Dondoo kuhusu biashara ya mitungi ya gesi

Dondoo kuhusu biashara ya mitungi ya gesi

Rodney01

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2013
Posts
827
Reaction score
830
Wadau ningependa mtu anayeifanya biashara hii anipe abc zake,maana mtaa niliohamia nimeona kuna fulsa sana ya kuanzisha hii biashara ya mitungi ya gesi kwa matumizi ya majumbani.ninahitajika niwe na sh ngapi kama kianzio? je oryx wanaweza kukufanya kama wakala na mambo mengne muhim ningependa kuyafaham.nawakilisha
 
Hata nikikupa kama huna hela ni kupotezeana time tu,sema uko wao unayo hela then nakupa nondo vizur
 
Back
Top Bottom