Donor countries and organizations, iangalieni kwa umakini kauli ya Magufuli kwamba hatapeleka maendeleo kwenye Majimbo ya Wapinzani

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Donor countries and organization mnatoa hela za maendeleo, lakin mnayempa hizo hela ameapa atazipeleka kwa watu ambao hawajamchagua, huo ni ubaguzi wa wazi wazi.

Ni vizuri mkaifanyia kazi kauli yake na kabla hamjampa hizo hela za maendeleo awahakikishie atawabagua wananchi.
 
Acha ashikilie hapo hapo ili adabu iwashike.

Tatizo halipo kwa Magufuli tatizo lipo kwenu nyie mnaosadikika ni wapinzani maana; hamna shkurani, hamna jema linalofanywa na serikali, hamna haya. Kazi yenu kubwa ni kupinga miradi ya maendeleo inayo fanywa na serikali na kuliombea Taifa mabaya ili mpate Cha kuongea wanafiki Wakubwa nyie.

Binafsi ningekuwa Rais siwezi nisingeweza kumpelekea maendeleo mtu anaepinga maendeleo na kuliombea Taifa mabaya ili apate Cha kuongea.

Maendeleo yataenda sehemu ambayo hawayapingi.
 
Abadilishe katiba nchi iwe ya chama kimoja, kwa sababu katiba inatambua upinzani wapo kisheria, hii inaonyesha jinsi gani ulivyokua mjinga wa mwisho.
 
Amefanya nchi yetu kuwa kama shamba lake la mifugo, anataka kuswaga watu tu. Pesa wazitoe watu wengine, halafu yeye anazifanya kama mali yake binafsi.
 
Amefanya nchi yetu kuwa kama shamba lake la mifugo, anataka kuswaga watu tu.
Pesa wazitoe watu wengine, halafu yeye anazifanya kama mali yake binafsi.
Hata uko wanalipa Kodi lakin anazifanya Kama pesa zake kwenye mfumo wa majimbo huu Ujinga hamna
 
Usiwe mjinga mleta mada!

Hao wanajua hizo ni kampeni tu! Na baada ya oktoba utawaona wako kwenye sherehe za kumuapisha JPM
 
Magufuli hawezi kushinda urais.

Kwisha habari yake.
 
Kweli kabisa hawa maendeleo wanayaita vitu.
Kazi yao kubwa porojo tupu hawana kitu.
 
Hii kauli itamgharimu sana
 
Usiwe mjinga mleta mada,!

Hao wanajua hizo ni kampeni tu! Na baada ya oktoba utawaona wako kwenye sherehe za kumuapisha JPM
Nakupa siku kumi tu mtaona matokeo ya hizo kauli zake.
 
Pia aache kukusanya kodi majimbo ya upinzani ili tuweze kujiendesha wenyewe.Kwanza majimbo yanayoongozwa na upinzani ndio yapo mbele kimapato kuliko majimbo ya CCM!
 
Usiwe mjinga mleta mada,!

Hao wanajua hizo ni kampeni tu! Na baada ya oktoba utawaona wako kwenye sherehe za kumuapisha JPM
Mbona ya Lissu hamsemi hizo ni kampeni tu, mpo busy kumwita polisi, NEC na Msajili kwa boda boda!!!
 
 
Ni kweli Donors wanapaswa kuyapa uzito matamshi hayo kwani yanachochea ubaguzi na kuvuruga utgaifa wetu! Kama vipi fedha za miradi ya majimbo yanayoongozwa na wapinzani wawe wanapewe wao moja kwa moja na serikali ipewe tu taarifa!
 
Usiwe mjinga mleta mada!

Hao wanajua hizo ni kampeni tu! Na baada ya oktoba utawaona wako kwenye sherehe za kumuapisha JPM
Endeleeni kujipa moyo. Gadafi na Sadam walivutwa taratibu kama Magu walipojua wamejaa kwenye 18 walipewa kitu hadi leo hawajui kama wapo Ahera au duniani. Na hao chumi zao hazikuwa tegemezi sana kwa wazungu. Sasa subiri Magu ajae king uone habari yake.

Cc. Mugabe Roberts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…