Don't be a nice guy

Bad boys wa sasa most of them were former nice guys, na sababu ya nice guys wanapenda from their souls ,wakivunjwa moyo sana that character inapotea, what remains darkness, thats when they turn into bad boys

Ila the best uproach ni kuwa na msimamo, hii huanza kutengenezwa kwenye malezi ya mtoto. Anapokuwa anajua what to do
 
Nishakuambiaga marufuku kuniquote si deal na mapsycho mimi pumbafu....Jf unaingiaga kutafuta nani kaandika kuhusu wanawake,mwanamke gani kajibu ukamjibu...usidhanie hatujui tendencies zako humu...get a life mazafaka!
Kwani imekuwaje hadi unizuie kurespond kwenye ujumbe wako? Kimsingi hapo mimi nimerespond kwenye hoja yako kama mchangiaji na sio attack. Mbona unapenda vita eneo la mazungumzo lakini? [emoji848]
 
I'm not here for your approval, uwezo wangu wa kufikiri haukuhusu,mimi sio hicho kinyago ulichokiweka ndani unachokibully kila siku pumbafu
Tulia wewe, nilikwambia kama unataka kuona anavyoishi kinyago wangu uje uone tuspend hata wiki pamoja ujionee maisha yetu. We unajitisha mwenyewe halafu unahisi mimi mkorofi, khaaaaaah, unabalaa wewe.
 
Umemwaga nondo zenye madini, hasa kwa hawa vijana wa balekhe!
Lakini kwa mbaaali, yaonekana nawe ulitendwa, imekujengea ukomavu na sasa umekuwa mshauri nasaha😀😀😋😋
 
Kuna wale mafala okota okota anakuta mwanamke kashazaa ana watoto yeye anakuja kuweka ndani. Wale machoko ndio wanawapa uhakika wa mapokezi baada ya kuharibu hawa takataka. Ipo hivi, siku wanaume tutakapokubaliana kuwa anaeolewa ni mwanamke bikra tu iwe mvua liwe jua na bila bikra ndoa hazifungwi na mahusiano hayarasimishwi mtaona hawa mabinti watakavyonyooka na haya masingle mothers pamoja na wasimbe watakavyopauka.
 
Hivi single mom na msimbe ni title mbili tofauti?
 
Well said
 
Sio huyo tu hata hapa Tz wapo wanaomilikisha ndugu zao na ndugu wa mwanaume wanaonekana mafala.
Yes, nina mfano hai wa mjomba wa rafiki yangu ambeye alioa mwanamke kutoka kanda maarufu inayotoa wasomi wengi hapa nchini, alivyofariki tu mkewe akashirikiana na kaka zake kuhakikisha kwamba kila kitu kiko chini yake na ndugu hawakuambulia kitu chochote.

Ndio maana tunahitaji kusambaza hii redpill awareness imfikie kila mtu.
 
Priority za mwanaume na mwanamke ni tofauti. Mwanamke kiuumbaji hutafuta usalama wa kizazi chake kipate baba bora na imara kinyume chetu cha kwanza huwa ni papuchi ikiambatana na afya, uzuri utulivu na urembo wa mwanamke basi.

Bad boys ni sawa na mtu apitaye kwenye shamba la mtu aliyelima viazi au mihogo akang'oa shina asikute kitu akaliacha na kusepa bila ya kulirudishia. Mwenye shamba akija atafanyaje?. Busara ni kulipanda tena huku akisikitika tu na kwa uvumilivu hujikuta anavuna vizuri. Kuna mabinti wamezalishwa na bad boys wakatelekezwa, kuna waliotolewa bikra wakaachwa ila wana sifa zote tajwa hapo juu. Huyu akikutana na mwanaume wa ndoto zake akiolewa hakuna shida kabisa.

Nichochangia hapa ni kuwa wanaume wana vigezi tofauti kabisa na walivyonavyo wanawake na tukitaka kushindana navyo tutaishia kushindwa na kujichanganya tu.

