nenda kajifunze tabora kwa wanyamwezi, kuna mremnda waommoja wa majani makavu wakitia karanga, kombe la mtindi pembeni na nyamachoma cya kutafunia....saafi! btw, mi napenda wa mtama na samaki.
Ngoja tusaidiane ktk hili., hata mimi dona nilikia siwez kulila kwa sababu lilikua linajaa mdomon yan halimezeki hata ule na mboga gani. Sasa bas nilivyosaga tena ule unga wang wa dona nkachanganya na unga wa muhogo bas ikasaidia kuufanya uwe mlaini. Lakin pia kuna baadhi ya mashine zetu za kisaga zinapenyesha nafaka kitu ambacho kinasababisha ule unga uwe na punje nene na ukila haupendez mdomom. Sasa bas sio tatizo ukishasaga unga wako uchekeche ili utoe yale mapunje yasiyosagika vzr na ni vzr uchanganye na unga wa muhogo kwan unafanya dona lako liwe lain mkonon mpk mdomon kwako. Hapo sasa waweza kulila kwa mboga yeyote utayoipenda kwa wkt huo.
Mimi napenda na mboga za majani. Mchicha, majani ya maboga, spinachi, kisamvu cha karanga/kweme, mnavu you name it. Labda na samaki mkavu pembeni, mboga ya mchuzi siwezi kulia kabisa.
Mbona dona ni nzuri tu na ina taste nzuri mdomoni kuliko hata sembe(sio ya ranger,chonji au teves,hii ya bakhresa),mie napenda kula dona na samaki wa sangara minofu(kukaanga sio wa mchuzi) sh 14,000 kwa kilo supermarket na maarage ya njano yalioungwa na nazi.