Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #21
PresidaaTrump ye anafurahia tu, 2020 alikula kona, very selfish
Mbona Tanzania ni fresh tu bro..Natamani ningezaliwa mzungu sema ndo vile tena nikajikuta Tanganyika ya MAFISADI.
USA Baby..... mwakani nahamia ulaya.
Ngabu nifanyie mpango nizamie mamtoni.
Nitumie hela kwanza.Ngabu nifanyie mpango nizamie mamtoni.
Daaaahh..... shingapiNitumie hela kwanza.
US itakuwa inaendeshwa na ma oligarchs na Rais kama Russia.Ma Tycoon wote ndani ni mda wa Trump
Democrats wanaheshimu peaceful transfer of power, January 6 2021 MAGA walivamia bunge wakanya hadi kwenye meza za wabunge.Very smooth, hakuna mambo mengi
Seamless transition of power.Very smooth, hakuna mambo mengi
Trump speech ndio best speech kwa Karne ya 21US itakuwa inaendeshwa na ma oligarchs na Rais kama Russia.