Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
[emoji457] ELIE MPANZU HAWEZI KUWAPA UBINGWA SIMBA SC!.
"Naona huko mitandaoni Mashabiki wa Simba wanaongea saana baada ya kumsajili 'Ellie Mpanzu', niwaambie tuu UKWELI huyo Mpanzu hajaja kumaliza ukame wao wa MATAJI na pia kwanza hawezi ata kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha Yanga SC useme labda umtoe Pacome au Max aingie yeye"
[emoji2788] Dominic Salamba (Mchambuzi wa maswala ya Soka nchini Tanzania)
[emoji3482] Eeeh mbona sasa kama imeshakua ni vita Binafsi tena?, ngoja tusubirie hio tarehe nane sasa[emoji23][emoji119]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
"Naona huko mitandaoni Mashabiki wa Simba wanaongea saana baada ya kumsajili 'Ellie Mpanzu', niwaambie tuu UKWELI huyo Mpanzu hajaja kumaliza ukame wao wa MATAJI na pia kwanza hawezi ata kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha Yanga SC useme labda umtoe Pacome au Max aingie yeye"
[emoji2788] Dominic Salamba (Mchambuzi wa maswala ya Soka nchini Tanzania)
[emoji3482] Eeeh mbona sasa kama imeshakua ni vita Binafsi tena?, ngoja tusubirie hio tarehe nane sasa[emoji23][emoji119]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app