Donald Trump: Kuanzia sasa Serikali ya Marekani itatambua jinsia mbili pekee, Mwanaume na Mwanamke

Donald Trump: Kuanzia sasa Serikali ya Marekani itatambua jinsia mbili pekee, Mwanaume na Mwanamke

1737414542274.png

Sikuwahi kumpenda Donald Trump ingawa nilimshabikia tokana na kutokuwa mnafiki. Kwa kutamka rasmi kuwa Marekani inatambua jinsia mbili, sina namna ya kushangilia ushindi wake dhidi ya unyama na uhayawani wa kishoga na kishetani.
Long live Don Trump.
 
Kurudi kwa Trump ni somo zuri sana kwa watawala waliopo madarakani.

Kuwatendea vyema wapinzani wako ni jambo muhimu sana.

Democrats walimnyanyasa sana Trump. Kesi kila kona.

Wakavamia nyumba yake huko Florida na wakaisachi hadi kwenye makabati ambako mke wa Trump anahifadhi nguo zake za ndani.

Kesi za figisu huku na kule.

Yote hayo katika lengo la kumfanya asigombee urais au kumjeruhi kiasi kwamba akigombea, ashindwe.

Kagombea na akashinda.

Na watu wamempigia kura hivyo hivyo huku wakijua ana makesi kibao.

Uzuri ni kwamba, idadi kubwa ya watu waliziona hizo kesi ni za uchwara na za kizushi. Hivyo hawakujali kabisa.

Sasa wale wote waliohusika na kumnyanyasa Trump wana matumbo joto 🤣.

Wanahofia atawafanyia kile ambacho wao walimfanyia.

Sasa sijui wakati wanamnyanyasa walikuwa wanategemea nini.
Biden dakika za mwisho katoa pre-emptive pardons kwa wore hao.
 
Biden dakika za mwisho katoa pre-emptive pardons kwa wore hao.
Hahahaa. Yeah nimeona.

Wamejistukia kuwa walichemsha.

Katoa pardons kwa ndugu zake wote 🤣.

Binafsi sidhani kama Trump atalipiza kisasi.

Naombea hata asijaribu kufanya hivyo maana njia pekee ya kuondokana na Lawfare ni kutokuiendeleza.

Ushindi wa Trump ni revenge tosha na iliyo tamu zaidi kuliko hata kuwalipizia kisasi hao wapinzani wake.

Jitihada zao zote za kumfunga zimewatokea puani.

Aachane nao tu.
 
Nitumie hela kwanza.
Duh Kuna mzungu 1 alitunyima visa wote tulioenda hiyo siku

Kumbe ndo zake wamempa likizo ya lazima 🤣 maana haiwezekani wote atunyime Tena haulizi ht swali
Naomba Mungu next time nisimkute
Ningejua USA sahivi
 
Hotuba nzima sijasikia akisema CCM oyeeeeee, ingekua bongo sasa...... anyway hawezi kutekeleza kwa asilimia Mia moja but at least ameleta changamoto mpya zenye tafakuri mpya. Hongera Trump
 
Inavoonesha lijamaa halina utani kwenye hilo swala,nina clasmate yuko huko nimeona kapost status whataspp anarudi nyumbani anawalaumu joe na kamala
Kwani hakwenda Kwa njia halali? Illegal migrants?
 
Wakomunisti mna propaganda za kipuuzi sana, umeweka miako 40 iliyopita makusudi ili tu umuondoe Jimmy Carter.
Hahaha na sio Carter hata Trump hakuanzisha vita kwenye kipindi chake Cha kwanza
 
Keshaanza kazi. Mwendo wa kusaini executive orders tu.

Hii picha imenikumbusha picha moja ya Magufuli akiwa na mafaili.

IMG_7490.jpeg
 
Mambo ya mtu kuji identify kama paka ikiwa binadamu, mambo ya they/them kwisha sasa.

Kwa hili Trump ana nafasi ya kipekee kwa Mungu.
 
Mambo ya mtu kuji identify kama paka ikiwa binadamu, mambo ya they/them kwisha sasa.
Kwa hili Trump ana nafasi ya kipekee kwa Mungu.
Kwamba Marekani ilikuwa ndio kikwazo kwa binadamu waliopo Tanzania kuji idetify kama binadamu? Hii ina maana lakini kwa Marekani (maana amesema in America, sio in the World). Haina athari yoyote kwa Tanzania. Kila mmoja ana wajibu wa kufanya jitihada za kumrudisha kwa Mungu mtu wake wa karibu au jirani, itakuwa na athari zaidi kuliko kutegemea tamko la rais wa nchi nyingine.
 
Back
Top Bottom