zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Sijaelewa picha na maelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa picha na maelezo
Kutapambazuka si muda mrefu....Sijaelewa picha na maelezo
Kwamba wasio na jinsia waanze kuzisaka jinsia zaoKutapambazuka si muda mrefu....
Biden dakika za mwisho katoa pre-emptive pardons kwa wore hao.Kurudi kwa Trump ni somo zuri sana kwa watawala waliopo madarakani.
Kuwatendea vyema wapinzani wako ni jambo muhimu sana.
Democrats walimnyanyasa sana Trump. Kesi kila kona.
Wakavamia nyumba yake huko Florida na wakaisachi hadi kwenye makabati ambako mke wa Trump anahifadhi nguo zake za ndani.
Kesi za figisu huku na kule.
Yote hayo katika lengo la kumfanya asigombee urais au kumjeruhi kiasi kwamba akigombea, ashindwe.
Kagombea na akashinda.
Na watu wamempigia kura hivyo hivyo huku wakijua ana makesi kibao.
Uzuri ni kwamba, idadi kubwa ya watu waliziona hizo kesi ni za uchwara na za kizushi. Hivyo hawakujali kabisa.
Sasa wale wote waliohusika na kumnyanyasa Trump wana matumbo joto 🤣.
Wanahofia atawafanyia kile ambacho wao walimfanyia.
Sasa sijui wakati wanamnyanyasa walikuwa wanategemea nini.
Hahahaa. Yeah nimeona.Biden dakika za mwisho katoa pre-emptive pardons kwa wore hao.
Duh Kuna mzungu 1 alitunyima visa wote tulioenda hiyo sikuNitumie hela kwanza.
Una iPhone?Nionyeshee kwenye hio F ni wapi ili na mimi nihakikishe huku km unasema kweli
Sanaaaaaa tu in Jesus nameNi mwendo wa prayers kufukuza demons zote 🙏🙏🙏
Kwani hakwenda Kwa njia halali? Illegal migrants?Inavoonesha lijamaa halina utani kwenye hilo swala,nina clasmate yuko huko nimeona kapost status whataspp anarudi nyumbani anawalaumu joe na kamala
Uzuri ni kuwa mtu binafsi akienda mahakamani akashida, katazo hilo linakuwa batili na maisha yanaendeleaTrump ye anafurahia tu, 2020 alikula kona, very selfish
Hahaha na sio Carter hata Trump hakuanzisha vita kwenye kipindi chake Cha kwanzaWakomunisti mna propaganda za kipuuzi sana, umeweka miako 40 iliyopita makusudi ili tu umuondoe Jimmy Carter.
Yule jamaa alikuwa anasali kama anaimba HiphopDah, kuna black anasali hapa. Trump anataka kucheka. Watu weusi kwa Drama.
Kwamba Marekani ilikuwa ndio kikwazo kwa binadamu waliopo Tanzania kuji idetify kama binadamu? Hii ina maana lakini kwa Marekani (maana amesema in America, sio in the World). Haina athari yoyote kwa Tanzania. Kila mmoja ana wajibu wa kufanya jitihada za kumrudisha kwa Mungu mtu wake wa karibu au jirani, itakuwa na athari zaidi kuliko kutegemea tamko la rais wa nchi nyingine.Mambo ya mtu kuji identify kama paka ikiwa binadamu, mambo ya they/them kwisha sasa.
Kwa hili Trump ana nafasi ya kipekee kwa Mungu.