jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Mgombea Urais wa Marekani Rais mstaafu Donald Trump amekuwa consistent na hoja yake (pia hajaikanusha)aliyoitoa wakati wa mdahalo kwamba katika mji wa Springfield Ohio wananchi wanakula paka na mbwa.
Baadhi ya vyombo vya habari nchini marekani ambavyo mara nyingi Trump huviita kwa jina la fake media/fake news vinajitahidi kukanusha kwa kasi lakini ukweli unaendelea kutafutwa.
Kwa uzoefu wangu najua kabila la wasafwa hapa Tanzania niliwahi kuwashuhudia wakichemsha paka na panya kama sehemu ya msosi.
Springfield ni mji uliovamiwa na wahamiaji wengi kutoka Haiti wenye asili ya uafrika.
Hoja ya Trump haiwezi kupuuzwa hivi hivi bali uchunguzi zaidi unapaswa kufanyika.
ukipita mtandaoni unaweza kuona baadhi ya wana-Springfield wanakiri kupotea kwa paka na mbwa wa mitaani.
Soma Pia: Risasi zarindima katika eneo la karibu alipokuwepo Donald Trump, Maafisa usalama wanasema yupo salama
Balozi wa Marekani nchini Tanzania inabidi atoke mafichoni na kutuhakikishia kuwa huko Springfield hali ya usalama wa paka na mbwa ni shwari.
@nyaningabu Kiranga Mzee Mwanakijiji hebu njooni huku.
Baadhi ya vyombo vya habari nchini marekani ambavyo mara nyingi Trump huviita kwa jina la fake media/fake news vinajitahidi kukanusha kwa kasi lakini ukweli unaendelea kutafutwa.
Kwa uzoefu wangu najua kabila la wasafwa hapa Tanzania niliwahi kuwashuhudia wakichemsha paka na panya kama sehemu ya msosi.
Springfield ni mji uliovamiwa na wahamiaji wengi kutoka Haiti wenye asili ya uafrika.
Hoja ya Trump haiwezi kupuuzwa hivi hivi bali uchunguzi zaidi unapaswa kufanyika.
ukipita mtandaoni unaweza kuona baadhi ya wana-Springfield wanakiri kupotea kwa paka na mbwa wa mitaani.
Soma Pia: Risasi zarindima katika eneo la karibu alipokuwepo Donald Trump, Maafisa usalama wanasema yupo salama
Balozi wa Marekani nchini Tanzania inabidi atoke mafichoni na kutuhakikishia kuwa huko Springfield hali ya usalama wa paka na mbwa ni shwari.
Weiterleitungshinweis
www.google.com