Donald Trump: We hata kama hunipendi, nipigie tu kura

Donald Trump: We hata kama hunipendi, nipigie tu kura

Allah awasaidie wapelistina dhidi ya israel au ameshindwa
Wakristo mna hali mbaya sana, badala kumcheka aliye andika bibilia kwa kuwambia Israel ni taifa la mungu wenu atalilinda. Hatuoni analilinda hapo tuna ona wazi kabisa mungu wa kikristo ambaye ni Yesu alisha kufa haba uwezo hata wakuinua mkono. Tunaona ni US ambalo ni taifa la shetani na Nato kwa ujumla ndio wanalilinda sio mungu wenu 😄

Kuna msemo unasema kama nyumba yako ni ya vigae usiwarushie wenzako mawe.

Afu lile banda la kuku mnalikumbuka alilo piga Hezbullah, tukawambia kulikua na majogoo mengi wananza taratibu kukiri majogoo mengi yalikufa, haswa lile kuchi lao.
 
Trump ni bora kuliko huyo baniani. Hata mimi ningekuwa mmarekani na vote Trump.

Mimi hawa Rais wa USA wote sioni kama wanafanya kwa faida ya nchi yao kuliko kwa Israel. Wote ni ma puppets wa Israel.

Kwani Kamala ni Mhindi au ni mtu mweusi mkuu
 
Wakristo mna hali mbaya sana, badala kumcheka aliye andika bibilia kwa kuwambia Israel ni taifa la mungu wenu atalilinda. Hatuoni analilinda hapo tuna ona wazi kabisa mungu wa kikristo ambaye ni Yesu alisha kufa haba uwezo hata wakuinua mkono. Tunaona ni US ambalo ni taifa la shetani na Nato kwa ujumla ndio wanalilinda sio mungu wenu 😄

Kuna msemo unasema kama nyumba yako ni ya vigae usiwarushie wenzako mawe.

Afu lile banda la kuku mnalikumbuka alilo piga Hezbullah, tukawambia kulikua na majogoo mengi wananza taratibu kukiri majogoo mengi yalikufa, haswa lile kuchi lao.
Hayo mambo ya mapokeo ya dini ya wakristo hayakuhusu wewe muislamu
Jiulize kwanini alah hawasaidii wapalestina na kila siku wanamuita
Kwa lugha nyingine allah kashindwa walinda palestina
 
Hayo mambo ya mapokeo ya dini ya wakristo hayakuhusu wewe muislamu
Jiulize kwanini alah hawasaidii wapalestina na kila siku wanamuita
Kwa lugha nyingine allah kashindwa walinda palestina
Kama hawasaidii.mbona bado wanapigana vita na wamefungiwa chakula, silaha, umeme, maji na sunction za kila aina. Sa jiulize nani anawasaidia hapo, US na Nato au 😄

Israel afungiwe umeme,chakula, maji na silaha au afanyiwe sunction za kila aina, unadhani hata week angebaki 😄 Hapo wazi taifa teule la kikristo ni fake kama ukristo wenu ullvyo ni fake.

Hivi nani aliye wambia ukristo ni dini? Yesu au Ibrahim au nani Musa au
 
Kama hawasaidii.mbona bado wanapigana vita na wamefungiwa chakula, silaha, umeme, maji na sunction za kila aina. Sa jiulize nani anawasaidia hapo, US na Nato au 😄

Israel afungiwe umeme,chakula, maji na silaha au afanyiwe sunction za kila aina, unadhani hata week angebaki 😄 Hapo wazi taifa teule la kikristo ni fake kama ukristo wenu ullvyo ni fake.

Hivi nani aliye wambia ukristo ni dini? Yesu au Ibrahim au nani Musa au
Mbona tena unahamia kwenye mambo ya dini
Sawa ukristo sio dini wewe muislamu inakupunguzia nini kwanini hamjifunzi kushughulika na mapokeo ya dini yenu
 
Mbona tena unahamia kwenye mambo ya dini
Sawa ukristo sio dini wewe muislamu inakupunguzia nini kwanini hamjifunzi kushughulika na mapokeo ya dini yenu
Aliye anzisha dini nani sio huyo mkristo mwenzako, kusema Allah wenu yuko wapi hawasaidii wa Palestine alitaka tumnyamazie. Nimemjibu naona nimewakuna sawa sawa, sababu taifa teule lenu linasaidiwa na US pamoja na Nato, na bado halijashinda mpaa leo. Wanapokea vifoo huko Gaza. Afu nyie mnaona enda kanisani kumbe kulala lazima muambiwe 3=1😄



View: https://youtube.com/shorts/HWDrd8JGjPM?si=fpbV3MnCdg70WoiR

Kule Gaza vijana wanauza vyuma sasa kwa ma tons


View: https://youtube.com/shorts/ljJkIUilGEw?si=hMsPHAY19uexsTsQ
 
Aliye anzisha dini nani sio huyo mkristo mwenzako, kusema Allah wenu yuko wapi hawasaidii wa Palestine alitaka tumnyamazie. Nimemjibu naona nimewakuna sawa sawa, sababu taifa teule lenu linasaidiwa na US pamoja na Nato, na bado halijashinda mpaa leo. Wanapokea vifoo huko Gaza. Afu nyie mnaona enda kanisani kumbe kulala lazima muambiwe 3=1😄



View: https://youtube.com/shorts/HWDrd8JGjPM?si=fpbV3MnCdg70WoiR

Kule Gaza vijana wanauza vyuma sasa kwa ma tons


View: https://youtube.com/shorts/ljJkIUilGEw?si=hMsPHAY19uexsTsQ

Tuma picha usichoke alafu mwambie allah wenu awasaidie wapalestina
 
nawasiwasi na mwanamke huyo kupata urais labda atafutiwe mtu ampakie mkongo

Putin mwenyewe amepga dongo kimtindo
 
Hilo jimbo la pennsylvania Trump ameshashinda. Inaonekana ujumbe wake ulieleweka
 
Back
Top Bottom