Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Atasumbua sanaa umri bado kabisaa yan...Kwenye the big boss jamaa anakimbia upepo ukasome😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atasumbua sanaa umri bado kabisaa yan...Kwenye the big boss jamaa anakimbia upepo ukasome😁😁😁😁
Aisee..Anazeeka maana speed ya ngumi zake inaenda inapungua
Aisee..Alipigwa risasi akaichota na mwanzi halafu ikaenda kumpiga mtu mwingine. Uongo balaa
Ip man kuna mkono hadi sio poa.we dogo wa maghorofani bwana hivi upo?
mule ip man 1 mkono ulikuwa hatari
😂Hata Le Mutuz azeeki
Eastern Condors huyo Samo Hung ua sana watu kwa chelewa😀😀😀.Bonge movie.Kuna kitu inaitwa Millionaire Express, Wheel in Meals, Project A ni nomasana. Ila Sammo Hung ni director mzuri sana huwezi amaini ndio aliandaa kitu cha Estern Condors. Nataka siku moja nikusanye muvi zao zote maana KIX hua zinaonyeshwa mara chache
Ndo hyo .KIX Dstv
KungFu 1 Startimes
Wanazionyesha sana
Mdada keshazeeka jamaa bado,,,,, nadhani ni mipango ya Mungu tuHuyu ndio vampire sasa sijui anakulaga nini?? Anaitafuta 70 jamaa
Mimi nahisi ni maumbile ya mtu tu.
Mwingine ni Paul Rudd (Ant-Man) nae ana sura ya kutokuzeeka. Mwangalie Mark Rufallo(Hulk) anaonekana mzee kuliko yeye.
Nilishangaa sana kusika Kanumba alikua na miaka 28[emoji848]
View attachment 2580339
Walikua moto sanaView attachment 2580342
Hii Combination ilikuwaga fire sana, sidhani kama China/Hong kong itashuhudia kizazi bora cha martial art kama hiki
Brad Pitt my fav. Actor na Mwenzie Di Caprio wanachoshwa sana na pombeHuyu ndio vampire sasa sijui anakulaga nini?? Anaitafuta 70 jamaa
Mimi nahisi ni maumbile ya mtu tu.
Mwingine ni Paul Rudd (Ant-Man) nae ana sura ya kutokuzeeka. Mwangalie Mark Rufallo(Hulk) anaonekana mzee kuliko yeye.
Nilishangaa sana kusika Kanumba alikua na miaka 28[emoji848]
View attachment 2580339
[emoji23][emoji23][emoji23]Sisi wabongo ukifika miaka hiyo na makunyanzi yako,
ati unajipa moyo
Ng'ombe hazeeki maini.