James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
😂😂😂Kwenye the big boss jamaa anakimbia upepo ukasome😁😁😁😁
Hivi the bigboss ndo kuna yule muuaji anatengeneza kitu Cha mtoto kwa kumia mkono kama nyundo kugongelea misumari au nimechanganya?[emoji23][emoji23][emoji23]
Yule mtoto wa will smith wa kiume alikuwa anakuja vizuri sana sijui kawaje tena siku hizi, movie alizocheza mbili kacheza na mshua wake, moja ndo yupo na jack chan,Chuck Norris alijaribu kumtoa mwanaye sijui ndugu yake yule alikuwa anaitwa Nick Norris sema hakuwa na wakati mzuri Hollywood.
The same watoto wa Chan, Will Smith, Bruce Lee na wengine sijui kwanini hawatoboi wakati resources kwao ni nyingi na connection kibao sema hawatoboi...
Wanachama wa Forever young damu za watoto Zina warudisha utotoni, child trafficking kwaajili ya makafara ya wa kubwa hii Dunia ni zaidi ya unavoijua damu changa ina rejuvenate mwili unajivua gamba then forever young like jigga and queen B, watch and pray.View attachment 2580252
Umeitazama muvi ya John Wick Chapter 4? Humo utakutana na mtaalamu Donnie Yen kacheza kama kipofu aaitwaye. Ni noma sana humo ndani kakiwasha balaa.
Donnie Yen ana miaka 59 sasa anaelekea 60 lakini muonekano wake utadhani ana miaka 40s. Sio kama wenzake Vincent Zhao, Andy lao, Yuen Biao, Jack Chan, Jet lee (huyu kidogo maradhi yamemzoofisha). Bado yuko fit kabisa kuliko beki kisiki wa msimbazi Josh Onyango[emoji28]
Kibongo bongo ukiwa na umri huo tayari ushakua babu unajiandaa kufa.
View attachment 2580250
Ni kama huyu mbabu wa kihindi Anil Kapur unaweza kujua anakua kwa kurudi nyuma. Ukiangalia muvi zake za 90s alikua anamuonekano wa kizee ila miaka inavyozidi kwenda anaonekana kijana. Kwasasa ana miaka 66.
View attachment 2580258
[Anil Kapur aliyevaa viatu vya pink, Huyo binti ni mtoto wake, mwanaume aliye kulia kwake kajishika mkono ni mume wa binti yake]
Dogo kaishia kuwa BwabwaYule mtoto wa will smith wa kiume alikuwa anakuja vizuri sana sijui kawaje tena siku hizi, movie alizocheza mbili kacheza na mshua wake, moja ndo yupo na jack chan,
Rambo, Tom Cruise na actors wengi wanaendaga plastic surgery under the knife fillers na botox. Anorld tu ndo hafanyagi huo upuz. Hata anduje Putin ni fillers na botox aonekane youthful.Ushamuangalia rambo (sylivester stallone)?
Kuna series moja ilitoka mwishon mwa mwaka jana inaitwa Tulsa King, yule jamaa nae anazeeka vizuri sana. Wenzetu mazoezi yanawasaidia sana, huku mazoezi ni nadra mno
Mkuu ebu cheki hicho kipande hapo chini. Siku hizi waafrika tuko njema sana tunakuja juu. Hasa check dakika ya 1:59-2:06 nakuambia kina Donnie Yen mtoto.Acha hiyo kuna tiger cage....kuna kuna bubu alisema ubandani manzense....matatuuu...matatuuu...matatuuuuu....yale mateke matatu aliyoruka don Yen ktk hiyo movie acha tuuu
Mimi ninazo zote hizi kwenye Laptop zilizohusisha hii Trio au hata wawili kati yao,wanangu wananishangaa home kwanini napenda channel ya KIX ila ni vile tu navizia movie zaoKuna kitu inaitwa Millionaire Express, Wheel in Meals, Project A ni nomasana. Ila Sammo Hung ni director mzuri sana huwezi amaini ndio aliandaa kitu cha Estern Condors. Nataka siku moja nikusanye muvi zao zote maana KIX hua zinaonyeshwa mara chache
Fanya mpangao nizipate mkuu.. pleaseMimi ninazo zote hizi kwenye Laptop zilizohusisha hii Trio au hata wawili kati yao,wanangu wananishangaa home kwanini napenda channel ya KIX ila ni vile tu navizia movie zao
Eastern Condors kwangu ni movie bora kabisa ya kivita,action nzuri,story imetulia,Comedy na kila kitu kuihusu..Sammo Hung na Yuen Biao wameitendea haki sana ile movie
Naipenda zaidi project A na Dragon Forever ikifuatiwa na winners and sinners. Millionaires express napenda mapigano ya mwisho hasa ya Sammo Hung na Cynthia Rothrock,Yuen Biao, Richard Norton n.k
Umetupwaga huyo Binti sio mwanawe mwanawe ni Rhea na Sonam huyo sio na huyo binti ni Disha Patani na hakuna mkwewe hapoView attachment 2580252
Umeitazama muvi ya John Wick Chapter 4? Humo utakutana na mtaalamu Donnie Yen kacheza kama kipofu aaitwaye. Ni noma sana humo ndani kakiwasha balaa.
Donnie Yen ana miaka 59 sasa anaelekea 60 lakini muonekano wake utadhani ana miaka 40s. Sio kama wenzake Vincent Zhao, Andy lao, Yuen Biao, Jack Chan, Jet lee (huyu kidogo maradhi yamemzoofisha). Bado yuko fit kabisa kuliko beki kisiki wa msimbazi Josh Onyango[emoji28]
Kibongo bongo ukiwa na umri huo tayari ushakua babu unajiandaa kufa.
View attachment 2580250
Ni kama huyu mbabu wa kihindi Anil Kapur unaweza kujua anakua kwa kurudi nyuma. Ukiangalia muvi zake za 90s alikua anamuonekano wa kizee ila miaka inavyozidi kwenda anaonekana kijana. Kwasasa ana miaka 66.
View attachment 2580258
[Anil Kapur aliyevaa viatu vya pink, Huyo binti ni mtoto wake, mwanaume aliye kulia kwake kajishika mkono ni mume wa binti yake]
Kachoka sanaUgonjwa wa hyperthyroidism ambao hufanya shughuli za mwilini (Metabolism) kuvurugika. Ndio maana mwili wake umedhoofu kama mzee, sijui kwa sasa ana hali gani