Don't be a nice guy

Don't be a nice guy

Women chases who doesn't love them, love who doesn't care for them.

Mwanamke atampiga chini nice guy na kupambana juu chini kuwa na bad boy ambae wala hana time nae zaidi ya kumchezea tu.

Mwanamke akishakua demaged, overused, traumatised, shattered, battered, broken, destroyed, and dumped by bad boys hapo sasa ndipo ataanza kumtafuta nice guy wa kumuokoa.

Muda pekee ambao nice guy anakua chaguo la mwanamke ni pale ambapo mwanamke uyo ashakua demaged na bad boys, but when she is fresh, beautful, innocent she will reject the good guy.

The only time she needs a real man is when all hope is lost, the moment she is tired of playing bed to bed midfielder, taking abortions pills, sucking community cocks, now age is catching up with her she needs to retire.

The good guys take the left over while bad boys eat her fresh. My brother never be that good and understanding man, you deserve much better. Judge a woman harshly based on her past.

Don't be understanding man that will accept rubish into your life. If she says she has repent, let her repentance be for another man but not you.
Mwanaume unayechanganya kiswahili na kiingereza kwenye ushauri wako huna tofauti na kina Rose au Janeth.
 
Amna... Mimi nakuachia kabla sijampenda zaidi... Wewe ni mwenyeji kuliko mimi... Lazima nifuate unachokisema na kuheshimu hisia zako... Ndio nilivyofundishwa na mama ili kudumisha undugu na kuepusha migogoro ya kifamilia...
I appreciate Gentleman
 
Kila mwanaume anapenda kuwa playboy, ila kila mwanaume anapenda dada zake wadate na good guy au ikishindikana ampate nice guy na si playboy.

Tatizo dada zetu hawa helewi, playboy wengi hawanaga time na mimba wala kulea, wao ni mwendo wa shoo ila good guy/nice guy wao wakitia mimba wanacho fikiria ndoa na majukumu ya kudumia familia. Playboy ni mitambo ya kutengeneza single mother mitaani.
 
Dont be a nice guy, means usiwe doormat wa kupelekwa na mwanamke. Yaani unaweza kuwa gentlemen but ukawa mtu wa misimamo, she will repect you akiona ameshindwa kukuyumbisha
Hii thread nimeipenda sana.....na wewe umepinpoint vizuri kama wanaume wengine hapo juu....
 
Kwa hio unataka kusema mwanamke mzuri akikukubalia anakua tayar kashatendwa,demaged ,overused,traumatised, shattered, broken,destroyed and dumped ..
Pia amepitia community cock..
 
Maisha yanabadilika sana wakuu, mm binafs nawez kuoa single mother kwq kuvaa tasters ya nice guy bila shida. Shart niwe sijawah kuwq na mahusiano naye... ila sio kurudiana na yule aliyenihangaisha kwa sabab ya kijamaa akaenda akaachwa huko.

Juzujuz tu nimekutana na Ex wangu kazalishwa na jamaa kakimbia. Mama wa yule dada kaniona kanisihi sana nisimtenge mwanae anapitia kipindi kigumu nikaitikia tu.. lakin mwaka huu naoa nimeshawambia asee. Hakuna njia ya yeye kupita atafute chocho nyingine
Daaaaah daaaah! Dunia haina huruma.....asahau ya zamani maana alikutenda.
 
Ndio maana nasisitiza na wanaune nao kukaa kitaalamu. Wanawake tayari wameshatoka kwenye zama za mapenzi ya kweli sasa hivi wapo kwenye zama za mapenzi ya masilahi lakini wanaume bado wanajivuta kukubaliana na mabadiliko ya nyakati.

Ishi na mwanamke kwa namna alivyokuja kama yupo kimasilahi na wewe mtumie kimasilahi kama ana dhamira ya kutengeneza familia basi muoe muanzishe familia yenu.
🙌🙌🙌🙌🙌🙌 mkuu unatema madini ya kufa mtu.
 
Acha kabisa kisa cha Mke wa marehemu Kobe ni funzo kwa wanaume wabishi ambao unakuta mwanamke unayetaka kumuoa familia yako haimtaki, ila wewe kwa kiburi chako unaamua kumuoa hivyo hivyo kwa kigezo cha kwamba eti unayeenda kuishi nae ni wewe na sio wao.... siku ikitokea umefariki familia yako haiambulii chochote kile kwenye assets ulizoacha.

