Donald Trump: Mji wa Springfield Marekani hali ni tete watu wanakula paka na mbwa

Donald Trump: Mji wa Springfield Marekani hali ni tete watu wanakula paka na mbwa

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Mgombea Urais wa Marekani Rais mstaafu Donald Trump amekuwa consistent na hoja yake (pia hajaikanusha)aliyoitoa wakati wa mdahalo kwamba katika mji wa Springfield Ohio wananchi wanakula paka na mbwa.

Baadhi ya vyombo vya habari nchini marekani ambavyo mara nyingi Trump huviita kwa jina la fake media/fake news vinajitahidi kukanusha kwa kasi lakini ukweli unaendelea kutafutwa.

Kwa uzoefu wangu najua kabila la wasafwa hapa Tanzania niliwahi kuwashuhudia wakichemsha paka na panya kama sehemu ya msosi.

Springfield ni mji uliovamiwa na wahamiaji wengi kutoka Haiti wenye asili ya uafrika.

Hoja ya Trump haiwezi kupuuzwa hivi hivi bali uchunguzi zaidi unapaswa kufanyika.
ukipita mtandaoni unaweza kuona baadhi ya wana-Springfield wanakiri kupotea kwa paka na mbwa wa mitaani.

Soma Pia: Risasi zarindima katika eneo la karibu alipokuwepo Donald Trump, Maafisa usalama wanasema yupo salama

Balozi wa Marekani nchini Tanzania inabidi atoke mafichoni na kutuhakikishia kuwa huko Springfield hali ya usalama wa paka na mbwa ni shwari.

@nyaningabu Kiranga Mzee Mwanakijiji hebu njooni huku.
 
wamarekani wasitaharuki kiivyo..paka na mbwa ni kitoweo kama vitoweo vingine...ha ha ha
 
Akikuhakikishia itakusaidia nini wewe ? ....
itasaidia wengine hususani wamarekani wanaoishi Tanzania na watanzania wanaotamani kwenda kwenye mji huu wa THE SIMPSONS...
 
Mgombea Urais wa Marekani Rais mstaafu Donald Trump amekuwa consistent na hoja yake (pia hajaikanusha)aliyoitoa wakati wa mdahalo kwamba katika mji wa Springfield Ohio wananchi wanakula paka na mbwa.
baadhi ya vyombo vya habari nchini marekani ambavyo mara nyingi Trump huviita kwa jina la fake media/fake news vinajitahidi kukanusha kwa kasi lakini ukweli unaendelea kutafutwa.

kwa uzoefu wangu najua kabila la wasafwa hapa Tanzania niliwahi kuwashuhudia wakichemsha paka na panya kama sehemu ya msosi.

Springfield ni mji uliovamiwa na wahamiaji wengi kutoka Haiti wenye asili ya uafrika.

Hoja ya Trump haiwezi kupuuzwa hivi hivi bali uchunguzi zaidi unapaswa kufanyika.
ukipita mtandaoni unaweza kuona baadhi ya wana-Springfield wanakiri kupotea kwa paka na mbwa wa mitaani.

Balozi wa Marekani nchini Tanzania inabidi atoke mafichoni na kutuhakikoshia kuwa huko Springfield hali ya usalama wa paka na mbwa ni shwari.

@nyaningabu Kiranga Mzee Mwanakijiji hebu njooni huku.
Wewe shikilia kwanza usalama wa raia wa Tanzania wanaouawa na wasiojulikana.

Kufuatilia paka wa Marekani wakati raia wa nchi yako wanapotea ni kituko.
 
Wewe shikilia kwanza usalama wa raia wa Tanzania wanaouawa na wasiojulikana.

Kufuatilia paka wa Marekani wakati raia wa nchi yako wanapotea ni kituko.
vyote viende pamoja mwana...Raia kula paka na panya huko marekani ni jambo la kiusalama huko marekani .ndio maana nimeomba balozi aingilie kati.
 
A



Jingalao hilo! Ndugu na jamaa zake including himself wanarefusha maisha kwa hisani ya Marekani analeta ujinga humu.
eboo!! ujinga huu sijauanzisha mimi ila mgombea Urais na mgombea mwenza wamekomaa ...LISEMWALO LIPO BROTHER
 
Tunawaandalia na ulanzi ndugu zetu
wajifunze tu ..mbwa ,paka ,komba , nyani ni vitoweo mujarabu ...sio aibu.nashangaa hata vyombo vyetu vya habari nchini vimevaa miwani ya mbao kuhusu swala hili linalolitrend duniani.hapa ndipo ninapoona unafiki na uzandiki wa vyombo vya habari.
Pascal Mayalla njoo hapa
 
Haitians hawanaga dini na wanaamini sana ktk mambo ya voodoo.inawezekana
 
Back
Top Bottom