Duuuuh pole zake masikini.Ndio kuna kipindi alikuwa anamsifia sana mara angependa kuwa na mume kama darasa mara darasa ni mume bora
Kama una Buku nipatie nikupe jero... Uko sahihiAcheni porojo ninyi ni wapi ktk hio nyimbo kamsema mtu mbona hamsemi ametaja mara ngapi 'tunachambua kama karanga' Tz shida majungu sana.
Angalia wewe na mahaba mpaka umeacha akili umeshindwa kujua hata salome ya diamond nayo ina origin yake.sasa kama cover ni dhambi yeye ni wa pili.Darassa Nae Kaanza Muziki Wa Majungu Beat Yenyewe Kakopi Vionjo Wa Salome Pamoja Na Baadhi Ya Mashairi. Mimi Nimshauri Afikiri Tu Kiki Za Kudiss Ni Ujinga, Atatumiwa Sana Kina Mchomvu Ili Awatengezee Pesa Kwenye Vitamasha Uchwara Vya Vya Afro Skuli Bash.
Punguza Mbovu mkuu...hivi umesahau kuwa hata baba ako Dimond wimbo wa Salome na beat sio za kwake?!Darassa Nae Kaanza Muziki Wa Majungu Beat Yenyewe Kakopi Vionjo Wa Salome Pamoja Na Baadhi Ya Mashairi. Mimi Nimshauri Afikiri Tu Kiki Za Kudiss Ni Ujinga, Atatumiwa Sana Kina Mchomvu Ili Awatengezee Pesa Kwenye Vitamasha Uchwara Vya Vya Afro Skuli Bash.
Point za kufa mtu mi mwenyewe aliniboa sana mala tena anajikosha eti tunachambuaga kama karangaWanamuziki wetu wengi wana Talanta, lakini wanakosa kitu muhimu sana kinaitwa strategies.. Kwasasa industry nzima imekariri kuwa ukitaka kiki basi uwadiss WCB.. Ni kweli utaongelewa ila ni poor strategy
First time nimesikia huu wimbo nilisikia huo mstari na nikajua tu nini kinatafutwa na nikasikitishwa sana na darasa..
Nitoe mfano; hakuna shabiki ambaye anashabikia msanii mmoja pekee.. Kwa mfano mimi shabiki mkubwa wa muziki wa WCB lakini pia ni shabiki wa Darasa toka enzi zile..
Sasa; muziki ni hisia na huwezi kupenda mziki wa mtu ambaye roho yako haina amani naye! Sasa inapotokea msanii akafanya upuuzi wa kuanzisha chokochoko na msanii mwingine unayemshabikia lazima hisia zako kama mshabiki zitachagua side.. Ndio kusema kwa mfano kwa ishu hii shabiki The Bold lazima ushabiki wake kwa darasa utapungua na kubakia kuwa shabiki wa WCB! Sasa darasa ajiulize anapoteza mashabiki wangapi kwa mtindo huu..
Nitoe mfano mwingine; juzi kati fiesta ilivyokuja Moro nikapata 'shavu' fulani hivi katika maandalizi yake and kwa wiki nzima ile nikajikuta nasikiliza sana clouds fm tofauti na kawaida yangu.. Nakumbuka kuna siku Darasa alikuwa anahojiwa na Diva, akaulizwa unazungumziaje mziki wa singeli na man fongo? Akajibu simjui man fongo... Diva na mbwembwe zake zile akahamaki "ooooohh my gooorsh kwahiyo hujawahi kusikia Hainaga ushemeji?? Unasikikizaga nini sasa kwenye redio??" Akajibu sisikilizi mziki wowote zaidi ya mziki wangu..!!!!
Doooohh nikasema ndugu yetu sifa zishamzidi, nayeye anajiona 'tembo' sasa..
Ila nikapotezea mpaka sasa ndio nakumbuka yale majibu yake yanareflect vipi personality yake ya sasa..
Ninachojaribu kusema ni nini??
Kuna kitabu mashuhuri sana cha Jemedari wa kivita Bwana Sun Tzu (ART OF WAR) na kuna kanuni moja anazungumzia kuwa "dont fight unnecessary wars".. Vita yoyote ina gharama! Kwahiyo kabla ujaanzisha/ujaingia kwenye vita yoyote kwanza fanya tathimini faida na hasara ya vita hiyo.. Je gharama utakayoitumia kupigana vita hiyo inaendana na manufaa utakayoyapata???
Sasa wabongofleva wao wanajua kuanzisha vita tu bila kutathimini gharama za vita hizo na faida gani watapata! Wao wamekariri tu "nitapata kiki"
Hiki ndicho kimemgharimu Dimpoz.. Alianzisha vita bila kufanya tathimini,
Yeye alipagawishwa tu "nitapata kiki" bila kujua gharama ya vita anayoianzisha..
Hakujua mashabiki wake wengi ndio hao hao mashabiki wa WCB na ulipofika muda wa kuchagua kuwekeza hisia zao za muziki kati ya dimpoz na WCB asilimia kubwa wakachagua kuwekeza hisia WCB.!!
