Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mugabe ana majibu ya ajabu sana..Uwa hakwepeshiMugabe huwa hacheleweshi,nimependa maswali yake ya mwisho eti ' Is that Trump’s head okay? And, are there enough doctors in America to check this man’s psychiatric condition? '
Siyo kuongoza tu ila ni Rais ajaaye wa US.alafu nashangaa eti Trumph anaongoza kura za maoni
Trump ana kichaanimejiskia kumpa hiyo title
Trump ana kichaa
eti Akiwa Raisi atajaribu kurudisha ukoloni tena....kwa maana waafrika hatuwezi kujiongoza
Ha ha ha !Teh teh... PsychoTrump kakutana na chizi zaidi yake
Yule Trumph ni mropokaji tu...hana hekima...sijui,.....wamarekani wakimchagua ni nomaHa ha ha !
Trump naona kaenda mbali sana kwa Mzee Jongwe wa Zimbabwe!
Mugabe ana akili Zaidi kumzidi Trump by far, na akiendelea kumsakama utasikia za uso atazaopewa Trump the Dumb!
Aiseeee....Inawezekana...Siyo kuongoza tu ila ni Rais ajaaye wa US.
Na anaweza akawa rais..ila akishinda atawaonea sana wale wa dini ilee!!!alafu nashangaa eti Trumph anaongoza kura za maoni
sidhani kama "system" ya US itaruhusu auchukue uraisNa anaweza akawa rais..ila akishinda atawaonea sana wale wa dini ilee!!!
Because they r black.mbna bush ameua sn hajawekw ndan israel inaua kila cku mbna hamna hatua inafnyw n UN na marekan.ukiangalia trump kuna vitu yuko rite ila km rais vita y 3 y dunia inakuja km ilivyo ktk NEW WORLD ORDER.
Mkuu uamini au lah, ila Trump ndiye mrithi wa Obama.sidhani kama "system" ya US itaruhusu auchukue urais
Kumbuka "System" ndiyo hua inachagua Rais katika nchi yoyote duniani...na sio kura za watu
Mkuu uamini au lah, ila Trump ndiye mrithi wa Obama.