Katika Magezeti ya Kidaku hapa bongo kuhusiana na Michezo, Champion linaongoza.!!!
Sijawahi kiliamini gazeti hili, hivi ni habari gani ya ukweli waliyowahi kuandika ukiondoa za mechi za viwanjani? Shigongo anadhani kilakitu ni udaku kama kwa magazeti yake ya Ijumaa, Uwazi na mengineyo.
Acha niwe wa mwisho kuiamini habari hii
BACK TANGANYIKA