Dola ya wachaga kabla ya uhuru

Hapo hapo nikuulize mkuu.

Watusi na wahutu ni makabila mawili tofauti sio mkuu?

Iweje sasa hao wote wanatumia lugha moja lkn wanakuaje ni makabila mawili tofauti?
 
Hapo hapo nikuulize mkuu.

Watusi na wahutu ni makabila mawili tofauti sio mkuu?

Iweje sasa hao wote wanatumia lugha moja lkn wanakuaje ni makabila mawili tofauti?

Hahahaha, tumalizane na hili la wachaga kwanza, tukimaliza tutahamia na kwa hao wengine nao watuambie ilikuwaje ila sijui kama wako humu jukwaani!
 
Hapo kwa kukusaidia tu soma ukurasa wa77 kipengele cha conclusion na recommendation ya research utapata jibu la swali lako, hizo theory zako za kitoto kibaki huko huko vijiweni na siyo huku jukwaani[emoji41][emoji41]

Nimeshindwa upload hiyo document ile link yake hii hapo https://www.researchgate.net/public...eople_in_Kilimanjaro_Region_Tanzania/downloadView attachment TheSourceofLanguageVariationamongChaggapeople.pdf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A
Akasome vizuri the interim constitution ya 1965
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…