SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Hashindii maana aliyeko madarakani sio yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haimaanishi utabiri wake ndiyo utakaompa Trump ushindi. Yeye alichofanya ni kueleza kile alichokiona katika ulimwengu wa roho. Hata angekaa kimya matokeo yasingebadilika. Kinachofanya tabiri zake ziaminike ni kwa sababu mara nyingi hizotoa muda mrefu kabla ya matukio husika kutokea hivyo watu hawawezi kusema alikisia.Trump Anashinda huu Uchaguzi,Wala unabii wa eubert angel hauhitajiki.
Mbona una hasira na CCM? Pamoja na kukuletea treni ya umeme hujaridhika tu?ccm wa USA
Kwa mujibu wa kanuni ya ulimwengu wa roho, tayari ameshadhinda, anasubiria tu kuapishwa.Hashindii maana aliyeko madarakani sio yeye
Na Mimi natabiri Donald Trump atashinda kwasababu ya huruma ya watu wa Marekani na hasa kutokana na tukio la kushambuliwa na risasi..Uebert Angel ameshamtabiria ushindi.
Kwa wanaomfahamu Uebert Angel, amekuwa na Historia ya tabiri zake kutimia. Baadhi ya mambo aliyotabiri na yakatimia ni pamoja na:
1. Kifo cha Malkia Elizabeth
2. Uchaguzi wa Kenya uliompa Ruto ushindi
3. Machafuko nchini Kenya
4. Uchaguzi nchini Nigeria
Na mengine mengi!
Kuhusu Trump, amesema kuwa kuna watu waliopanga kumkwamisha lakini hawatafanikiwa kwa sababu Mungu ameshampa Trump ushindi. Kwa lugha nyingine, Joe Biden ni msindikizaji tu. Rais wa Marekani ni Donald Trump.
Asiyeamini asubirie uchaguzi ufanyike halafu aurejee tena huu uzi!
Trump ni Rais wa Marekani 2025 - 2028.
View attachment 3041965
Mbona una hasira na CCM? Pamoja na kukuletea treni ya umeme hujaridhika tu?
Kule hawaingii madarakani kwa nguvu ya dola.Hashindii maana aliyeko madarakani sio yeye
SawaNa Mimi natabiri Donald Trump atashinda kwasababu ya huruma ya watu wa Marekani na hasa kutokana na tukio la kushambuliwa na risasi..
Usiogope! Huyo hatahusika na michakato ya uchaguzi ya Wamarekani.
Tutasikia mengii..🙄🙄😄Watabiri wa hali ya hewa bhana
Hakuna dola hapo ni nguvu alionayoKule hawaingii madarakani kwa nguvu ya dola.
JidanganyeeKwa mujibu wa kanuni ya ulimwengu wa roho, tayari ameshadhinda, anasubiria tu kuapishwa.
Noted✅Trump njia nyeupee
Kama huamini kuwa Trump ndiye Rais ajaye wa USA, jiandae kupatwa na mshangao!Jidanganyee
Hakunaga asuburi kizee kingine kitwange raha ishe miaka yake ajeKama huamini kuwa Trump ndiye Rais ajaye wa USA, jiandae kupatwa na mshangao!
Uebert Angel ameshamtabiria ushindi.
Kwa wanaomfahamu Uebert Angel, amekuwa na Historia ya tabiri zake kutimia. Baadhi ya mambo aliyotabiri na yakatimia ni pamoja na:
1. Kifo cha Malkia Elizabeth
2. Uchaguzi wa Kenya uliompa Ruto ushindi
3. Machafuko nchini Kenya
4. Uchaguzi nchini Nigeria
Na mengine mengi!
Kuhusu Trump, amesema kuwa kuna watu waliopanga kumkwamisha lakini hawatafanikiwa kwa sababu Mungu ameshampa Trump ushindi. Kwa lugha nyingine, Joe Biden ni msindikizaji tu. Rais wa Marekani ni Donald Trump.
Asiyeamini asubirie uchaguzi ufanyike halafu aurejee tena huu uzi!
Trump ni Rais wa Marekani 2025 - 2028.
View attachment 3041965