Dola ya wachaga kabla ya uhuru

Dola ya wachaga kabla ya uhuru

Kipengele kinachonichekesha ni kwamba Alimpa ushirikiano nyerere kwenye harakati za kudai uhuru. Hilo sio kweli hata kidogo hawa wajamaa ni wabinafsi toka zama. Shukrani kwa Nyerere kwa kuondoa matabaka hawa jamaa wangekabidhiwa nchi tungeona maajabu i swear

Sent using Jamii Forums mobile app
Mangi alikosea sana. Alitakiwa akomae Chagaland iwe nchi huru. Hakukuwa na sababu ya kujiunga na Jamhuri ya Wadanganyika
 
Asante kwa historia nzuri. Picha mbona hujaonyesha ya hao ma mangi? Kuna utafiti mmoja unaelezea koo za wachagga nilikuwa nao in pdf nikapoteza nikifanikiwa kuupata nitauleta hapa.
 
Duh kwakweli wachaga wapo smart tangu zamani sijui ni kwann watu Wana chuki na watu Hawa
kumbe maendeleo tunayoyaona uchagani yaliasisiwa kitambo
mangi mareale alikuwa moja ya watz 2 kuwa na Masters ya uchumi kabla ya Uhuru,pia walikuwepo wasomi kadhaa include Dr kleruu,nsilo swai etc
jeshini ndio usiseme Vita ya kagera waliokuwa viongoz wa vikosi wengi walikuwa Chagas na pares
example mej jenerali tumainiel kiwelu,Imran kombe, Kimario,brigedia general Benjamin msuya etc
Mungu aendelee kuibariki Kilimanjaro
britanicca
Come27
tinkanyarwele
instanbul
Sky Eclat
Rweye
Frank Wanjiru
chuma cha mjerumani
Otorong'ong'o
Upepo wa Pesa
sikongefdc
last king of uscoch
MBIIRWA
 
Ingawa sisi ni makabila mengine tukubaki tu kwamba wachagga wametutangulia; tuna mengi sana ya kujifunza toka kwao.

Mfano mdogo tu miaka ya 80 wao walikuwa na Sec karibu kila kata tayari, tena zenye ubora wakati huo huku kwingine yalikuwa majanga matupu.
 
DOLA YA WACHAGGA MIAKA MICHACHE KABLA YA UHURU.

By Malisa GJ,

Wakati wazungu wanagawana bara la Afrika, walipokuja walikuta baadhi ya maeneo kuna tawala zenye nguvu, zilizokua na mfumo rasmi wa uongozi. Wao waliziita tawala za jadi (Chiefdoms).

Moja ya tawala iliyokua na nguvu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki ni dola ya wachagga (Chagga state). Zilikuwepo nyingine zenye nguvu kama Himaya ya Sultani wa Zanzibar, Dola ya Buganda, Nyamwezi, Ngoni, Haya, Hutu, Tutsi, Hehe, etc.

Dola ya wachagga imetamalaki eneo la pembezoni mwa mlima Kilimanjaro kuanzia maeneo ya Rongai hadi Siha.

Eneo hili lilikua na mtawala mkuu mmoja (aliyeitwa Mangi Mkuu). Huyu alikua kama Rais ama Mfalme wa jamii hiyo. Chini yake walikuwepo watawala wakuu wawakilishi wa majimbo. Hawa waliitwa 'Mangi Waitori'. Chini yao walikuwepo watawala wa wa maeneo madogo, hawa waliitwa Mangi kama vile Mangi Meli wa Old Moshi, Mangi Sina wa Kibosho, Mangi Salakana wa Useri etc.

Kwa mfano eneo kama Rombo lilikuwa na Mangi wengi. Alikuwepo Mangi wa Keni, Mangi wa Mashati, Mangi wa Mengwe etc. Lakini wote waliunganishwa na Mangi Mwitori wa Rombo. Vivyo hivyo katika maeneo ya Kibosho, Machame, Siha, Old Moshi, Marangu etc.

Mangi mdogo aliripoti kwa Mangi Mwitori. Mangi Mwitori naye aliripoti kwa Mangi Mkuu aliyeunganisha wachagga wote.

Kwa mfano kufikia mwaka 1953 Mangi Mwitori wa Vunjo alikua Petro Itosi Marealle, Mangi Mwitori wa Hai alikua Abdiel Shangali, Mangi Mwitori wa Rombo alikua James Selengia Kinabo kabla ya kustaafu mwaka 1952 na John Maruma kuchukua nafasi yake.

Mangi Mwitori alichaguliwa na wamangi wadogo. Kisha wamangi wadogo na wamangi waitori waliunda baraza kuu la uongozi (Supreme council) ambalo lilimchagua Mangi Mkuu.

January 1952 kulifanyika uchaguzi wa kumchagua Mangi Mkuu wa Wachagga. Wagombea walikua watano. Abdieli Shangali wa Machame, Jackson Kitali wa Mbokomu (Old Moshi), Petro Marealle wa Vunjo, John Maruma wa Rombo, na Thomas Marealle wa Marangu.

