Donald Trump apatikana na hatia ya makosa yote 34 katika kesi ya kughushi nyaraka na kutaka kuficha kuhusu hela alizomlipa pornstar ili akae kimya

Kwaiyo tuhuma ni kumchakata pornstar au kutumia hela yake kumuhonga pornstar
Ungetulia ukasoma post yangu nimefafanua. Kamla huyo kahaba, akahofia atatangaza hivyo kumuathiri kwenye uchaguzi,so akamlipa hela kipitia huyo Cohen ili asitangaze. Hush money scandal.
 
Trump amekuwa mkubwa kuliko chama chake.
 
Ndiyo.

Kesi za kupikwa kwenye jurisdiction ambayo ni 85% ilipiga kura dhidi yako na ambayo iliendeshwa na mwendesha mashitaka wa chama cha Democrat…

Hakuna haki hapo.

100% this will be overturned on appeal. 100%.
Suala la kushinda kesi sio ajabu, muhimu amekutwa na hatia aende akajibu tuhuma dhidi yake mahakamani, Trump ni nani aonewe? wacha kumkuza bila sababu, atafute mawakili wakamtetee huko mujimu hao jury wamefanya kazi yao, umetumia hisia zaidi kutoa maini yako kumhusu.
 
Ngabu aliungana na Trump wakati wa birther theory; sielewi kama Ngabu naye hakutaka Obama (mtoto wa Kenya) kutawala USA kkwani alikuwa mbele sana na kampeini ya NOBAMA hapa. Ni miaka mingi imepita lakini inawezekana kumbe theory hiyo ilizama sana kichwani mwa Ngabu.

Ngabu tulikuwa majirani kule Dar ni mtu smart sana kuweza kumhusisha na wafuasi wa MAGA. Ila şielewi kwa nini baadaye amegeukaje naye kuwa "Unified Reich." Ndiyo maana sasa nimepanga kwenda kumtafuta kumjulia hali huko aliko. Nina imani tukikutana atanaipokea na tutaongea vizuri, hataniambia "go back where you came from."
 
So?

Huyo jaji hawezi tu kujitungia hukumu zake anazotaka yeye.

Kuna miongozo ya kisheria.

Licha ya hivyo, ngoma bado mbichi na ikibidi itaenda mpaka kwenye mahakama ya upeo.
Mahakama ya upeo anaweza kushinda, kuna majaji watatu aliowateua,
Pia inasemekana Jaji Alito na Thomas Clarence wamekuwa wanapeperusha bendera zinazopendwa na wafuasi wa Trump na wake zao ni wafuasi MAGA kindakindaki.
 
Trump anaogopwa na wenye makandokando, hata wale wanaoogopa deportations
 
Sasa kama alinyandua huyo kahaba na akamlipa chake, shida iko wapi? Huko ni kuingilia faragha ya mtu
 
Manzi mwenyewe ndio huyu Trump inasemekana alimu abuse. Wanawake wataendelea kutudondosha wanaume mpaka pale tutakapo jua kufunga zipu.
 
Hapo kwenye kulala na mchezaji wa video za ngono sijaelewa, Ina maana jamaa alifanya haya akiwa Raisi? Imekuwaje mtu mwenye mkwanja kama Trump anarlenda kulala na pornstar?
 
ni witch hunt tu hakuna jingine,
trump alianza kusakamwa toka siku ya kwanza anaingia WH mpk leo.....

hizi hila dhidi ya trump zimeifunua jinsi marekani ilivyo, ni nchi ya kihuni na inaongozwa na magenge!
 
ni witch hunt tu hakuna jingine,
trump alianza kusakamwa toka siku ya kwanza anaingia WH mpk leo.....

hizi hila dhidi ya trump zimeifunua jinsi marekani ilivyo, ni nchi ya kihuni na inaongozwa na magenge!
Sawa. MAGA. Najua huelewi utawala wa Clinton ulivyochunguzwa kwa miaka yote nane.

I can stand in the middle of 5th avenue and shoot someone, I will never lose support of dong yi

If I don’t win then the election must be rigged
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…