Donnie Yen hazeeki

Donnie Yen hazeeki

View attachment 2580252
Umeitazama muvi ya John Wick Chapter 4? Humo utakutana na mtaalamu Donnie Yen kacheza kama kipofu aaitwaye. Ni noma sana humo ndani kakiwasha balaa.

Donnie Yen ana miaka 59 sasa anaelekea 60 lakini muonekano wake utadhani ana miaka 40s. Sio kama wenzake Vincent Zhao, Andy lao, Yuen Biao, Jack Chan, Jet lee (huyu kidogo maradhi yamemzoofisha). Bado yuko fit kabisa kuliko beki kisiki wa msimbazi Josh Onyango😅

Kibongo bongo ukiwa na umri huo tayari ushakua babu unajiandaa kufa.

View attachment 2580250

Ni kama huyu mbabu wa kihindi Anil Kapur unaweza kujua anakua kwa kurudi nyuma. Ukiangalia muvi zake za 90s alikua anamuonekano wa kizee ila miaka inavyozidi kwenda anaonekana kijana. Kwasasa ana miaka 66.

View attachment 2580258

[Anil Kapur aliyevaa viatu vya pink, Huyo binti ni mtoto wake, mwanaume aliye kulia kwake kajishika mkono ni mume wa binti yake]
Job Ndugai ndo yupi hapo
 
Ila Putin huyu Mzee nilikuwa nijiuliza
Screenshot_20230413-204851.jpg

Hapa kabla hajaenda under the knife kuweka ma fillers na botox
 
Yule mtoto wa will smith wa kiume alikuwa anakuja vizuri sana sijui kawaje tena siku hizi, movie alizocheza mbili kacheza na mshua wake, moja ndo yupo na jack chan,
Anaitwa Jaden kama kama amepinda hivi.
Nafkiri acting yote ni ya kubebwabewa lakini kipaji si sana au hajaki sana kuhusu acting
 
Kuna kitu inaitwa Millionaire Express, Wheel in Meals, Project A ni nomasana. Ila Sammo Hung ni director mzuri sana huwezi amaini ndio aliandaa kitu cha Estern Condors. Nataka siku moja nikusanye muvi zao zote maana KIX hua zinaonyeshwa mara chache
Estern Condors was something else
 
✍️✍️✍️kuzeeka sio aina ya vyakula anayokula mtu tu ndio inamdhoofisha mtu,Kuna kitu tunaita physical appearance ya mtu means vile mwil wa mtu ulivyojengeka mara nyingi watu wafupi wanachelewa Sana kuzeeka kuliko watu warefuuu.......Kuna kitu tunaita DNA code hapa unakuta katka kizazi Cha mababu kuna tabia za urithi zimepenyeza mpk kizazi kipya mfn Babu mzaaa mama alikuwa na DNA za kuishi miaka mingi bila kuzeeka then generation X ikaridhi.........Kuna vitu ukifanya sana inachosha mwili na hatimay unazeeeeka....moja ni kufanya uzinzi mara Kwa mara Kwa wanawake tofauti hii inakupunguzia nguvu maana kuna nguvu unapoteza hapa......pili kula vyakula vya sukari Sana hii nayo ni chanzo cha mwili kuzeeka Sana.......tatu kuwa na msongo wa mawazo kupita kiasi kumbuka hii inahadhira mfumo wa mwil Sana na hatimay unakuwa mdhaifuuu....nin cha kufanya ili usiwe mzee mapema...nenda inbox ntext ntakuwa free
 
Daah hata mi nilikuwa najiuliza huyu jamaa hazeeki ukilinganisha na wenzake akina Yuen Biao , Jackie Chan , Samo hung, hata Jetli anaonekana age imeenda ila mwamba still yupo imara sana , spendi movie zake za mapanga , visu na mafarasi napenda zile za town na mafia a.k a drug dealer akiwa kama afisa upelelezi utapenda , alafu viwemo vyuma vya kutosha

Huyu jamaa hata mwenyewe ananiacha sana njia panda

Ukicheki umri wake halafu ukaangalia na age mate wenzake kina Jet li na Jack Chan unaona kabisa jamaa ni kama immortal

pia mwamba ni master of kungfu in real life

Nashangaa sana au wanafanya surgery?
Jana April 7 Jack katimiza 70yrs. Daah Mungu alituweza kuumba muda
FB_IMG_17125150347939822.jpg
FB_IMG_17125627267474582.jpg
 
Back
Top Bottom