-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 845
- 1,501
Ulisema yeye ndio aliishusha sasa kaipandisha anacheza na akili zetu eehIla ikishuka mama haihusiki yeye anahusika ikipanda tuu si ndio? 😁😁
Hater bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulisema yeye ndio aliishusha sasa kaipandisha anacheza na akili zetu eehIla ikishuka mama haihusiki yeye anahusika ikipanda tuu si ndio? 😁😁
Hater bana
long time no seeNakusalimia sana
Noma sanaUlisema yeye ndio aliishusha sasa kaipandisha anacheza na akili zetu eeh
Ipo 2550 street marketBaada ya wiki 4 za kushuka kwa dollar kwa kasi ya ajabu ambapo dollar ilifika 2290 hatimaye leo dollar imefikia 2515 ikitarajiwa kupanda zaidi siku za usoni . Hii ina maana gani mdau? Kwa mtu aliyenunua dollar wiki iliyopita leo ana faida ya karibu 200 kwa kila dollar moja
OohIpo 2550 street market
Ingia Google
Inarudi kule kule come end of feb itakuwa 2800 save this postKuna washabiki niliwaambia hiki kitu wakabisha, now wako kimya kama vile hawaoni
NomaInarudi kule kule come end of feb itakuwa 2800 save this post
Currency zote hata Rial ya Oman kuna mtu watu waliweka rial ya Oman ndani sasa hivi zimeshuka, Zilikua 7000+ imedrop hadi 6500Ni kama shilling ya Tz kidogo imeimarika dhidi ya foreign currencies,nimeona hata kwenye Dirlam dhidi ya Tsh imeshuka.
Tsh imeimarika kidogo naona... Dirlam toka 750 to 680Currency zote hata Rial ya Oman kuna mtu watu waliweka rial ya Oman ndani sasa hivi zimeshuka, Zilikua 7000+ imedrop hadi 6500
Samia oyeee mama ameweza ChoiceVariableTsh imeimarika kidogo naona... Dirlam toka 750 to 680
Currency ya Oman Ina nguvu kuliko hata pound!? Sikujua
Sio yule werema alimwita "Tumbili"? Maana anavojinasibu,itakua balance of trade imekaa vzr kwetu.Samia oyeee mama ameweza ChoiceVariable
Kama vile hawapo, na hakuna hata anayeshadadia kusema kuwa Dollar imepanda 🤣 🤣
Kwa nchi kama Tanzania isiyouza inachozalisha,,,, halafu kuna bwege eti wanakwambia wameishusha Dollar..