Baada ya kila mgombea kunadi sera zake, hatimaye kura zilipigwa na Mangi Thomas Marealle kutangazwa mshindi, akifuatiwa kwa mbali na ndugu yake Mangi Petro Itosi Marealle, aliyekuwa Mangi Mwitori wa Vunjo.

Mangi Mkuu ndiye aliyekuwa Kiongozi mkuu wa dola ya wachagga. Baraza la uongozi (Supreme council) ndicho kilikua chombo cha juu kinachosimamia utendaji wa serikali.

Kwahiyo Mangi mkuu alijitahidi sana kushirikiana mangi waitori na mangi wadogo kuhakikisha jamii nzima ya wachagga inajiletea maendeleo.

Kila Mangi alikua na baraza lake la ushauri lililojulikana kama 'baraza la wachili', ambalo lilifanya kazi kama baraza la mawaziri kwa sasa.

Ushirikiano huu ulifanya dola ya Wachagga kupiga hatua kubwa kimaendeleo kuliko jamii nyingi za wakati huo.

Kwa mfano kufikia mwaka 1920 dola ya wachagga ilikua ya kwanza kwenye ukanda wa Afrika Mashariki kuanzisha na kumiliki gazeti lake (Komkya). Miaka 10 baadae dola ya Buganda (Buganda Kingdom) nayo ilianzisha gazeti lake (Buruuli) na mwaka 1940 Himaya ya Sultani wa Zanzibar (Zanzibar Sultanate) nayo ikaanzisha jarida lake (Imperial).

Si hivyo tu, huduma za maji, umeme, miundombinu ya barabara, hospitali na shule vilifika mapema kulinganisha na maeneo mengine ya nchi. Ikulu ya kisasa ya Mangi Mkuu wa wachagga, iliyojengwa karibu miaka 100 iliyopita ndiyo inayotumika hadi sasa kama Ikulu ndogo ya Rais kwa mkoa wa Kilimanjaro.

Zilizokuwa ofisi za watendaji wa serikali ya Mangi mkuu (eneo la KDC Moshi) ndio ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Moshi kwa sasa.

Maendeleo haya na mengine mengi, wachagga waliamini yalitokana na elimu. Kwahiyo mwamko wa elimu ulikua mkubwa hasa baada ya wamisionari kujenga shule na huduma za afya kila walipojenga kanisa. Vitu hivi vitatu viliambatana. Kanisa, Shule, na Kituo cha afya.

Kwahiyo hata kwenye kuchagua viongozi, yule aliyekuwa na elimu nzuri ndiye aliyepewa nafasi kubwa ya kushinda ikiaminika kwamba elimu yake itachochea kasi ya maendeleo. Na hii ni moja ya sababu iliyomfanya Thomas Marealle kushinda kiti cha umangi mkuu mwaka 1952, kwani kati ya wagombea wote yeye ndiye aliyekua na shahada ya uzamili (masters degree) kwa wakati huo.

Kabla ya uhuru kulikua wachumi wawili tu wazawa ambao ni Thomas Marealle na mzee Fredrick Mchauru ambaye walisoma pamoja London School of Economics, kabla ya Marealle kupata ufadhili Cambridge University (Trinity College).

Iliaminika pia kwamba Uingereza ilitaka dola ya wachagga ijitenge kutoka Tanganyika na itafute uhuru wake yenyewe, kama Rwanda na Burundi zilivyojitenga kutoka Tanganyika baada ya vita vya kwanza vya dunia, wakati huo zikiitwa Ruanda-Urundi.

Hata hivyo mpango huo ulishindikana kwa kuwa Tanganyika ilikua 'Trusteeship colony' ya Umoja wa mataifa, na Uingereza alikabidhiwa tu aisimamie hadi iweze kujitawala. Kwahiyo hoja ya Muingereza ilitupwa kwa maelezo kwamba wakati wa kugawanya bara la Afrika pale Berlin mwaka 1984/85 hakuna nchi inayoitwa 'Chagga state' iliyogawanywa. Hivyo uhuru unaopaswa kuwa wa Tanganyika kwa ujumla na sio wa jamii moja moja.

Baada ya jaribio hilo kushindwa, inadaiwa shirika la ujasusi la Uingereza (M16) lilimpendekeza Mangi Thomas Mareale kuwa Rais wa kwanza wa Tanganyika baada ya uhuru.

Katika moja ya barua za Richard Turnbull (Gavana wa mwisho wa Uingereza) kwenda kwa shirika la ujasusi la nchi hiyo (M16) ilieleza mapendekezo hayo kwa Thomas Mareale.

Sehemu ya nyaraka hiyo iliyoandikwa mwaka 1958 ilisema 'I consider Thomas Marreale an outstanding Chagga leader. I dont know him personally but he would be the leader of Tanganyika if British had to leave. However he lack support from other tribes'

Turnbull alikua akiwaelezea M16 kuhusu Mangi Thomas Marealle na umahiri wake katika uongozi. Hata hivyo alionesha hofu kuwa Marealle hakuwa na ushawishi mkubwa kwa makabila mengine nje ya wachagga.

Na hii ni moja ya hofu kubwa aliyokua nayo Mwalimu Nyerere wakati wa kudai uhuru. Alipofika uchaggani alikuta dola ya wachagga ina mamlaka kamili. Ilikua na 'well defined leadership structure', bendera yake, wimbo wake, na askari wake.