Hapa ndipo ninaposema wasanii wetu wengi wana talanta lakini hawana Strategies.. Hata wakiweka strategies wanaweka poor strategies.. Ndio maana sijawahi kujutia kuwaunga mkono WCB, wana mikakati mwanana, muziki mwanana, washauri vichwa na hata wakiamua kuanzisha vita, wanaanzisha vita ambayo wana uhakika hawawezi kushindwa..
The Bold.
Hii nyimbo sijui inaitwa Sonko, tofauti kabisa na Muziki... Em Dj!!! weka muziki tukate viuno bla bla hatutaki kusikiabeat hajakopi popote isipokuwa ilitakakuelekeana na karata dume ya afande sele
Mkuu unapoteza muda wako kuwajibu kwa fact hao vichwa vya panzi akili wameshikiwa!Hebu tuangalie tofauti ya wanaonunua views na wale wasio nunua;
a) wasio nunua views
- mwengine mpaka sasa anakaa kwa mama (he is on his 30's)
- yuko kwenye mziki zaidi ya miaka 10 na bado analalamika kufanyiwa figisu kama underground
- mwingine mziki umemtupa mpaka imebidi ajenge urafiki na waarabu unaotiliwa mashaka ili tu aweze kumudu maisha ya kistaa mjini.
- wote wanashikiwa akili na wadada wa mjini (mwegelo, sepetu & co)
- wana kila dalili ya msongo wa mawazo
b) wanaonunua views
- wanajitegemea kimaisha kwa maana ya makazi.! Kuanzia ndani na nje ya nchi
- ni 'trend setters'! Wanafanya kitu baadae kila msanii anaiga.
- wana kampuni/lebo yenye valuation ya billions of shillings.
- wanaheshimiwa kila kona ya bara la africa kimuziki.
- kila wanachogusa turns into gold.
Sasa; kuna filamu inaitwa 'wolf of wall street', kuna kipande leonardo de caprio anatoa speech kwa wenzake anawaambia "..there is no nobility into being poor! i have been a poor man and i have been a rich man, and I choose rich every f*cking time.."
Na mimi niseme kwamba, ukinambia nichague kuwa niwe nanunua views au niwe sinunui views, jibu langu "..I choose kununua views every f*cking time.."
The Bold.
Salome+Zigo=Huo wimbo.beat na melody ya huu wimbo ni copy ya wimbo fulani....
Hao wenye wivu wanaijua hiyo movie ya The Wolve of wall street?Hebu tuangalie tofauti ya wanaonunua views na wale wasio nunua;
a) wasio nunua views
- mwengine mpaka sasa anakaa kwa mama (he is on his 30's)
- yuko kwenye mziki zaidi ya miaka 10 na bado analalamika kufanyiwa figisu kama underground
- mwingine mziki umemtupa mpaka imebidi ajenge urafiki na waarabu unaotiliwa mashaka ili tu aweze kumudu maisha ya kistaa mjini.
- wote wanashikiwa akili na wadada wa mjini (mwegelo, sepetu & co)
- wana kila dalili ya msongo wa mawazo
b) wanaonunua views
- wanajitegemea kimaisha kwa maana ya makazi.! Kuanzia ndani na nje ya nchi
- ni 'trend setters'! Wanafanya kitu baadae kila msanii anaiga.
- wana kampuni/lebo yenye valuation ya billions of shillings.
- wanaheshimiwa kila kona ya bara la africa kimuziki.
- kila wanachogusa turns into gold.
Sasa; kuna filamu inaitwa 'wolf of wall street', kuna kipande leonardo de caprio anatoa speech kwa wenzake anawaambia "..there is no nobility into being poor! i have been a poor man and i have been a rich man, and I choose rich every f*cking time.."
Na mimi niseme kwamba, ukinambia nichague kuwa niwe nanunua views au niwe sinunui views, jibu langu "..I choose kununua views every f*cking time.."
The Bold.
Wimbo wa mwaka wa mchangani au Mtv?Huu wimbo haujamlenga mtu bana sema tu ndo hivyo timu kujistukia. Ila kiukweli wimbo wa Darasa ndo wimbo wa mwaka, big up kwake
Ile ni Raga siyo Hip Hop.Hiyo ndio Hip Hop mkuu...ni mziki wa majigambo na majisifu.
Kisa cha kuwa Raga na sio hip hop ni kipi?!Ile ni Raga siyo Hip Hop.
Wengine bila lebo zao wasingetokaDarasa Nae kaingia kwenye mzik wamasimango.
Nayeye anaanza kuamini bila kuwadisi wasafi haupati kiki.
Aya poa shabiki wa msaga sumuWimbo m'baya,akajipange upya.
Shida yao wanaona wao ndio kila kitu kwenye mziki hapa bongo hawataki kuona mwanamuziki mngine anafanikiwaUliza vizuri ila umeharibu kufananisha hizi nyimbo mbili, they are totally different, sio kwa flow, melody wala plot ya video. Kwenye beat ndo kuna uelekeano kidogo sana.
Rai yangu: upinzani wa diamond na kiba, usififishe akili zenu na kufanya mumchukie kila msanii. This year darassa amefanya kazi nzuri na anahitaji pongezi.