Don't be a nice guy

Don't be a nice guy

Maisha yanabadilika sana wakuu, mm binafs nawez kuoa single mother kwq kuvaa tasters ya nice guy bila shida. Shart niwe sijawah kuwq na mahusiano naye... ila sio kurudiana na yule aliyenihangaisha kwa sabab ya kijamaa akaenda akaachwa huko.

Juzujuz tu nimekutana na Ex wangu kazalishwa na jamaa kakimbia. Mama wa yule dada kaniona kanisihi sana nisimtenge mwanae anapitia kipindi kigumu nikaitikia tu.. lakin mwaka huu naoa nimeshawambia asee. Hakuna njia ya yeye kupita atafute chocho nyingine
Usimuoe mwanamke kwa kumuonea huruma. Usifikiri akiwa kwa stress atakupenda
 
Let me get this straight....; Yaani wewe ni humble na hautaki mambo ya ajabu ajabu uanze ku-act like a lunatic sababu tu eti women likes bad guys ? Je huoni kwamba hao so called women watakuwa hawakutaki wewe (an actor) na siku ukirudi kuwa kama ulivyo bado wataondoka ?

My advice to you just be yourself and you will attract people who likes you for who you are na wale wengine watakwenda wanapokwenda.... It takes too much energy to act.... and there is someone for everyone (na ukiwa an attraction for more than what you need what's good in that)? This is not a competition no point in complicating the issues...

To each their own.....
Sawa endelea kuwa humble kwa wanawake, you will learn the hard way
 
Malezi tokea utotoni ndio humshape kijana awe vipi.

Kitabu cha NO MORE MR NICE GUY amegusia haya mambo.

Ni vyema sana tukaanza kuwalea watoto wetu kiume.
Mkuu huna nakala laini ya huo mgodi, tuchimbepo madini humo?
 
It's all about mwonekano, nice guy/beta male ni mwanaume ambae sio handsome, bad boy/alpha ni mwanaume handsome mwenye mwonekano mzuri

Pia alpha male / beta male hutumika kumaamisha mindset alio nayo mwanaume kwenye dating na maisha kwa ujumla.

Ila mara nyingi nice guy/beta male thing maana ake ni mdada anakuona una sura mbaya, bad boy/alpha male ni mwanaume ambae mdada anakuona wewe ni handsome Natafuta Ajira Extrovert haszu Zemanda Equation x DeepPond
Kuna watu ni mahandsome ila wanacharacter ya nice guys na wanakichezea balaa. Na kuna watu wana muonekano wa kawaida kabisa ila mademu wanaliwa kama kawa.

Nadhani ni swala la haiba,tabia na mwenendo na si muonekano wa sura au umbile. Wanawake wanaendeshwa na hisia so character yako ndio inazungumza na hisia zao.
 
Kanuni iwe hii. MUNGU then MWANAUME (yaani wewe kidume) then Biashara/kampuni yako, then watoto, marafiki zako wa ukweli, then mwanamke. Hapa utakuwa na amani maisha yako. Kosea muweke mwanamke sehemu ya MUNGU ndipo utajua kuwa haujui.
 
Muda pekee ambao nice guy anakua chaguo la mwanamke ni pale ambapo mwanamke uyo ashakua demaged na bad boys, but when she is fresh, beautful, innocent she will reject the good guy.
Sema Bad boys wanakuwaga na Hela, vyeo na au umaarufu
 
Kwa msaada wa google Translation
"Wazuri huchukua mabaki huku wavulana wabaya wakimla mbichi. Ndugu yangu usiwe mtu mzuri na muelewa, unastahili bora zaidi. Mhukumu mwanamke kwa ukali kulingana na maisha yake ya zamani"

Hivi wife material yupo? 😀
Hivi ndoa takatifu zipo?😀

Nakumbuka chuoni, Kuna badboy moja kwa jina la Rony,Jamaa alikua anakula bangi, pombe, na videmu vingi.Akawa na demu mmoja kibonge anamla matako na anakuja kusimulia, kuna siku dada "alikunya" akamlazimisha kwenda kufua mashuka kwa kumfokea.
Huwezi amini rafiki yangu wa karibu akaja kuoa huyo kibonge!
Hawaishi maajabu hawa.
 