Nyerere alisema ili Tanganyika iwe uhuru lazima dola ya wachagga ife kwanza, kwa sababu hatuwezi kuwa na taifa moja ndani ya taifa jingine. Mwaka 1961 Nyerere aliagiza bendera ya Tanganyika isipandishwe kabla bendera ya wachagga haijashushwa kwanza. Tarehe 8 December 1961 saa 5 usiku bendera ya wachagga ilishushwa katika Ikulu ndogo ya Moshi, na muda mfupi baadae (saa 6 usiku, December 9) bendera ya Tanganyika ikapandishwa.

Hata hivyo hofu ya Nyerere haikua na mashiko kwa sababu Mareale mwenyewe alimpa ushirikiano mkubwa wakati wa kudai Uhuru. Na ili kuonesha kwamba hakuwa na mpango wowote wa kumhujumu, aliamua kujiuzulu nafasi yake ya umangi mkuu mwaka 1960, na kuruhusu askari wake kujiunga na jeshi la Tanganyika.

Pichani ni wagombea watatu kati ya watano walioshiriki uchaguzi wa Mangi Mkuu mwaka 1952. Kutoka kushoto ni Mangi Thomas Mareale aliyeshinda uchaguzi huo), Mangi John Maruma (Mangi Mwitori wa Rombo), na Abdieli Shangali (Mangi Mwitori wa Machame).

Malisa GJ
01/01/2019
Moshi.!

Sent using Jamii Forums mobile app
Najuwa wenye chuki watakosoa kwa hila zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie huyo mwandishi akajifunze vizuri.
1. Shirika la Ujasusi la Uingereza haliitwi M16 bali ni MI6. Nilidhani ni suala la typo tu lakini kinyume chake naona amerudia makosa yake tena na tena na kuleta maana kuwa kumbe si makosa bali ndiyo uelewa wake.
2. Wachaga si kabila pekee ambalo lilikua limeji establish kwa maana inayosimuliwa, kinachoonekana hapa ni wachaga kuomboleza na kuikumbuka historia ya hali ilivyokuwa miaka ile. Kuna sababu ya kilio chao cha hivi sasa wanapokazana kusimulia historia yao lakini miaka mingine iliyopita hakukuwa na kelele za wachaga kukazana kuandika kama sasa.

3. Kuna story nyingi za kuunga unga ili kuonekana wachaga walikua wanabembelezwa hado kushusha bendera yao ili ya Tanganyika ipande kitu ambacho si kweli.
4. Chief Doms ziliuawa.na hili ni kwa nchi nzima wala hakuna swala la Mangi Mkuu kijiuzuru ili kumpisha Nyerere aongoze. Alijiuzuru sababu hizo Chief Doms ziliachwa bila ya power yoyote ile kimaamuzi. Ndipo wakaleta janja nyingine za kuibukia kwenye vyama vya ushirika navyo wakatumwa watu wa system kwenda kuviua.

Msitake kupotosha watu kwa mambo ambayo hayakuwahi kuwepo.
Wanamaliziamalizia kunywa mbege kabla ya kuanza safari ya kutoka Moshi.

Huu uzi umeanzia whatsapp, ni katika kuendeleza ile spirit ya nyumbani ndio maana wanakumbushana historia.

Sio ajabu mwakani tarehe kama hizi huu uzi ukasambazwa tena.
 
DOLA YA WACHAGGA MIAKA MICHACHE KABLA YA UHURU.

By Malisa GJ,

Wakati wazungu wanagawana bara la Afrika, walipokuja walikuta baadhi ya maeneo kuna tawala zenye nguvu, zilizokua na mfumo rasmi wa uongozi. Wao waliziita tawala za jadi (Chiefdoms).

Moja ya tawala iliyokua na nguvu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki ni dola ya wachagga (Chagga state). Zilikuwepo nyingine zenye nguvu kama Himaya ya Sultani wa Zanzibar, Dola ya Buganda, Nyamwezi, Ngoni, Haya, Hutu, Tutsi, Hehe, etc.

Dola ya wachagga imetamalaki eneo la pembezoni mwa mlima Kilimanjaro kuanzia maeneo ya Rongai hadi Siha.

Eneo hili lilikua na mtawala mkuu mmoja (aliyeitwa Mangi Mkuu). Huyu alikua kama Rais ama Mfalme wa jamii hiyo. Chini yake walikuwepo watawala wakuu wawakilishi wa majimbo. Hawa waliitwa 'Mangi Waitori'. Chini yao walikuwepo watawala wa wa maeneo madogo, hawa waliitwa Mangi kama vile Mangi Meli wa Old Moshi, Mangi Sina wa Kibosho, Mangi Salakana wa Useri etc.

Kwa mfano eneo kama Rombo lilikuwa na Mangi wengi. Alikuwepo Mangi wa Keni, Mangi wa Mashati, Mangi wa Mengwe etc. Lakini wote waliunganishwa na Mangi Mwitori wa Rombo. Vivyo hivyo katika maeneo ya Kibosho, Machame, Siha, Old Moshi, Marangu etc.

