Donnie Yen hazeeki

Donnie Yen hazeeki

Kuna kitu inaitwa Millionaire Express, Wheel in Meals, Project A ni nomasana. Ila Sammo Hung ni director mzuri sana huwezi amaini ndio aliandaa kitu cha Estern Condors. Nataka siku moja nikusanye muvi zao zote maana KIX hua zinaonyeshwa mara chache
Eastern Condors huyo Samo Hung ua sana watu kwa chelewa😀😀😀.Bonge movie.
 
Huyu ndio vampire sasa sijui anakulaga nini?? Anaitafuta 70 jamaa
Mimi nahisi ni maumbile ya mtu tu.
Mwingine ni Paul Rudd (Ant-Man) nae ana sura ya kutokuzeeka. Mwangalie Mark Rufallo(Hulk) anaonekana mzee kuliko yeye.
Nilishangaa sana kusika Kanumba alikua na miaka 28[emoji848]
View attachment 2580339
Mdada keshazeeka jamaa bado,,,,, nadhani ni mipango ya Mungu tu
 
Huyu ndio vampire sasa sijui anakulaga nini?? Anaitafuta 70 jamaa
Mimi nahisi ni maumbile ya mtu tu.
Mwingine ni Paul Rudd (Ant-Man) nae ana sura ya kutokuzeeka. Mwangalie Mark Rufallo(Hulk) anaonekana mzee kuliko yeye.
Nilishangaa sana kusika Kanumba alikua na miaka 28[emoji848]
View attachment 2580339
Brad Pitt my fav. Actor na Mwenzie Di Caprio wanachoshwa sana na pombe

Kifupi wengi ni pombe inawachosha
 
Nafkiri na muda wa kutoboa ki movie unachangia.
Nahisi Chan amechelewa kutoboa, yaani alitumia muda mwingi mpaka kujulikana sana na maagent. Lakini Yen hakutumia muda mwingi kupata ma agent wa holiwood. So ikamfanya kupata pesa mingi mapema na kurekebisha maisha mapema. Nahisi Chen kapigwa sana na mawakala kama Rose Mhando.
 
Back
Top Bottom