochote kama mimi kuhusu hili subirini tujifunze wote kwa wachaga wenzenu wanaojua!
Asante.
 
Tufafanulie hapo pa watu wa system kuuwa vyama vya ushirika tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama leo kungekuwa na hiyo dola basi ingekuwa ni moja ya nchi maskini sana Duniani..
Mzee unafeli sana.....Kilimanjaro Kingdoms zina special connection Mombasa na Tanga over the centuries..

Kuna handaki/pango underground kutoka Taveta/Rongai mpaka Mombasa kwenye maji na hili ni la centuries.

Hata kama ingekua ni landlocked 100%,nchi ngapi zipo landlocked ni developed?Rwanda,Uganda,etc..

Ni landlocked, Ingekuwa ni nchi ya watu wajinga kuliko wotw, ingekuwa imejaa vita na vurugu za wenyewe wenyewe

Shule na vyuo vipo Moshi tangu 1800's,acha vituko mzee!
 
Haya mnayasema kwa sababu ya Neema ya Tanzania...
 
Brilliant
 
hii umekopy wapi... coz hapo mwishoni unamalizani "PICHANI NI WAGOMBEA WATATU KATI WA WATANO...." lakini hakuna picha.. copy nad paste ndio shider ya wasomi wetu
 
Haya mnayasema kwa sababu ya Neema ya Tanzania...

Mkuu ni kama una chuki na hawa watu.....

Historia aliyotoa ni kabla ya uhuru 1961,sasa sijui unaiunga vipi na current years?

Kila mtu ana heritage yake,yeye katoa ya kwao,sio kwamba akisema kwao pazuri kwako ni pabaya!

Be cool and proud with your heritage...usiwe na chuki bro!

Kama una hoja au una fact toa,sio unakua hater na heritage za watu!

Heritage ni yake,sasa sijui wewe kinakuuma nini?

Na wewe una heritage yako,let everyone of you be happy with your heritages!

These are just histories tu ancestors zake walifanya...sasa sijui unaumia nini?

Watu mna kazi sana!
 
Sina chuki na wachagga, ila ni kweli Wachaga wasingeweza kuwa nchi nje ya Tanganyika
 
Sina chuki na wachagga, ila ni kweli Wachaga wasingeweza kuwa nchi nje ya Tanganyika

Ni sawa,ni wazo lako...tayari ni wishful thinking....

Wenyewe wanaona wangeweza..

Sasa wote mpo entitled with your opinions...

Ila kwa kuwacheck,as per stats,walikua ahead kabla ya 1961...na as of now,jamii yao imeendelea as per stats....This is a FACT!

Sasa,as per my own choice and opinion kati ya hypothesis yao na yako,kura yangu nawapa wao zaidi kuliko wewe kua wangeweza nje ya Tanganyika!

Sijui wewe una stats zipi kunishawishi ku-support your hypothesis?
 
Nyongeza kutoka kwa Kaka Aggrey Marealle kuhusu dola ya Wachagga.
_________________________________

Kila kijiji kilikua na kiongozi (village headman) ambaye alitambulika kama "Mchili". Jumla ya vijiji katika dola ya wachagga vilikua 113. Juu yao kulikua na wamangi (Area Chiefs). Mfano Mangi Sina wa Kibosho, Mangi Salakana wa Useri, Mangi Sabas wa Uru, Mangi Meli wa Old Moshi etc. Jumla yao walikua 17.

Juu yao kulikua na Mangi waitori (Divisional chiefs). Hawa walikua watatu tu kiutawala. John Maruma aliyekuwa Mangi Mwitori wa Rombo, Petro Itosi Marealle Mangi Mwitori wa Vunjo, na Abdieli Shangali Mangi Mwitori wa Hai (Machame).
_
Kila Mwitori alikua na wamangi watano hadi sita chini yake. Na kila Mangi alikua na wachili kadhaa chini yake. Wote hawa walikua chini ya mangi mkuu Thomas Marealle. (Mchili aliripoti kwa Mangi, Mangi aliripoti kwa Mangi Mwitori, na Mangi Mwitori aliripoti kwa Mangi Mkuu).
_
Pichani Mangi Mkuu Thomas Marealle akiwa na binti mfalme, Princess Margaret, October 19 mwaka 1956, wakati Princess Margaret alipomtembelea Ikulu mjini Moshi.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa wana ujasiri na uthubutu sana
 
Kama leo kungekuwa na hiyo dola basi ingekuwa ni moja ya nchi maskini sana Duniani..
Ni landlocked, Ingekuwa ni nchi ya watu wajinga kuliko wotw, ingekuwa imejaa vita na vurugu za wenyewe wenyewe
Aliyekudanganya nani?umeshawahi kumsikia mchagha akilia lia apate mali za urithi,kama wewe unakaa mjini na siyo kijijini umeshawahi kumuona mchagha ktk hawa wanaookota makopo ya maji wakauze wapate hela za kuvuta cocaine etc?umeshawahi kumuona mwanamke wa kichagha akipitia maduka ya wahindi na waarabu kila ijumaa akiomba omba Tsh 100/200?

Hi ni jamii iliyo active kushinda chochote Mchagha std 7 anamshinda akili Mgogo mwenye degree kichwani.Tena wagekuwa smart kuliko unavyofikiria wewe,by the way ka-google top ten most famous African tribes upate jibu maana nikiandika hapa utasema natetea visivyokuwepo.
 
 
Tribe : chagga
Sub tribe: machame, marangu,kibosho , siha etc
Clans: Masawe, mushi, lema,marealle etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…