Mangi mdogo aliripoti kwa Mangi Mwitori. Mangi Mwitori naye aliripoti kwa Mangi Mkuu aliyeunganisha wachagga wote.

Kwa mfano kufikia mwaka 1953 Mangi Mwitori wa Vunjo alikua Petro Itosi Marealle, Mangi Mwitori wa Hai alikua Abdiel Shangali, Mangi Mwitori wa Rombo alikua James Selengia Kinabo kabla ya kustaafu mwaka 1952 na John Maruma kuchukua nafasi yake.

Mangi Mwitori alichaguliwa na wamangi wadogo. Kisha wamangi wadogo na wamangi waitori waliunda baraza kuu la uongozi (Supreme council) ambalo lilimchagua Mangi Mkuu.

January 1952 kulifanyika uchaguzi wa kumchagua Mangi Mkuu wa Wachagga. Wagombea walikua watano. Abdieli Shangali wa Machame, Jackson Kitali wa Mbokomu (Old Moshi), Petro Marealle wa Vunjo, John Maruma wa Rombo, na Thomas Marealle wa Marangu.

Baada ya kila mgombea kunadi sera zake, hatimaye kura zilipigwa na Mangi Thomas Marealle kutangazwa mshindi, akifuatiwa kwa mbali na ndugu yake Mangi Petro Itosi Marealle, aliyekuwa Mangi Mwitori wa Vunjo.

Mangi Mkuu ndiye aliyekuwa Kiongozi mkuu wa dola ya wachagga. Baraza la uongozi (Supreme council) ndicho kilikua chombo cha juu kinachosimamia utendaji wa serikali.

Kwahiyo Mangi mkuu alijitahidi sana kushirikiana mangi waitori na mangi wadogo kuhakikisha jamii nzima ya wachagga inajiletea maendeleo.

Kila Mangi alikua na baraza lake la ushauri lililojulikana kama 'baraza la wachili', ambalo lilifanya kazi kama baraza la mawaziri kwa sasa.

Ushirikiano huu ulifanya dola ya Wachagga kupiga hatua kubwa kimaendeleo kuliko jamii nyingi za wakati huo.

Kwa mfano kufikia mwaka 1920 dola ya wachagga ilikua ya kwanza kwenye ukanda wa Afrika Mashariki kuanzisha na kumiliki gazeti lake (Komkya). Miaka 10 baadae dola ya Buganda (Buganda Kingdom) nayo ilianzisha gazeti lake (Buruuli) na mwaka 1940 Himaya ya Sultani wa Zanzibar (Zanzibar Sultanate) nayo ikaanzisha jarida lake (Imperial).

Si hivyo tu, huduma za maji, umeme, miundombinu ya barabara, hospitali na shule vilifika mapema kulinganisha na maeneo mengine ya nchi. Ikulu ya kisasa ya Mangi Mkuu wa wachagga, iliyojengwa karibu miaka 100 iliyopita ndiyo inayotumika hadi sasa kama Ikulu ndogo ya Rais kwa mkoa wa Kilimanjaro.

Zilizokuwa ofisi za watendaji wa serikali ya Mangi mkuu (eneo la KDC Moshi) ndio ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Moshi kwa sasa.

Maendeleo haya na mengine mengi, wachagga waliamini yalitokana na elimu. Kwahiyo mwamko wa elimu ulikua mkubwa hasa baada ya wamisionari kujenga shule na huduma za afya kila walipojenga kanisa. Vitu hivi vitatu viliambatana. Kanisa, Shule, na Kituo cha afya.

Kwahiyo hata kwenye kuchagua viongozi, yule aliyekuwa na elimu nzuri ndiye aliyepewa nafasi kubwa ya kushinda ikiaminika kwamba elimu yake itachochea kasi ya maendeleo. Na hii ni moja ya sababu iliyomfanya Thomas Marealle kushinda kiti cha umangi mkuu mwaka 1952, kwani kati ya wagombea wote yeye ndiye aliyekua na shahada ya uzamili (masters degree) kwa wakati huo.

Kabla ya uhuru kulikua wachumi wawili tu wazawa ambao ni Thomas Marealle na mzee Fredrick Mchauru ambaye walisoma pamoja London School of Economics, kabla ya Marealle kupata ufadhili Cambridge University (Trinity College).

Iliaminika pia kwamba Uingereza ilitaka dola ya wachagga ijitenge kutoka Tanganyika na itafute uhuru wake yenyewe, kama Rwanda na Burundi zilivyojitenga kutoka Tanganyika baada ya vita vya kwanza vya dunia, wakati huo zikiitwa Ruanda-Urundi.

Hata hivyo mpango huo ulishindikana kwa kuwa Tanganyika ilikua 'Trusteeship colony' ya Umoja wa mataifa, na Uingereza alikabidhiwa tu aisimamie hadi iweze kujitawala. Kwahiyo hoja ya Muingereza ilitupwa kwa maelezo kwamba wakati wa kugawanya bara la Afrika pale Berlin mwaka 1984/85 hakuna nchi inayoitwa 'Chagga state' iliyogawanywa. Hivyo uhuru unaopaswa kuwa wa Tanganyika kwa ujumla na sio wa jamii moja moja.

