Donnie Yen hazeeki

Job Ndugai ndo yupi hapo
 
Yule mtoto wa will smith wa kiume alikuwa anakuja vizuri sana sijui kawaje tena siku hizi, movie alizocheza mbili kacheza na mshua wake, moja ndo yupo na jack chan,
Anaitwa Jaden kama kama amepinda hivi.
Nafkiri acting yote ni ya kubebwabewa lakini kipaji si sana au hajaki sana kuhusu acting
 
Kuna kitu inaitwa Millionaire Express, Wheel in Meals, Project A ni nomasana. Ila Sammo Hung ni director mzuri sana huwezi amaini ndio aliandaa kitu cha Estern Condors. Nataka siku moja nikusanye muvi zao zote maana KIX hua zinaonyeshwa mara chache
Estern Condors was something else
 
✍️✍️✍️kuzeeka sio aina ya vyakula anayokula mtu tu ndio inamdhoofisha mtu,Kuna kitu tunaita physical appearance ya mtu means vile mwil wa mtu ulivyojengeka mara nyingi watu wafupi wanachelewa Sana kuzeeka kuliko watu warefuuu.......Kuna kitu tunaita DNA code hapa unakuta katka kizazi Cha mababu kuna tabia za urithi zimepenyeza mpk kizazi kipya mfn Babu mzaaa mama alikuwa na DNA za kuishi miaka mingi bila kuzeeka then generation X ikaridhi.........Kuna vitu ukifanya sana inachosha mwili na hatimay unazeeeeka....moja ni kufanya uzinzi mara Kwa mara Kwa wanawake tofauti hii inakupunguzia nguvu maana kuna nguvu unapoteza hapa......pili kula vyakula vya sukari Sana hii nayo ni chanzo cha mwili kuzeeka Sana.......tatu kuwa na msongo wa mawazo kupita kiasi kumbuka hii inahadhira mfumo wa mwil Sana na hatimay unakuwa mdhaifuuu....nin cha kufanya ili usiwe mzee mapema...nenda inbox ntext ntakuwa free
 

Huyu jamaa hata mwenyewe ananiacha sana njia panda

Ukicheki umri wake halafu ukaangalia na age mate wenzake kina Jet li na Jack Chan unaona kabisa jamaa ni kama immortal

pia mwamba ni master of kungfu in real life

Nashangaa sana au wanafanya surgery?
Jana April 7 Jack katimiza 70yrs. Daah Mungu alituweza kuumba muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…