Kuna simps wana hela na bado wanapelekeshwa na mwanamke. Tatizo lilopo kwenye jamii ni kwamba wanaume tumekubali kushusha thamani zetu mbele ya mwanamke, back day when our value was rigid hapakuwa na mwanaune anaeoa mke asie bikira ila sasa hivi kuna wajinga jinga wanaoa mpaka single mother.
Wanaume kila uchao wanashusha standards za msingi na za maana tena ambazo wanaweza kuzitetea, huku wanawake wanapandisha standards za hovyo kabisa.

Mwanaume anaoverlook red flags za kutosha kwa mwanamke wa sasa na zinamwambia kabisa kuwa huyu sio sahihi ila anazipuuza na kumpa benefit of a doubt. Mwanamke hana bikra, ameshatombwa na wanaume zaidi ya 10, anapost picha za kuita wanaume Mitandaoni, ana tattoo mwilini, hana utii, hajui kutafuta pesa na kutengeza mali, hana sifa za mama bora, hajui kusociolize na jamii ya watu wastaarabu, haendi nyumba za ibada, marafiki zake ni wa hovyo, mvivu anayeijua pesa kwa kuitumia tu sio kutafuta, anapenda attention ya wanaume, hana adabu, hana hofu ya MUNGU, ila bado mwanaume atapiga goti na kuvisha pete.

Mwanamke atakudharau mwanaume kwasababu hauna salio la milioni 100 kwenye account, hauna gari, unaendesha bodaboda, unaishi chumba kimoja, hauna mademu nje yake so maana yake kwake ni hauna mvuto so hawezi kuwa na wewe, sio mrefu, sio mweupe, hauna ndevu, hauna watoto katika umri wa miaka 30 so pengine unashida atakukataa hata bila kuchunguza sababu kwann haujatia mimba mwanamke yoyote, unatokea familia masikini. Kwa kifupi sababu za mwanamke kumkataa mwanaume huwa ni za kipumbavu sana na imagination inashika maamuzi yake. Ila sababu za mwanaume kumkataa mwanamke ni visible na zinaonekana kwa macho na ushahidi wazi wazi.
 
Kweli utajikuta anakupa masharti
Hata ukiwa na ivyo vyote ukishampa mwanamke kipaumbele pamoja na kufanya na kutimiza kila anachtaka mwanamke atajenga picha kwamba anakufanyia favor kudate na wewe hapo ndipo balaa litakapoanzia
 
Ndio maana nasisitiza na wanaune nao kukaa kitaalamu. Wanawake tayari wameshatoka kwenye zama za mapenzi ya kweli sasa hivi wapo kwenye zama za mapenzi ya masilahi lakini wanaume bado wanajivuta kukubaliana na mabadiliko ya nyakati.

Ishi na mwanamke kwa namna alivyokuja kama yupo kimasilahi na wewe mtumie kimasilahi kama ana dhamira ya kutengeneza familia basi muoe muanzishe familia yenu.
Siku wanaume watapoanza kufyatuka sijui huo moto utazimwa na kitu gani.
 
Nyie mnaosambaza lugha ya chuki dhidi ya wanawake sijui mna matatizo gani, embu deal with your frustrations first..una miaka mingapi, girlfriend/mke wako ana miaka mingapi...was she used and dumped first ndio ukawa nae?
Tulia wewe. Chuki inatoka wapi? Yaani ukiambiwa ukweli ndio inakuwa ni chuki, are you even serious na uwezo wako wa kufikiria? [emoji848]
 
Acha kabisa kisa cha Mke wa marehemu Kobe ni funzo kwa wanaume wabishi ambao unakuta mwanamke unayetaka kumuoa familia yako haimtaki, ila wewe kwa kiburi chako unaamua kumuoa hivyo hivyo kwa kigezo cha kwamba eti unayeenda kuishi nae ni wewe na sio wao.... siku ikitokea umefariki familia yako haiambulii chochote kile kwenye assets ulizoacha.

Kobe Bryant mpaka anafariki aliacha ukwasi wa $400m(yaani utajiri wa zaidi ya trillion moja) zikiwemo mansions za kutosha karibu kila state huko Marekani, na mali zote hizo ziko chini ya mjane wake.