Baada ya jaribio hilo kushindwa, inadaiwa shirika la ujasusi la Uingereza (M16) lilimpendekeza Mangi Thomas Mareale kuwa Rais wa kwanza wa Tanganyika baada ya uhuru.

Katika moja ya barua za Richard Turnbull (Gavana wa mwisho wa Uingereza) kwenda kwa shirika la ujasusi la nchi hiyo (M16) ilieleza mapendekezo hayo kwa Thomas Mareale.

Sehemu ya nyaraka hiyo iliyoandikwa mwaka 1958 ilisema 'I consider Thomas Marreale an outstanding Chagga leader. I dont know him personally but he would be the leader of Tanganyika if British had to leave. However he lack support from other tribes'

Turnbull alikua akiwaelezea M16 kuhusu Mangi Thomas Marealle na umahiri wake katika uongozi. Hata hivyo alionesha hofu kuwa Marealle hakuwa na ushawishi mkubwa kwa makabila mengine nje ya wachagga.

Na hii ni moja ya hofu kubwa aliyokua nayo Mwalimu Nyerere wakati wa kudai uhuru. Alipofika uchaggani alikuta dola ya wachagga ina mamlaka kamili. Ilikua na 'well defined leadership structure', bendera yake, wimbo wake, na askari wake.

Nyerere alisema ili Tanganyika iwe uhuru lazima dola ya wachagga ife kwanza, kwa sababu hatuwezi kuwa na taifa moja ndani ya taifa jingine. Mwaka 1961 Nyerere aliagiza bendera ya Tanganyika isipandishwe kabla bendera ya wachagga haijashushwa kwanza. Tarehe 8 December 1961 saa 5 usiku bendera ya wachagga ilishushwa katika Ikulu ndogo ya Moshi, na muda mfupi baadae (saa 6 usiku, December 9) bendera ya Tanganyika ikapandishwa.

Hata hivyo hofu ya Nyerere haikua na mashiko kwa sababu Mareale mwenyewe alimpa ushirikiano mkubwa wakati wa kudai Uhuru. Na ili kuonesha kwamba hakuwa na mpango wowote wa kumhujumu, aliamua kujiuzulu nafasi yake ya umangi mkuu mwaka 1960, na kuruhusu askari wake kujiunga na jeshi la Tanganyika.

Pichani ni wagombea watatu kati ya watano walioshiriki uchaguzi wa Mangi Mkuu mwaka 1952. Kutoka kushoto ni Mangi Thomas Mareale aliyeshinda uchaguzi huo), Mangi John Maruma (Mangi Mwitori wa Rombo), na Abdieli Shangali (Mangi Mwitori wa Machame).

Malisa GJ
01/01/2019
Moshi.!

Sent using Jamii Forums mobile app
Muandishi na mleta mada naona wote aidha hawana ufahamu wa kutosha wa uongozi na historia ya uongozi ambao ulikuwa na ufanisi na ushawishi ili matakwa yake yakue.

Kama kweli wachaga wangekuwa na nguvu thabiti ya uongozi, basi ilitakiwa wakuze dola yao kutoka mkoa mmoja wa Kilimanjrao na kuleta ushawishi wa utawala wao mikoa mingine. Kwa kubaki katika mkoa mmoja ni dalili tosha kabisa Chagga was a weak tribe.

Assume it was a strong tribe, kushindwa kuwashawishi japo mikoa ya karibu kama Tanga, Arusha na Manyara (ambayo ilikuwa part ya Arusha) ili valie zao ziwe shared na makabila jirani, wanajidhihirisha pia walikuwa wabinafsi kwa misingi ya mtoa hoja.

Nyerere kutoka kabila dogo la Wazanaki (ambao wako Butiama na sio Mkoa mzima wa Mara; kama wachaga walivyo shika wiliaya zote z Kili kutoa Mwanga na Pare) kwa Nyerere kuweza kuwaunganisha Makabila yote zaidi ya 130 hata kama Wachaga wangebaki peke yao alijipambanua kama jembe na kiongozi mahiri mwenye kuunganisha watu bila kujali tofauti zao za kikabila unlike Mareale aka Mangi mkuu aliebaki na mkoa mmoa tu.

Aidha nimkubushe tena mtoa hoja, ukubwa wa chiefdom ni uwezo wa kuwa na idadi kubwa ya watu (subjects), kuwa na ardhi kubwa yako na nyingine iliyopatikana kwa chiefdom ku-concur chiefdom zilio-weak. Kwa msingi huo huo, Wachaga kubaki mkoa mmoja wanazidi kudhihirisha walikuwa weak, maana wangekwa strong wange-concur nearby tribes na kukuza influence yao.

Mtoa mada kama ana ufahamu wa kawaida tu, asome ushawishi wa dola ya Babel, Uajemi, Ugiriki, Urumi anaweza kupata walau mwangaza dhana ya tribe supremacy.

So far, 2019 tunategemea Watanzania tujadiliane mijadala ya akili ya what are our common shared values and fight against poverty na sio kupeana hadaa za akina Mangi mkuu as supreme tribe which could be endorsed by the British Governor as a potential leader of Tanganyika. Kama ingetokea (tumshukuru Mungu haikutokea), bila shaka nchi ngejaa ukabila na keki ya Taifa yotee ingekwenda uchagani badala ya Tanganyika yote
 
DOLA YA WACHAGGA MIAKA MICHACHE KABLA YA UHURU.

