Donnie Yen hazeeki

Donnie Yen hazeeki

Kama Morgan Freeman tuu tunaanza kumuona tayari ana mambo ka Lowasa hahaaaaa......
Chuck Norris anatembelea wheel chair itakuwa maana Delta Force mule alikuwa mzeee....
Ila juzi nimecheki movie moja hivi nimeona jina lake kama editor au director sema movie ilikuwa ya kiwack hata siikumbuki. Ila now ni mzeee sana.
Yuko insta anatupia yuko fit sana
 
Chuck Norris alijaribu kumtoa mwanaye sijui ndugu yake yule alikuwa anaitwa Nick Norris sema hakuwa na wakati mzuri Hollywood.

The same watoto wa Chan, Will Smith, Bruce Lee na wengine sijui kwanini hawatoboi wakati resources kwao ni nyingi na connection kibao sema hawatoboi...
Jaden wa will Smith yuko vizuri, karate kid imemtajirisha umeona box office ya hiyo muvi?
 
Kuna kitu inaitwa Millionaire Express, Wheel in Meals, Project A ni nomasana. Ila Sammo Hung ni director mzuri sana huwezi amaini ndio aliandaa kitu cha Estern Condors. Nataka siku moja nikusanye muvi zao zote maana KIX hua zinaonyeshwa mara chache
Mr vampire , lucky stars go places, winners and sinners,
 
Wanachama wa Forever young damu za watoto Zina warudisha utotoni, child trafficking kwaajili ya makafara ya wa kubwa hii Dunia ni zaidi ya unavoijua damu changa ina rejuvenate mwili unajivua gamba then forever young like jigga and queen B, watch and pray.
Mambo ya pedophile wanaanzaje kuzeeka Siri za wakubwa hizo View attachment 2585270
20230312_185230.jpg
View attachment 2585269
 
Ila kifo cha Aaliyah kilimuuma sana Jet Li wanadai mwezi mzima alikuwa kajifungia analia anasema Alipendezwa na Aaliyah walivyoect. DMX alipokufa alihudhuria msiba.
daah. unanikumbusha Romeo must die na ile nyingine jna limenitoka bonge la movie asee.
 
Back
Top Bottom