Donald Trump with Flaviana Matata

Donald Trump with Flaviana Matata

When I grow up, I want to be Donald.....


donald-trump_5696371.jpg
aaaaaaaah af mi niwe huyo muwhite enh!hv wakubwa ndo wanashika tu watu viuno na kugaiwa makiss kisss meeeengi we ona hapo mabebs wote wameandaa midomo ready for donald!uuuwih bora tu ukue mkubwa mtani wangu.
 
yaani mtani we ngoja tu nikue miye loh!!...nitaing'ata hiyo milipsss

halafu mtani jana nimekutafuta kwa simu nikawa sikupati...vipi nitakupataje mie???

aaaaaaaah af mi niwe huyo muwhite enh!hv wakubwa ndo wanashika tu watu viuno na kugaiwa makiss kisss meeeengi we ona hapo mabebs wote wameandaa midomo ready for donald!uuuwih bora tu ukue mkubwa mtani wangu.
 
When I grow up, I want to be Donald.....


donald-trump_5696371.jpg

Lakini hapa mbona kama flavianna ametahamaki?! Sijui ndio anaona kwa nini asiwe yeye kwenye position ya huyo dada hapo?! Ukiangalia facial expression yake haionekani kama kawaida!!
 
Lakini hapa mbona kama flavianna ametahamaki?! Sijui ndio anaona kwa nini asiwe yeye kwenye position ya huyo dada hapo?! Ukiangalia facial expression yake haionekani kama kawaida!!
Nadhani jamaa akiwaambia aka wa-do watakataa, wala hawatakubali.
 
Alikuambia Donald anapapatikiwa na kila mtu TZ?
mkuu nikusahihishe kidogo.issue sio Donald John Trump kupapatikiwa bongo....ni stutus yake kimataifa ktk nyanja ya biashara hususani biashara ya real estate.mtu kama huyu sio tu bongo hata huku western jina lake pekee ni ujazo wa prominent personality.huwezi kumfaninisha na matepeli wa bongo mfano wa kina papaa msofe na ndama mtoto ya ng'ombe.jamaa ni tajiri mkubwa sana.so kwa mtoto wa kimatumbi flaviana matata kupata nafasi ya kupiga picha nae sio jambo la kimasihara.kama baba naniliyu anaona ujiko kupiga picha na kombe la dunia je kwa huyo model wetu tusifurahie jamani?!acheni hizi mambo wa wabongo.
 
When I grow younger, I want to be Flaviana . . .
Mbona Flavi amehamaki kana kwamba hakutarajia hiyo kitu. Kwa maneno mengine kama vile yeye ndio alistahili kufanyiwa.

donald-trump_5696371.jpg


Ila hii picha inazungumza maneno mengi kweli.

Kuna ka-Racism nakaona kwa mbaaali.
 
Mwaume kwa umbea yulee khaaaa
Mie nikafungua najua wapo sehemu na Faviana ufukweni hivii enheee kumbe jukwaani tena kikazi.

Kwako wewe Ufukweni tu ndio ina maana ya "WITH" Wabongo acheni wivu nyee, bhaaa. Mtoto yupo juu bana. Kwanini wewe kikazi mara ngapi umesha kuwa na Rais wenu? Oooops,
 
Kumbe nina mbegu nzuri hivi jamani??? hata sikujua tangu zammani ujue
 
Kwako wewe Ufukweni tu ndio ina maana ya "WITH" Wabongo acheni wivu nyee, bhaaa. Mtoto yupo juu bana. Kwanini wewe kikazi mara ngapi umesha kuwa na Rais wenu? Oooops,

JK kila siku nipo nae kwanye Tv kwenye Michuzii Kwenye Misiba sehemu kibao.
 
Lakini hapa mbona kama flavianna ametahamaki?! Sijui ndio anaona kwa nini asiwe yeye kwenye position ya huyo dada hapo?! Ukiangalia facial expression yake haionekani kama kawaida!!

Tafsiri zinaweza kuwa nyingi, labda anashangaa kuwa...tobaaa, yanafika huko tena?
 
kishakubali kukisiwa na the don basi wewe unabahati..
 
Back
Top Bottom