Dondoo kuhusu ubabe wa japani vita ya dunia.

Dondoo kuhusu ubabe wa japani vita ya dunia.

Hii kamikaze iko hivi, manowari zilikua tishio sana na drill torpedo zilikua bado au chache mbinu rahisi ilikua unajaza mabom ndege ya kivita unatoka speed kujitupia juu ya manowari story inaishia hapo, yako na manowari!
 
Hii kamikaze iko hivi, manowari zilikua tishio sana na drill torpedo zilikua bado au chache mbinu rahisi ilikua unajaza mabom ndege ya kivita unatoka speed kujitupia juu ya manowari story inaishia hapo, yako na manowari!
Kwa tafsiri nyingine nikuwa walikuwa wanajitoa muhanga???
 
Na hayo mabomu ya Nuklia yaliopgwa 1945 kule hiroshima na nagasaki ile Uranium ake iliotumika kuyasuka ilitoka Sehem moja wanaita shinkolobwe Jimbo La katanga kwa wale waliofika Lubumbashi ile njia ya kwenda Likasi-Fungulume kuna eneo unachepuka pale Likasi mbele kama unaenda kusin mwa mji wa Likasi.
 
Chini ya mastermind lsoroku yamamoto huyu jamaa ni hatari alisomea US Harvard University then akarud japan walikuwa wamebakiza mile 1300 kufika US north hawaii kupitia panama canal jamaa walikuwa na nyambiz yenye uwezo wa ku deploy ndege na walikuwa na ndege 8 ktk nyambiz hyo wangefanikiwa kufka hawaii wangekuwa wa kwanza ku hit on front door ya US wange deploy ndege then ingekuwa hatari kwa US sema US waliweza kuwa detect kwa msaada wa mateka wa kjesh wa Japan alievujisha siri US imeiba teknologia kubwa sana kutoka japan na ujeruman jamaa walikuwa mbali sana on military tech US nyng kafanya Reverse engineering
 
Back
Top Bottom