Donald Trump: We hata kama hunipendi, nipigie tu kura

Donald Trump: We hata kama hunipendi, nipigie tu kura

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Uwanja wa siasa nchini Marekani umezidi kuchangamka na hii ni baada ya mgombea wa chama cha Republican, Donald Trump, hivi karibuni kusema kuwa hata kama humpendi yeye kama yeye ni muhimu sana kumpigia kura.

Trump aliyasema hayo kwenye jimbo la Pennsylvania huko nchini Marekani akiwa kwenye kipindi special cha Trump Townhall pale Fox News.

Rais huyo wa zamani alidokeza kuwa wamarekani "have no choice" na kwamba haijalishi unampenda au humpendi, anachohitaji ni kura yako tu.

"You have no choice, you've gotta vote for me ........ even if you don't like me"

Zikiwa zimebaki takribani siku 60 mpaka uchaguzi wa Marekani kufanyika, Trump yuko kwenye ushindani na mzito na Kamala Harris ambaye anawakilisha chama cha Democrats.

Trump says you have no choice in a Trump Townhall.jpg


Unaionaje kauli hii ya Bwana Trump? Unadhani maji yamefika shingoni ndo maana anatoa kauli kama hizi au upepo bado upo upande wake?

Nawasilisha.

Soma pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
 
Uwanja wa siasa nchini Marekani umezidi kuchangamka na hii ni baada ya mgombea wa chama cha Republican, Donald Trump, hivi karibuni kusema kuwa hata kama humpendi yeye kama yeye ni muhimu sana kumpigia kura.

Trump aliyasema hayo kwenye jimbo la Pennsylvania huko nchini Marekani akiwa kwenye kipindi special cha Trump Townhall pale Fox News.

Rais huyo wa zamani alidokeza kuwa wamarekani "have no choice" na kwamba haijalishi unampenda au humpendi, anachohitaji ni kura yako tu.



Zikiwa zimebaki takribani siku 60 mpaka uchaguzi wa Marekani kufanyika, Trump yuko kwenye ushindani na mzito na Kamala Harris ambaye anawakilisha chama cha Democrats.

View attachment 3087665

Unaionaje kauli hii ya Bwana Trump? Unadhani maji yamefika shingoni ndo maana anatoa kauli kama hizi au upepo bado upo upande wake?

Nawasilisha.

Soma pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
Trump ni bora kuliko huyo baniani. Hata mimi ningekuwa mmarekani na vote Trump.

Mimi hawa Rais wa USA wote sioni kama wanafanya kwa faida ya nchi yao kuliko kwa Israel. Wote ni ma puppets wa Israel.
 
Trump ni bora kuliko huyo baniani. Hata mimi ningekuwa mmarekani na vote Trump.

Mimi hawa Rais wa USA wote sioni kama wanafanya kwa faida ya nchi yao kuliko kwa Israel. Wote ni ma puppets wa Israel.
Nukukumbushe Trump aliitambua jerusalem kama mji mkuu wa israel
 
Trump ni bora kuliko huyo baniani. Hata mimi ningekuwa mmarekani na vote Trump.

Mimi hawa Rais wa USA wote sioni kama wanafanya kwa faida ya nchi yao kuliko kwa Israel. Wote ni ma puppets wa Israel.
Alivyo Allah kwa wapalestina na kashindwa kuwasaidia?
 
Nashangaaga sana watu wanaomuona trump kama saviour wa wapalestina ni hawajui american foreign policy
Hawajui tu Trump ni hatari sana kwa Uwarabu/Uislam alishaolozeaha kipindi cha urais wake nchi kibao za kiarabu na kiislam kuwa raia wake ni marufuku kukanyaga Marekani. Aliitoa Marekani kwenye makubaliano maalum nyukiria na Iran Makubaliano ambayo Mataifa ya Magharib yaliingia kipindi cha Obama.
 
Ila Trump hanaga kupepesa macho
Mwaka 1988 alfanyiwa Interview na Larry King sijui alibanwa maswali na mwamba wa maswali?
Alijikuta anamwambia hebu nikae mbali kidogo na wewe maana unatoa harufu mbaya kinywani
Hivi hujawahi kuambia na mtu
Larry akamwambia hasha 😄 🤣
 
Trump ni bora kuliko huyo baniani. Hata mimi ningekuwa mmarekani na vote Trump.

Mimi hawa Rais wa USA wote sioni kama wanafanya kwa faida ya nchi yao kuliko kwa Israel. Wote ni ma puppets wa Israel.
Hata Trump atafanya kwa faida ya Israel usisahau hilo
 
Back
Top Bottom