By Malisa GJ,

Wakati wazungu wanagawana bara la Afrika, walipokuja walikuta baadhi ya maeneo kuna tawala zenye nguvu, zilizokua na mfumo rasmi wa uongozi. Wao waliziita tawala za jadi (Chiefdoms).

Moja ya tawala iliyokua na nguvu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki ni dola ya wachagga (Chagga state). Zilikuwepo nyingine zenye nguvu kama Himaya ya Sultani wa Zanzibar, Dola ya Buganda, Nyamwezi, Ngoni, Haya, Hutu, Tutsi, Hehe, etc.

Dola ya wachagga imetamalaki eneo la pembezoni mwa mlima Kilimanjaro kuanzia maeneo ya Rongai hadi Siha.

Eneo hili lilikua na mtawala mkuu mmoja (aliyeitwa Mangi Mkuu). Huyu alikua kama Rais ama Mfalme wa jamii hiyo. Chini yake walikuwepo watawala wakuu wawakilishi wa majimbo. Hawa waliitwa 'Mangi Waitori'. Chini yao walikuwepo watawala wa wa maeneo madogo, hawa waliitwa Mangi kama vile Mangi Meli wa Old Moshi, Mangi Sina wa Kibosho, Mangi Salakana wa Useri etc.

Kwa mfano eneo kama Rombo lilikuwa na Mangi wengi. Alikuwepo Mangi wa Keni, Mangi wa Mashati, Mangi wa Mengwe etc. Lakini wote waliunganishwa na Mangi Mwitori wa Rombo. Vivyo hivyo katika maeneo ya Kibosho, Machame, Siha, Old Moshi, Marangu etc.

Mangi mdogo aliripoti kwa Mangi Mwitori. Mangi Mwitori naye aliripoti kwa Mangi Mkuu aliyeunganisha wachagga wote.

Kwa mfano kufikia mwaka 1953 Mangi Mwitori wa Vunjo alikua Petro Itosi Marealle, Mangi Mwitori wa Hai alikua Abdiel Shangali, Mangi Mwitori wa Rombo alikua James Selengia Kinabo kabla ya kustaafu mwaka 1952 na John Maruma kuchukua nafasi yake.

Mangi Mwitori alichaguliwa na wamangi wadogo. Kisha wamangi wadogo na wamangi waitori waliunda baraza kuu la uongozi (Supreme council) ambalo lilimchagua Mangi Mkuu.

January 1952 kulifanyika uchaguzi wa kumchagua Mangi Mkuu wa Wachagga. Wagombea walikua watano. Abdieli Shangali wa Machame, Jackson Kitali wa Mbokomu (Old Moshi), Petro Marealle wa Vunjo, John Maruma wa Rombo, na Thomas Marealle wa Marangu.

Baada ya kila mgombea kunadi sera zake, hatimaye kura zilipigwa na Mangi Thomas Marealle kutangazwa mshindi, akifuatiwa kwa mbali na ndugu yake Mangi Petro Itosi Marealle, aliyekuwa Mangi Mwitori wa Vunjo.

Mangi Mkuu ndiye aliyekuwa Kiongozi mkuu wa dola ya wachagga. Baraza la uongozi (Supreme council) ndicho kilikua chombo cha juu kinachosimamia utendaji wa serikali.

Kwahiyo Mangi mkuu alijitahidi sana kushirikiana mangi waitori na mangi wadogo kuhakikisha jamii nzima ya wachagga inajiletea maendeleo.

Kila Mangi alikua na baraza lake la ushauri lililojulikana kama 'baraza la wachili', ambalo lilifanya kazi kama baraza la mawaziri kwa sasa.

Ushirikiano huu ulifanya dola ya Wachagga kupiga hatua kubwa kimaendeleo kuliko jamii nyingi za wakati huo.

Kwa mfano kufikia mwaka 1920 dola ya wachagga ilikua ya kwanza kwenye ukanda wa Afrika Mashariki kuanzisha na kumiliki gazeti lake (Komkya). Miaka 10 baadae dola ya Buganda (Buganda Kingdom) nayo ilianzisha gazeti lake (Buruuli) na mwaka 1940 Himaya ya Sultani wa Zanzibar (Zanzibar Sultanate) nayo ikaanzisha jarida lake (Imperial).

Si hivyo tu, huduma za maji, umeme, miundombinu ya barabara, hospitali na shule vilifika mapema kulinganisha na maeneo mengine ya nchi. Ikulu ya kisasa ya Mangi Mkuu wa wachagga, iliyojengwa karibu miaka 100 iliyopita ndiyo inayotumika hadi sasa kama Ikulu ndogo ya Rais kwa mkoa wa Kilimanjaro.

Zilizokuwa ofisi za watendaji wa serikali ya Mangi mkuu (eneo la KDC Moshi) ndio ofisi za Halmashauri ya wilaya ya Moshi kwa sasa.

