Don Nalimison Muziki wangu Sitaimba kwa lugha ya Kiswahili ng'o!

Lakini huu Uzi umeandika kwa kiswahili lugha ya kichawi .

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Naona uzi wako umefaulu japo umeuandika kwa lugha ya kiswahili, cjui maisha yako nje ya jf yapo vp ikiwa unatumia lugha ya kiswahili kama lugha ya mawasiliano.
 
Don em nipigie lile dude lako la shake down shake down

Noma sana wewe ndo international icon wengine feki
 
Weeee...... Wale watoto ulikuwa unagombea na mama zao wako wapi? Wamekufa wote?
Ukiwa unaenda huko unako vutia bangi zako, unipitie aiseee
I haven't stimu
 
Don em nipigie lile dude lako la shake down shake down

Noma sana wewe ndo international icon wengine feki

Mwenyewe anakuambia " hagi sholda hagi sholda, klapu hendi klapu hendi, sheki apu sheki apu sheki apu" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu wimbo ni shida!! Bonge la hit song!!!πŸ™„
Don Nalimison ni levo nyingine kabisa! Ndani ya Bara la Afrika, hana mpinzani! 🎢 🎡🎼 I am soldier,πŸŽ€πŸŽ™οΈ 🎸🎼 I am a sooldier!! πŸ₯΅
hatak tabu mwenyewe kuumiza kichwa na mistari kibao. Mstari wako momoja tu mwanzo mpaka mwishoπŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…