Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #61
Katika mambo ambayo siyaelewi ni hayo ya ma transgender, ma pronoun…they, them, etc.Bila kuchoka
Hii speech sio speech ni tumaini jipya sio kwa US pekee Bali dunia
Imagine US president ana draw line MALE AND FEMALE katika dunia hii inayotaka kuaminisha watu uovu wa transgender
Mara sijui watu wanaji identify kama wanyama…
Jinsia ziko mbili tu. Ke na Me.