Maendeleo haya na mengine mengi, wachagga waliamini yalitokana na elimu. Kwahiyo mwamko wa elimu ulikua mkubwa hasa baada ya wamisionari kujenga shule na huduma za afya kila walipojenga kanisa. Vitu hivi vitatu viliambatana. Kanisa, Shule, na Kituo cha afya.

Kwahiyo hata kwenye kuchagua viongozi, yule aliyekuwa na elimu nzuri ndiye aliyepewa nafasi kubwa ya kushinda ikiaminika kwamba elimu yake itachochea kasi ya maendeleo. Na hii ni moja ya sababu iliyomfanya Thomas Marealle kushinda kiti cha umangi mkuu mwaka 1952, kwani kati ya wagombea wote yeye ndiye aliyekua na shahada ya uzamili (masters degree) kwa wakati huo.

Kabla ya uhuru kulikua wachumi wawili tu wazawa ambao ni Thomas Marealle na mzee Fredrick Mchauru ambaye walisoma pamoja London School of Economics, kabla ya Marealle kupata ufadhili Cambridge University (Trinity College).

Iliaminika pia kwamba Uingereza ilitaka dola ya wachagga ijitenge kutoka Tanganyika na itafute uhuru wake yenyewe, kama Rwanda na Burundi zilivyojitenga kutoka Tanganyika baada ya vita vya kwanza vya dunia, wakati huo zikiitwa Ruanda-Urundi.

Hata hivyo mpango huo ulishindikana kwa kuwa Tanganyika ilikua 'Trusteeship colony' ya Umoja wa mataifa, na Uingereza alikabidhiwa tu aisimamie hadi iweze kujitawala. Kwahiyo hoja ya Muingereza ilitupwa kwa maelezo kwamba wakati wa kugawanya bara la Afrika pale Berlin mwaka 1984/85 hakuna nchi inayoitwa 'Chagga state' iliyogawanywa. Hivyo uhuru unaopaswa kuwa wa Tanganyika kwa ujumla na sio wa jamii moja moja.

Baada ya jaribio hilo kushindwa, inadaiwa shirika la ujasusi la Uingereza (M16) lilimpendekeza Mangi Thomas Mareale kuwa Rais wa kwanza wa Tanganyika baada ya uhuru.

Katika moja ya barua za Richard Turnbull (Gavana wa mwisho wa Uingereza) kwenda kwa shirika la ujasusi la nchi hiyo (M16) ilieleza mapendekezo hayo kwa Thomas Mareale.

Sehemu ya nyaraka hiyo iliyoandikwa mwaka 1958 ilisema 'I consider Thomas Marreale an outstanding Chagga leader. I dont know him personally but he would be the leader of Tanganyika if British had to leave. However he lack support from other tribes'

Turnbull alikua akiwaelezea M16 kuhusu Mangi Thomas Marealle na umahiri wake katika uongozi. Hata hivyo alionesha hofu kuwa Marealle hakuwa na ushawishi mkubwa kwa makabila mengine nje ya wachagga.

Na hii ni moja ya hofu kubwa aliyokua nayo Mwalimu Nyerere wakati wa kudai uhuru. Alipofika uchaggani alikuta dola ya wachagga ina mamlaka kamili. Ilikua na 'well defined leadership structure', bendera yake, wimbo wake, na askari wake.

Nyerere alisema ili Tanganyika iwe uhuru lazima dola ya wachagga ife kwanza, kwa sababu hatuwezi kuwa na taifa moja ndani ya taifa jingine. Mwaka 1961 Nyerere aliagiza bendera ya Tanganyika isipandishwe kabla bendera ya wachagga haijashushwa kwanza. Tarehe 8 December 1961 saa 5 usiku bendera ya wachagga ilishushwa katika Ikulu ndogo ya Moshi, na muda mfupi baadae (saa 6 usiku, December 9) bendera ya Tanganyika ikapandishwa.

Hata hivyo hofu ya Nyerere haikua na mashiko kwa sababu Mareale mwenyewe alimpa ushirikiano mkubwa wakati wa kudai Uhuru. Na ili kuonesha kwamba hakuwa na mpango wowote wa kumhujumu, aliamua kujiuzulu nafasi yake ya umangi mkuu mwaka 1960, na kuruhusu askari wake kujiunga na jeshi la Tanganyika.

Pichani ni wagombea watatu kati ya watano walioshiriki uchaguzi wa Mangi Mkuu mwaka 1952. Kutoka kushoto ni Mangi Thomas Mareale aliyeshinda uchaguzi huo), Mangi John Maruma (Mangi Mwitori wa Rombo), na Abdieli Shangali (Mangi Mwitori wa Machame).

Malisa GJ
01/01/2019
Moshi.!

Sent using Jamii Forums mobile app
G
Kwani we Malisa ni mchagga, mimu nilikuwa nafikiri wewe ni mtz
 
Nadhani ni fix tu, maana hakuna kabila la wachaga na wala hakuna lugha ya kichaga.

Waliunganishwa na lugha ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi nilikuwa kwa wakwe zangu huko juu, aisee nimeenda na hela nimerudi nazo - kuombana hela huko ni so minimal. Sasa ningekwenda kwetu aisee, yaani unaenda benki unachukua mia tano tano na buku buku kabisa kabisa tena zile mpyaaa!! ha ha ha ha

Sidharau kwetu hapana ila najaribu tu kukupa picha ya hali halisi !!
 
