Dondoo za Afya

Dondoo za Afya

Globu

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
8,659
Reaction score
2,227
>Usisikilize simu kwa sikio la upande wa kulia.>Usinywe dawa kwa maji ya baridi.>Muda mzuri wa kulala ni baina ya saa nne hadi saa kumi usiku.>Usile mlo mwingi baada ya saa kumi na moja jioni.>Usile chakula na muda huo huo ukalala.>Simu ikikaribia kwisha charge ni hatari kuitumia, kwani mionzi huwa na madhara mara elfu moja zaidi ya kawaida.>Ni vizuri wakati wa kulala, ukalalia ubavu wa kulia au kimgongo mgongo ili kuepusha matatizo ya moyo.
 
Back
Top Bottom