Don Nalimison asimamishiwa Mishahara na Serikali Halmashauri ya Jiji la Mwanza

Ulipokuwa gerezani je mshahara wako uliendelea kuingia?
 

Aliyekutuma ni bwege.
 
Na madeni uliyokopa kwa dhamana ya kuwa mtumishi (salary) uyarejeshe kesho hiyo hiyo maana watakufunga

Mungu Ibariki Tz - MITz
 
Siku nyingine ukipiga picha ya kuweka public ondoa toothpick maana inaonekana ni uchafu.
Au mtemi somo la hygiene limekupita kando kama mshahara wa July?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…