Mpanzu peke yake hawez yes, but mpira ni team work[emoji457] ELIE MPANZU HAWEZI KUWAPA UBINGWA SIMBA SC!.
"Naona huko mitandaoni Mashabiki wa Simba wanaongea saana baada ya kumsajili 'Ellie Mpanzu', niwaambie tuu UKWELI huyo Mpanzu hajaja kumaliza ukame wao wa MATAJI na pia kwanza hawezi ata kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha Yanga SC useme labda umtoe Pacome au Max aingie yeye"
[emoji2788] Dominic Salamba (Mchambuzi wa maswala ya Soka nchini Tanzania)
[emoji3482] Eeeh mbona sasa kama imeshakua ni vita Binafsi tena?, ngoja tusubirie hio tarehe nane sasa[emoji23][emoji119]View attachment 3258439
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Even though.....he may have .... poor contributionMpanzu peke yake hawez yes, but mpira ni team work
Nan Tena mkuuSiku ukiweka mihemko pembeni utakuwa bora sana kwenye maswala ya sports
Hapana mkuu....lkn mtu mmoja anaweza kua na contribution kubwa kuliko wengineMpuuzi mwingine huyu,Yaan anaamini mchezaji mmoja akaipa ubingwa team
Scars
Amna mkuu....alistaafu huyoAzam hawakukosea kumfukuza kazi, jamaa ana akili mgando
Mpanzu aliye deli majaribio huko timu daraja la 4 Belgium aje awape ubingwa mbumbumbu
deli ndio nn mkuuMpanzu aliye deli majaribio huko timu daraja la 4 Belgium aje awape ubingwa mbumbumbu
Utoto unakusumbua sana na wewe ni mmoja ya watu wanaosababisha wana Yanga wadharauliwe kwa mada zako zilizojaa utoto.[emoji457] ELIE MPANZU HAWEZI KUWAPA UBINGWA SIMBA SC!.
"Naona huko mitandaoni Mashabiki wa Simba wanaongea saana baada ya kumsajili 'Ellie Mpanzu', niwaambie tuu UKWELI huyo Mpanzu hajaja kumaliza ukame wao wa MATAJI na pia kwanza hawezi ata kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha Yanga SC useme labda umtoe Pacome au Max aingie yeye"
[emoji2788] Dominic Salamba (Mchambuzi wa maswala ya Soka nchini Tanzania)
[emoji3482] Eeeh mbona sasa kama imeshakua ni vita Binafsi tena?, ngoja tusubirie hio tarehe nane sasa[emoji23][emoji119]View attachment 3258439
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
PUPAdeli ndio nn mkuu
Yupo sahihi Mpanzu hawezipata namba Yanga na siyo yeye tu kikosi chote cha Simba hakuna wa kupata namba Yanga, mfano mdogo Chama simba alikuwa dhahabu Yanga ananzia benchi[emoji457] ELIE MPANZU HAWEZI KUWAPA UBINGWA SIMBA SC!.
"Naona huko mitandaoni Mashabiki wa Simba wanaongea saana baada ya kumsajili 'Ellie Mpanzu', niwaambie tuu UKWELI huyo Mpanzu hajaja kumaliza ukame wao wa MATAJI na pia kwanza hawezi ata kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha Yanga SC useme labda umtoe Pacome au Max aingie yeye"
[emoji2788] Dominic Salamba (Mchambuzi wa maswala ya Soka nchini Tanzania)
[emoji3482] Eeeh mbona sasa kama imeshakua ni vita Binafsi tena?, ngoja tusubirie hio tarehe nane sasa[emoji23][emoji119]View attachment 3258439
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Umechambua vizr mkuuHuyo salamba hajawahi kujua mpira, aliyesema kombe linaletwa na mtu mmoja nani, kila mchezaji ana mchango wake kwenye timu, mara nyingi kuna nyota anaibuka anakamata macho ya watu, lakini mchango ni wa kila mchezaji.
Mpanzu kaonesha ni mchezaji mzuri, anacheza simba ambayo haijatulia, simba ambayo haina PLAYMAKER wa maana(yule AHOUA msiniambie ana hadhi ya kucheza simba) lakini ahoua kajipambanua ni mchezaji mzuri sana, ana skills, ana jicho la pasi, anatumia miguu yote effectively, anasaidia timu ikiwa haina mpira
Sio mm nliesemaUtoto unakusumbua sana na wewe ni mmoja ya watu wanaosababisha wana Yanga wadharauliwe kwa mada zako zilizojaa utoto.
Ila mwenda ambaye halikuwa hapati namba simba huko Yanga ndiye nyotaYupo sahihi Mpanzu hawezipata namba Yanga na siyo yeye tu kikosi chote cha Simba hakuna wa kupata namba Yanga, mfano mdogo Chama simba alikuwa dhahabu Yanga ananzia benchi