Dondosha komenti hapa:Yanga leo apigwe ngapi ili mji utulie.

Dondosha komenti hapa:Yanga leo apigwe ngapi ili mji utulie.

This is...

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
5,050
Reaction score
5,204
Adui mwombee njaa. Yanga wakifungwa ni heshima hata malaika mbinguni huwa wanashangilia hilo anguko.

Simba ikishinda ni shangwe mbinguni na duniani.
Ni shangwe Africa Mashariki yote.

Hapa hakuna uzalendo. Hatuhitaji uzalendo wa kinafiki.

Utopolo kufungwa ni heshima!

Naombea, napiga dua wafungwe hata goli moja tu!

Nb: Tff itengeni Yanga iwe ni spesho kwa kombe la shirikisho. Huko ndiyo angalao saizi yao.

Timu tangu 1996 - 2023 ndiyo inacheza group stage cafcl. Miaka 27 ndiyo wanakusanya pointi 2.
 
Adui mwombee njaa. Yanga wakifungwa ni heshima hata malaika mbinguni huwa wanashangilia hilo anguko.

Simba ikishinda ni shangwe mbinguni na duniani.
Ni shangwe Africa Mashariki yote.

Hapa hakuna uzalendo. Hatuhitaji uzalendo wa kinafiki.

Utopolo kufungwa ni heshima!

Naombea, napiga dua wafungwe hata goli moja tu!

Nb: Tff itengeni Yanga iwe ni spesho kwa kombe la shirikisho. Huko ndiyo angalao saizi yao.

Timu tangu 1996 - 2023 ndiyo inacheza group stage cafcl. Miaka 27 ndiyo wanakusanya pointi 2.
Upo?
 
Back
Top Bottom