Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Mbona bado Joan akakukimbiaMchawi pesa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona bado Joan akakukimbiaMchawi pesa wewe
Simping is a lack of emotional control, to feel less emotions you have to face a lots of heartbreaks. umri, sawa, lakini nadhani uzoefu ndio kitu ambacho, watu wengine umri mkubwa lakn he has never been in a turmoil, so when a woman test, he pours forthKu-fall in love for the first time wengi inawakuta pale miaka ya late teenage mpaka early twenties hao hata wakiwa simps sio wa kuwalaumu sana maana bado wageni ila 25+ jitu bado simp ilo la kuchalazwa viboko
Kuna kundi kubwa sana la wanaume ambalo limedanganywa kuhusu wanawake na kuwaona kwamba wao ni viumbe wapole,wastahimilivu na siku zote ni watu wa kuonewa tu and on top of all they are incapable of cruelity.Visa kama hivi ni case studies nzuri sana kwa vijana ambao bado wanaamini women are innocent people.
Sehemu gani?Nilikuona jana wakati unatoka dukani...
Pale basi kwenye lile duka unapendag kununua sukari...Sehemu gani?
Umeshikwa uongo mi nanunuaga sokonPale basi kwenye lile duka unapendag kununua sukari...
Si ndo apo sokoni kwenye kibanda...Umeshikwa uongo mi nanunuaga sokon
😂😂😂Si ndo apo sokoni kwenye kibanda...
Af kuna mtu anasema et ana urafiki wa karibu na wewe... Ni mkorofi sana...
Nani uyo? hajui mi nawew forever mpaka kifoAf kuna mtu anasema et ana urafiki wa karibu na wewe... Ni mkorofi sana...
Sasa itakuwaje... Kubali tu awe shemeji yako... Ila pole sana...Daah natamani kua wewe mkuu
Siwezi kubali namrukia PMSasa itakuwaje... Kubali tu awe shemeji yako... Ila pole sana.
Mrukie tu mimi siwezi kugombana na wewe ndugu yangu... Kama umeamua freshSiwezi kubali namrukia PM
Yasije yakanikuta yaliyonikuta mwakajana buree... Naijua hiyoo....Mrukie tu mimi siwezi kugombana na wewe ndugu yangu... Kama umeamua fresh
Amna... Mimi nakuachia kabla sijampenda zaidi... Wewe ni mwenyeji kuliko mimi... Lazima nifuate unachokisema na kuheshimu hisia zako... Ndio nilivyofundishwa na mama ili kudumisha undugu na kuepusha migogoro ya kifamilia...Yasije yakanikuta yaliyonikuta mwakajana buree... Naijua hiyoo....
Gifted girl unaona kinachoendelea... Mimi siendi huko ma PMSiwezi kubali namrukia PM