jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Ila wewe jamaa inawezekana sio mzima au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikariri mkuu. Cio wote, wengne vitu kama ivo ndo vinawaongezea uwezo wa kufikiri kuzidi binadam wa kawaida.Ahaaah ahaaah wewe umemaliza . Nikitaka niandike kitu, Ila wewe umegonga msumali w mwisho Kwenye jeneza.
Hauko serious ww, Kila kitu unakihusisha na siasa tu! Mimi ni ccm damu damu lakini sikupata pia mshahara, na hivyo kwa masikitiko makubwa sana serikali yangu na nchi yangu imekosa P.AY.E, Kodi nayokatwa kuchangia taifa langu Kila napolipwa mshahara!
Hivyo mleta maada acha kubwabwacha, wengine tuna hasira kwa kushindwa kulipa Kodi (PAYE) kwa akili ya kuipaisha nchi yetu kwenye uchumi wa juu kabisa ebo😡😡😡😡!
Aliyenituma!? Watu wengine sijui mnatumia Nini kuwaza!Aliyekutuma ni bwege.
Don mbona umeondoa signature yako ya utemi maana utemi haufutwi kwa deepol.
Sent from my CAM-L21 using JamiiForums mobile app
Na madeni uliyokopa kwa dhamana ya kuwa mtumishi (salary) uyarejeshe kesho hiyo hiyo maana watakufunga
Mungu Ibariki Tz - MITz
Ulipokuwa gerezani je mshahara wako uliendelea kuingia?
Ndio maana yote haya yanakukuta ,ukimkiri Yesu kua mwokozi wako mambo yako yatatulia.Wewe naye bwege. Mimi ni abudu li YESU libinadamu jenzangu.
Wewe naye bwege. Mimi ni abudu li YESU libinadamu jenzangu.
Ndio maana yote haya yanakukuta ,ukimkiri Yesu kua mwokozi wako mambo yako yatatulia.
Mpeni mshahara wake au mfukuzeni kazi, basi
Don karibu mvinyo Kaka!!Tick.