Donald Ngoma aombewa kwa T.B Joshua leo

Donald Ngoma aombewa kwa T.B Joshua leo

kimpango

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2011
Posts
600
Reaction score
717
Leo nimemuona Mchezaji wa zamani waki Yanga aliyesajiliwa Azam akiombewa na Prophet T . B Joshua naamini ameamini naamini kuponywa
 
Hivi muumini hawezi kumuomba Mungu mwenyewe mpaka aombewe na hao wanaojiita manabii?
 
Ni kweli hata mimi nimemuona Donald Ngoma.
Nilishangaa sana.
Angalieni Ibada ya jumapili ya leo Jumapili ya Tarehe 22 / 07 /2918
Nimemuona kwa macho yangu akiombewa na kapona kabisa.

Kama ni sio yeye sijui ila wanafanana sana kila kitu
 
Ni kweli hata mimi nimemuona Donald Ngoma.
Nilishangaa sana.
Angalieni Ibada ya jumapili ya leo Jumapili ya Tarehe 22 / 07 /2918
Nimemuona kwa macho yangu akiombewa na kapona kabisa.

Kama ni sio yeye sijui ila wanafanana sana kila kitu
Sio wanafanana tu hata bango alilobeba lina jina lake
 
Mzee Akilimali achana na kijana wa watu mzee , mbona unambania ?
 
Kumbe bado anaumwe si alienda sauzi na kugeuka siku hiyo hiyo sasa anatarajia miujiza ya magumashi ya TTIBII?
 
Mzee Akilimali achana na kijana wa watu mzee , mbona unambania ?
Akilimali ni balaa duniani!!!! Kanjubai alijifanya anamkoromea , na kumzibia posho!!! yaliyomwandama mpaka sasa hivi hajui pa kuanzia!!! watu wanajidanganya tuu !! atarudii!! mara kabembelezwa!!!! ninyi ndala efu sii ninyi wa kubembelezwa na mzeee ili alegeze na sii kanju. Na wewe kanjubai si ukampigie mzee magoti ili urudi kwenye chati??
 
Akilimali ni balaa duniani!!!! Kanjubai alijifanya anamkoromea , na kumzibia posho!!! yaliyomwandama mpaka sasa hivi hajui pa kuanzia!!! watu wanajidanganya tuu !! atarudii!! mara kabembelezwa!!!! ninyi ndala efu sii ninyi wa kubembelezwa na mzeee ili alegeze na sii kanju. Na wewe kanjubai si ukampigie mzee magoti ili urudi kwenye chati??
Kwi! Kwi! Kwi!
 
Habari bila picha/videoclip ni taka taka tu.
 
Back
Top Bottom