Dona iliwe na nini ipendeze mdomoni

Dona iliwe na nini ipendeze mdomoni

Upate samaki wa jodari au sangara aungwe na tui la karanga..nakumbuka pale Morogoro kuna sehem panauzwa chakula asili..

Ndio kijiwe changu hicho hapa Moro, afu unashushia Na sharubati ya embe ng'ong'o au stafeli
 
Ndio kijiwe changu hicho hapa Moro, afu unashushia Na sharubati ya embe ng'ong'o au stafeli

Jamaa alinitesa kweli kumtafuta alipohama pale round about ya SUA...Nilimiss lile dona na samaki daaah mpaka nilipokuja kugundua kijiwe chake kipya ikawa hamu imepandaaa
 
Back
Top Bottom