hujaonja hata joto ya kilimo unataka finance....maelezo mafup uliyotoa hayanipi ari ya kufinace wazo lako...siku nyngne tueleze unaplan kulima eneo kiasi gan endapo ukiwezeshwa,unatarajia kuvuna kias gan,na muhimu soko lako ni nani na wp,pia usisahau gharama ya production na unatarajia kuzalisha kiasi gan