Dondoo za Afya

Globu

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
8,659
Reaction score
2,227
>Usisikilize simu kwa sikio la upande wa kulia.>Usinywe dawa kwa maji ya baridi.>Muda mzuri wa kulala ni baina ya saa nne hadi saa kumi usiku.>Usile mlo mwingi baada ya saa kumi na moja jioni.>Usile chakula na muda huo huo ukalala.>Simu ikikaribia kwisha charge ni hatari kuitumia, kwani mionzi huwa na madhara mara elfu moja zaidi ya kawaida.>Ni vizuri wakati wa kulala, ukalalia ubavu wa kulia au kimgongo mgongo ili kuepusha matatizo ya moyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…