Donald Trump ataingia White House 2025

Donald Trump ataingia White House 2025

Trump Anashinda huu Uchaguzi,Wala unabii wa eubert angel hauhitajiki.
Haimaanishi utabiri wake ndiyo utakaompa Trump ushindi. Yeye alichofanya ni kueleza kile alichokiona katika ulimwengu wa roho. Hata angekaa kimya matokeo yasingebadilika. Kinachofanya tabiri zake ziaminike ni kwa sababu mara nyingi hizotoa muda mrefu kabla ya matukio husika kutokea hivyo watu hawawezi kusema alikisia.
 
Uebert Angel ameshamtabiria ushindi.

Kwa wanaomfahamu Uebert Angel, amekuwa na Historia ya tabiri zake kutimia. Baadhi ya mambo aliyotabiri na yakatimia ni pamoja na:
1. Kifo cha Malkia Elizabeth

2. Uchaguzi wa Kenya uliompa Ruto ushindi

3. Machafuko nchini Kenya

4. Uchaguzi nchini Nigeria

Na mengine mengi!

Kuhusu Trump, amesema kuwa kuna watu waliopanga kumkwamisha lakini hawatafanikiwa kwa sababu Mungu ameshampa Trump ushindi. Kwa lugha nyingine, Joe Biden ni msindikizaji tu. Rais wa Marekani ni Donald Trump.

Asiyeamini asubirie uchaguzi ufanyike halafu aurejee tena huu uzi!

Trump ni Rais wa Marekani 2025 - 2028.

View attachment 3041965
Na Mimi natabiri Donald Trump atashinda kwasababu ya huruma ya watu wa Marekani na hasa kutokana na tukio la kushambuliwa na risasi..
 
Mbona una hasira na CCM? Pamoja na kukuletea treni ya umeme hujaridhika tu?
GSY2ZwAWwAAXivk.jpg
 
Hata akiwa rais, hakuna kitakacho badilika zaidi ya kulisogeza taifa lake karibu zaidi na destruction, kumbuka America and Europe must fall in order to establish New world order through it's opposites. (BRICS)
 
Uebert Angel ameshamtabiria ushindi.

Kwa wanaomfahamu Uebert Angel, amekuwa na Historia ya tabiri zake kutimia. Baadhi ya mambo aliyotabiri na yakatimia ni pamoja na:
1. Kifo cha Malkia Elizabeth

2. Uchaguzi wa Kenya uliompa Ruto ushindi

3. Machafuko nchini Kenya

4. Uchaguzi nchini Nigeria

Na mengine mengi!

Kuhusu Trump, amesema kuwa kuna watu waliopanga kumkwamisha lakini hawatafanikiwa kwa sababu Mungu ameshampa Trump ushindi. Kwa lugha nyingine, Joe Biden ni msindikizaji tu. Rais wa Marekani ni Donald Trump.

Asiyeamini asubirie uchaguzi ufanyike halafu aurejee tena huu uzi!

Trump ni Rais wa Marekani 2025 - 2028.

View attachment 3041965


Wasiomtaka anakuja ha hah haaah 😆😆😆
 
Back
Top Bottom