Donald Trump: Kuanzia sasa Serikali ya Marekani itatambua jinsia mbili pekee, Mwanaume na Mwanamke

God's Plan huyu mzee kurudi tena wauza Yas woote yas zao zinapwita maaneeneeer zao tena alitakiwa aseme waliojibadilisha woote piga risasi hadharani na wanaoshabikia wanaopractice u Yas wote ua immediately.
 
Hasira ziko wapi hapo? Acha ku imagine vitu ambavyo havipo!

Au neno ‘ujinga’ ndo limekufanya uone hasira?

Ujinga kila mtu anao….ujinga ni ile hali ya kutokujua tu. Si tusi.

So relax. Okay?
Hahaha usijali
 
Trump ye anafurahia tu, 2020 alikula kona, very selfish
Kutambua jinsia mbili itausaidia vipi uchumi wa US au dunia kwa ujumla?

Itasaidia vipi kukomesha ubabe wa Urusi kule Ukraini au italeta vipi amani mashariki ya kati?

Watu wanapenda kushadadia hoja za kijinga zisizo na manufaa yeyote.

Trump nae amekuwa kama viongozi wa Afrika wanaotafuta cheap populality kwa hoja za ushoga, amekuwa mjinga!
 
Kumbe ndio maana walitaka kumuua
Woke culture is a mental ilines
 
“Nakuomba Rais Trump kwa Jina la Mwenyezi Mungu, uwe na huruma kwa Watu wa mapenzi ya Jinsia moja na Wahamiaji haramu, wanaogopa sana”
 
Trump tunyooshee amerika na dunia kwa ujumla. Hatucheki na kima,upinde,uhamiaji haramu na talaka.
 
Anaposema jinsia mbili tu ina maana hajui kuwa kuna ya tatu? Ya tatu ni wale wenye jinsia mbili, dushe na mbususu, hao anawaweke kundi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…