Nyerere kutoka kabila dogo la Wazanaki (ambao wako Butiama na sio Mkoa mzima wa Mara; kama wachaga walivyo shika wiliaya zote z Kili kutoa Mwanga na Pare) kwa Nyerere kuweza kuwaunganisha Makabila yote zaidi ya 130 hata kama Wachaga wangebaki peke yao alijipambanua kama jembe na kiongozi mahiri mwenye kuunganisha watu bila kujali tofauti zao za kikabila unlike Mareale aka Mangi mkuu aliebaki na mkoa mmoa tu.
Mwalimu alisaidiwa sana na Wazalamo wale wazee wa Mjini wa wakati huo ingawa historia imekaa kimya kidogo kuhusu hili.
 
Inaonekana Malisa kaishiwa siasa
Ni vizuri unavyotupa historia ya Mbokomu Lyamhaa Inn.
 
Ni historia nzuri, nimeipenda. Bila shaka ukoloni ndio uliotuvuruga waafrika vinginevyo tungekuwa mbali.

Hayo maendeleo yote uliyoyasoma pamoja na muundo wa uongozi uliratibiwa na wakoloni........
 
Mkubali ukweli, himaya ya wachaga ilikuwa imepiga hatua, kilichozuia expansionism ya himaya yao ni kwamba tayari mipaka ya Taifa la Tanganyika ilikuwa imeshachorwa tayari. Tuwashukuru wazungu waliotucholea mipaka maana kilichokuwa ninafuata ni makabila yenye nguvu kuyateka makabila dhaifu kama kilichotokea Ethiopia na kilichokuwa kinaendelea Kyle kwa Wazuru. Vita nyingi ya kujitanua kwa kabila ilikoma na mpambano uligeuka dhidi ya wazungu
Muandishi na mleta mada naona wote aidha hawana ufahamu wa kutosha wa uongozi na historia ya uongozi ambao ulikuwa na ufanisi na ushawishi ili matakwa yake yakue.

Kama kweli wachaga wangekuwa na nguvu thabiti ya uongozi, basi ilitakiwa wakuze dola yao kutoka mkoa mmoja wa Kilimanjrao na kuleta ushawishi wa utawala wao mikoa mingine. Kwa kubaki katika mkoa mmoja ni dalili tosha kabisa Chagga was a weak tribe.

Assume it was a strong tribe, kushindwa kuwashawishi japo mikoa ya karibu kama Tanga, Arusha na Manyara (ambayo ilikuwa part ya Arusha) ili valie zao ziwe shared na makabila jirani, wanajidhihirisha pia walikuwa wabinafsi kwa misingi ya mtoa hoja.

Nyerere kutoka kabila dogo la Wazanaki (ambao wako Butiama na sio Mkoa mzima wa Mara; kama wachaga walivyo shika wiliaya zote z Kili kutoa Mwanga na Pare) kwa Nyerere kuweza kuwaunganisha Makabila yote zaidi ya 130 hata kama Wachaga wangebaki peke yao alijipambanua kama jembe na kiongozi mahiri mwenye kuunganisha watu bila kujali tofauti zao za kikabila unlike Mareale aka Mangi mkuu aliebaki na mkoa mmoa tu.

Aidha nimkubushe tena mtoa hoja, ukubwa wa chiefdom ni uwezo wa kuwa na idadi kubwa ya watu (subjects), kuwa na ardhi kubwa yako na nyingine iliyopatikana kwa chiefdom ku-concur chiefdom zilio-weak. Kwa msingi huo huo, Wachaga kubaki mkoa mmoja wanazidi kudhihirisha walikuwa weak, maana wangekwa strong wange-concur nearby tribes na kukuza influence yao.

Mtoa mada kama ana ufahamu wa kawaida tu, asome ushawishi wa dola ya Babel, Uajemi, Ugiriki, Urumi anaweza kupata walau mwangaza dhana ya tribe supremacy.

So far, 2019 tunategemea Watanzania tujadiliane mijadala ya akili ya what are our common shared values and fight against poverty na sio kupeana hadaa za akina Mangi mkuu as supreme tribe which could be endorsed by the British Governor as a potential leader of Tanganyika. Kama ingetokea (tumshukuru Mungu haikutokea), bila shaka nchi ngejaa ukabila na keki ya Taifa yotee ingekwenda uchagani badala ya Tanganyika yote
 
Mwalimu alisaidiwa sana na Wazalamo wale wazee wa Mjini wa wakati huo ingawa historia imekaa kimya kidogo kuhusu hili.
\
Sifa ya komandoo hata wale wa kwenye movie ni uwezo wa kuingia kambi ya adui na kujenga urafiki na wakazi wa hapo ili baadae ajenda yake itimie.
Kwa mwl. Nyerere mtu kutoka Bara, akaweza kuwaunganisha wazaramo akina Sykes na wakamkubali kuwa Chairman wao, hiyo sifa kubwa ya kiongozi kuwashawishi na kuwaunganisha kwa lengo la kumng'oa mkoloni.

Malisa anatupiga sound za a failed tribe even to influence the neighboring region to get rid of British Colonialism
 
Back
Top Bottom