Donald Ngoma vs Laudit Mavugo...

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Mmoja raia wa zimbabwe,Mwingine raia wa Burundi

Mmoja anachezea Yanga mwingine anachezea Simba ila wote wakiwa kama washambuliaji

Pia wote wamesajiliwa kwa pesa kubwa na wote wanapata mishahara minono.

Je kati ya hao wawili nani mkali hasa hasa katika kucheka na nyavu,kutoa pasi za mwisho za magoli na pia kusaidia timu kwenye kukaba???
 
Timu msimbazi hapa hata damu yangu nyekundu ila

MSIFANANISHE MAVUGO NA VITU VYA KIJINGA [emoji87]


wanasimba wenzangu nimesema hivo kiushabiki tu ila kuhusu Mavugo hapo tumeingizwa chaka[emoji35]
bora hata yule SerenKUMA kuliko huyu mchoyo [emoji35] kama Mgosi akirejeshwa kikosini kwa nafas zile za Mavugo hakika Simba kila siku tungekuwa tunaondoka na kapu la mabao


ILA YOTE KWA YOTE SIMBA BINGWA
 
Kama sikosei alisema atafunga kila game asipofunga akatwe mshahara kwa kila game ambayo hatafunga tena millioni moja.

Kwa hali c angepokea mia Tano asee
 
Reactions: PNC
Mi simba ila niwe mkweli, mpaka sasa Ngoma yuko mbele sana ya Mavugo, labda mavugo abadilike!!
 
Kama sikosei alisema atafunga kila game asipofunga akatwe mshahara kwa kila game ambayo hatafunga tena millioni moja.

Kwa hali c angepokea mia Tano asee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe yule mjinga ndio huyu
 
Tumpe Muda akisikiliza media za Bongo hatachelewa kurudi Burundi
Amuulize Serunkuma alitoka Kogalo/Gor Mahia kwa mikwara mingi sana

Kama kawa Magazeti ya Bongo 'Simba yasajili Mshambuliaji mwenye uwezo wa kuchana Nyavu kwa mashuti yake makali'

Msimu moja hoi...
 
Mavugo yuko vizuri sana.. Huwezi mlinganisha na huo upuuzi.
 
Kumfananisha Ngoma(Pipa la Dhahabu) na Mavigo(Pipa la taka) huo ni Uchwara.
 
Huyo Mavugo au Mazugo mzugaji ? Huu ni utani kulinganisha Ngoma na Mavugo. Bado ni mapema hadi Mazugo amalize msimu
 
Mavugo rudisha chenji yetuuuu pia uliahidi kukatwa million moja kila mwezi kama hautoshinda kila mechi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…