Leo hii familia ya kobe inaangaika mpaka sehemu ya kuishi na ina madeni kibao imefikia hatua mpaka wanataka kuuza moja wapo ya zile rings alizoshinda kipindi bado anakipiga NBA(yenye thamani ya $150k) hili walipe madeni..... sasa mjane wake kuskia hivyo amewaijia juu na kuhoji kwanin wauze ring ya marehemu mume wake ambayo ni kumbu kumbu muhimu kwa familia yake, na wakati hapo ameshindwa kuwasaidia kabisa!

Na pia huyo huyo mjane wake unaambia kuna baadhi ya nyumba alizoachiwa na Kobe amewakabidhi ndugu zake wanaishi wakati huo familia ya kobe haijaambulia chochote kile... aisee yule mwanamke ni mtu mwenye roho ngumu sana.
Dah kumbe ndio yupo hivyo yule demu kubabake zake. [emoji848] Yule demu anasifiwa kuwa alitoka na mwamba tokea chini wakiwa wadogo huko jamaa hana jina. Ila kwa hilo analofanya anafanya ushenzi sana. Wale ni ndugu zake anatakiwa kuwasaidia kama wanafamalia. Kobe Bryant huko alipo wadhani anajiskiaje aisee.
 
Kuna kundi kubwa sana la wanaume ambalo limedanganywa kuhusu wanawake na kuwaona kwamba wao ni viumbe wapole,wastahimilivu na siku zote ni watu wa kuonewa tu and on top of all they are incapable of cruelity.

Ni rahisi kuskia limtu linasema "wanawake ni mama zetu,dada zetu,shangazi,wake zetu,wadogo zet...blah blah.." hasa pale linapotaka kujustify kosa au upuuzi wa mwanamke, ila ni nadra kuskia wanawake hao hao wakisema "wanaume ni baba zetu,kaka zetu,waume zetu,babu zetu..." mahala popote pale yaani sisi tukifanya upuuzi hawana muda kujustify ni mwendo wa harsh judgement na tena huwa wanatujudge jumla jumla... mfano, kuna ile kauli yao huwa wanasema "all men are potential rapists"
Majitu ya hivyo yanakuwaga majinga sana.
 
Sawa endelea kuwa humble kwa wanawake, you will learn the hard way
Ishi maisha yako kama ulivyo, kama wewe kila siku unaishi maisha ya kuridhisha wengine wewe ni mtumwa wa maisha yako; Don't let circumstances define who you are na mbili kama unadhani unaweza kumiliki binadamu mwenzako nadhani unajidangaya...
 
Nakubaliana na wewe 99.999%
Nimeshuhudia Nice guys kibao wakipigwa Upper cut na hawa slay queens.

Its either you agree or learn the hard way.
Hawa wanaoitwa Nice guys sijui ni nice guy kwenye nini. Mimi ninachojua ni wale wanaojali sana ngono na Pussy na kuvifanya kuwa vipaumbele vyao kwenye maisha.

Ukishakuwa kwenye category hii Mwanamke anatambua vizuri na huanza kuitumia fursa vizuri. Hakuna Nice guy hapa kuna Pussy addicted Guy
 
Ishi maisha yako kama ulivyo, kama wewe kila siku unaishi maisha ya kuridhisha wengine wewe ni mtumwa wa maisha yako; Don't let circumstances define who you are na mbili kama unadhani unaweza kumiliki binadamu mwenzako nadhani unajidangaya...
Hauishi peke yako mzee baba unaishi na walimwengu., lazima uji-adjust vile ulimwengu unavyoenda.

Endelea kuwa humble kwa mwanamke, you will learn the hard way.
 
Tulia wewe. Chuki inatoka wapi? Yaani ukiambiwa ukweli ndio inakuwa ni chuki, are you even serious na uwezo wako wa kufikiria? [emoji848]
I'm not here for your approval, uwezo wangu wa kufikiri haukuhusu,mimi sio hicho kinyago ulichokiweka ndani unachokibully kila siku pumbafu
 
Tulia ukweli ukuingie.... feminist mna roho mbaya za kibinafsi.....mifano ni mingi. Sio wanawake wote lakini ila majority.
Kama wewe ulivyo na roho mbaya frustrations zako wanawake wamekukataa ni reject mnakuja kutoa mtandaoni...
 
Back
Top Bottom