Tundazuri
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,932
- 2,525
Napenda kuwasapa salamu rafiki zangu.
Kama nilivyosema hapo juu kuhusu dondoo za masomo ya ngazi ya PHD katika chuo cha UDSM.
Nimekuwa nikipata ukakasi wa kwenda kusoma hapo kwa kushauri kwamba bora nikasome Ardhi University kuliko UDSM kwa sababu ya usumbufu.
Usumbufu wenyewe ni kwamba unaweza ukawa uko speed kuandika lakini ukawa unakwamishwa kwenye comments kutoka kwa supervisor na kujikuta unachelewa. Mfano, baadhi ya watu niliowauliza wanasema wamekuwa wakituma andiko lao kwa supervisor na kujikuta wanakaaa hata miezi bila kupata feedback na kubaki wanahang tuu.
Kitu kingine unaweza, ukapata comments kutoka kwa supervisor ila ukija kwenda kwa discussant unabadilishiwa muelekeo wa study yako, au unaweza kwenda kwenye study committee nako ukakutana na kadhia zake na kujikuta hata kama unabidii kwenye kufanya PHD yako lazima tu utachelewa kumaliza.
Nimesikia kuna walaka kwamba wale ambao watamaliza miaka yao ya masomo lakini bado hujagraduate basi utalipa ada nzima ambapo kwa kuchekecha akili yamkini supervisor au hao wanaopitia paper yako wanaweza kuwa ndio chanzo cha kukufanya usimalize kwa wakati. Lakini kama ni kwa uzembe wako mwenyewe unapaswa kufanya hivyo maana unakuwa mwenyewd umejichelewesha.
Nimeandika huu uzi ili niweze kupata ushauri maana nimepata chuo zaidi ya kimoja UDDM ikiwa ni kimoja wapo kusoma PHD.
Naombeni dondoo zenu mliopitia au mnaosoma hapo wapendwa.
Ahsanteni.
Kama nilivyosema hapo juu kuhusu dondoo za masomo ya ngazi ya PHD katika chuo cha UDSM.
Nimekuwa nikipata ukakasi wa kwenda kusoma hapo kwa kushauri kwamba bora nikasome Ardhi University kuliko UDSM kwa sababu ya usumbufu.
Usumbufu wenyewe ni kwamba unaweza ukawa uko speed kuandika lakini ukawa unakwamishwa kwenye comments kutoka kwa supervisor na kujikuta unachelewa. Mfano, baadhi ya watu niliowauliza wanasema wamekuwa wakituma andiko lao kwa supervisor na kujikuta wanakaaa hata miezi bila kupata feedback na kubaki wanahang tuu.
Kitu kingine unaweza, ukapata comments kutoka kwa supervisor ila ukija kwenda kwa discussant unabadilishiwa muelekeo wa study yako, au unaweza kwenda kwenye study committee nako ukakutana na kadhia zake na kujikuta hata kama unabidii kwenye kufanya PHD yako lazima tu utachelewa kumaliza.
Nimesikia kuna walaka kwamba wale ambao watamaliza miaka yao ya masomo lakini bado hujagraduate basi utalipa ada nzima ambapo kwa kuchekecha akili yamkini supervisor au hao wanaopitia paper yako wanaweza kuwa ndio chanzo cha kukufanya usimalize kwa wakati. Lakini kama ni kwa uzembe wako mwenyewe unapaswa kufanya hivyo maana unakuwa mwenyewd umejichelewesha.
Nimeandika huu uzi ili niweze kupata ushauri maana nimepata chuo zaidi ya kimoja UDDM ikiwa ni kimoja wapo kusoma PHD.
Naombeni dondoo zenu mliopitia au mnaosoma hapo wapendwa.
Ahsanteni.