Hizi ni siku za mwisho uovu utakuwa mkuu ukitaka kuishi maisha ya kizamani utakwama ie ya kutafuta bikra etc. Mungu alitufunulia kupitia watumishi wake mfano Yusuphu alilazimika kutunza mimba ya Mariamu na akamlea Kristo Yesu kama Baba yake japo Yesu akiwa na miaka kumi na miwili alimpa makavu Yusuphu alipopotelea hekaluni kwa kumwambia "je haikunipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu? . " Ingekuwa wewe ungefanyaje?. Yusuphu akumkuta Mariamu na bikra na bado alimuoa na kuzaa naye watoto ambao ni ndugu zake Bwana Yesu mwana wa Mungu aliye hai.

Kikubwa ni kukimbilia kwa Mungu atatupa hekima na akili ya kuishi nao bila ya shida. Maana Yusuphu alitaka kumuacha Mariamu kwa siri ila kwa kuwa alimcha Mungu Mungu akamsaidia akajikuta ni mwanamume mwenye furaha aliyelea mtoto mtukufu aliyemweka kwenye historia ya ulimwengu wa imani. Unaweza lea mtoto wa single mother akaja kuwa raisi au mtu maarufu ikawa faida kwako. Asante.
 
Hivi single mom na msimbe ni title mbili tofauti?
Ndio msimbe ni feminists aliyezeeka akijiona binti kumbe umri umeshamtupa mkono. Anashindana na watoto rika la wanae au wadogo zake. Ameringa hadi umri wa ndoa umepita.

Single mothers ni wanawake wanaozaa kwa experiment na sio kwa malengo ya kujenga familia. Usisikilize maneno yao wakiwa wanajitetea watazame matendo yao utajua kuwa wamepata watoto kwa lengo la kutest mitambo tu.
 
Kwani imekuwaje hadi unizuie kurespond kwenye ujumbe wako? Kimsingi hapo mimi nimerespond kwenye hoja yako kama mchangiaji na sio attack. Mbona unapenda vita eneo la mazungumzo lakini? [emoji848]
Kwa sababu I know you....such a bully...stay away from me please...sitaki mazoea na mbwa koko
 
Tulia wewe, nilikwambia kama unataka kuona anavyoishi kinyago wangu uje uone tuspend hata wiki pamoja ujionee maisha yetu. We unajitisha mwenyewe halafu unahisi mimi mkorofi, khaaaaaah, unabalaa wewe.
Kwani nahitaji hata kuja kwako kujua how much she is being bullied daily?!...wewe kutaka kupick up a fight na kila mwanamke wa jf ni proof tosha she is in a living hell..
 
Hakuna cha allergies wala nini wewe umekichezea tu huko sasa lawama unatuletea tusiohusika. Wewe unaona wapi kuna misogynists hapa? [emoji848]
Wewe hapo na wajinga wenzio...huoni mada zinazozungumzia hata mende unaona za wanawake tu na wanawake waliorespond kwenye hizo mada, hafu mnajiona mko sawa
 
Hakuna anaechukia wanawake hapa ni wewe tu unajipanikisha na mawazo yako ya kuhisi hisi lakini hakuna mwanaume anayechukia mwanamke.
Ingekua sikujui sawa, you can't fool me, nyie topic za single maza, feminists,na zote zinazomcondemn mwanamke kuna Profiles zenu ziko peculiar, lazima muwepo,yaani you can predict kabisaa topic hii mjinga huyu lazima awepo na anakuwepo kweli,humuoni kwengine,anzeni kuheshimu wanawake mbwa nyinyi
 
Inavyosemekana ile familia ya Kobe haikuwahi kumkubali kabisa yule mkewe na haikutaka amuoe, ila Kobe akamuoa tu hivyo hivyo kibishi. Ndio maana sasa hivi na yeye ameamua kuwa chura kiziwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…