OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mpachika mabao wa Yanga aliyeongezewa mkataba hivi juzi kati,Donald Ngoma amerejea Afrika Kusini anako tibiwa!
Ngoma ambaye karibia msimu wote uliopita hakuwa fiti,amerejea tena kupata matibabu kutokana na afya yake kutokuwa fiti
Ngoma ambaye karibia msimu wote uliopita hakuwa fiti,amerejea tena kupata matibabu kutokana na afya yake kutokuwa fiti