Kobe Bryant mpaka anafariki aliacha ukwasi wa $400m(yaani utajiri wa zaidi ya trillion moja) zikiwemo mansions za kutosha karibu kila state huko Marekani, na mali zote hizo ziko chini ya mjane wake.

Leo hii familia ya kobe inaangaika mpaka sehemu ya kuishi na ina madeni kibao imefikia hatua mpaka wanataka kuuza moja wapo ya zile rings alizoshinda kipindi bado anakipiga NBA(yenye thamani ya $150k) hili walipe madeni..... sasa mjane wake kuskia hivyo amewaijia juu na kuhoji kwanin wauze ring ya marehemu mume wake ambayo ni kumbu kumbu muhimu kwa familia yake, na wakati hapo ameshindwa kuwasaidia kabisa!

Na pia huyo huyo mjane wake unaambia kuna baadhi ya nyumba alizoachiwa na Kobe amewakabidhi ndugu zake wanaishi wakati huo familia ya kobe haijaambulia chochote kile... aisee yule mwanamke ni mtu mwenye roho ngumu sana.
Sio huyo tu hata hapa Tz wapo wanaomilikisha ndugu zao na ndugu wa mwanaume wanaonekana mafala.
 
Hujanijibu hizo standards na wewe umejiwekea ...? Kama uko above 27 years umeoa unadate chances una mwanamke ambae yuko used,kwa mujibu wa standards zako, sasa kuleta topic kama hii ni kuzunguka mizungu, stop wasting your time hata hao bad boys ikifika time wanasettle na wanawake hao hao ambao wako used, hii topic ni wewe misogynist unasambaza chuki zako hamna lingine
Tulia ukweli ukuingie.... feminist mna roho mbaya za kibinafsi.....mifano ni mingi. Sio wanawake wote lakini ila majority.
 
Nakubali, wanawake wana taste tofauti tofauti, namna pekee ya kujikomboa kwenye demonic nature ya mwanamke ni kuepuka ku fall in love, na kuepuka hilo unahitaji kukutana na wanawake wengi mno ili uwaelewe vizuri, vinginevyo ukijaa kwenye mfumo utajua hujui.
😆😆😆 hatari sana lazima umsome mwanamke akili yake anavo kuchukulia yaani....
 
Let me get this straight....; Yaani wewe ni humble na hautaki mambo ya ajabu ajabu uanze ku-act like a lunatic sababu tu eti women likes bad guys ? Je huoni kwamba hao so called women watakuwa hawakutaki wewe (an actor) na siku ukirudi kuwa kama ulivyo bado wataondoka ?

My advice to you just be yourself and you will attract people who likes you for who you are na wale wengine watakwenda wanapokwenda.... It takes too much energy to act.... and there is someone for everyone (na ukiwa an attraction for more than what you need what's good in that)? This is not a competition no point in complicating the issues...

To each their own.....
 
Kuna jamaa yangu ni nice guy aisee anateseka sana amezaa na mwanamke ila yue demu akipata tu mwanaume mwingine basi mshkaji anapigwa pini hadi kuongea na mwanae,na wakivurugana huko basi anarudi kwa jamaa na anampokea kwa mikono miwili. Mshkaji huwa sio mtu wa church ila mwanamke alimwambia aanze kwenda church ili waanze process za kuoana jamaa akanyoa vizuri kabisa maana alikuwa na afro la kutosha na madevu kaanza kwenda church na akaomba kwa mchungaji apate kipaimara maana hajawahi kupata hahahahahah! baada ya 2 month demu akapata sponsor akampiga pini jamaa na kumwambia masuala ya ndoa sio kwa sasa bado anafikiria jamaa alipata stress mbaya ila ajabu huyo demu sasa hivi kaachana na huyo sponsor karudi kwa kasi japo jamaa alijitahidi kumkazia maana tulikuwa tunamcheka sana ila now kimyakimya tunaona tu wako pamoja. Mshkaji kawekwa reserve kabisa na hafurukuti kweli wanawake Mungu anawaona mkipata nice guy hamuwezi kuwatunza.
 
The good guys take the left over while bad boys eat her fresh. My brother never be that good and understanding man, you deserve much better. Judge a woman harshly based on her past.
Kwa msaada wa google Translation
"Wazuri huchukua mabaki huku wavulana wabaya wakimla mbichi. Ndugu yangu usiwe mtu mzuri na muelewa, unastahili bora zaidi. Mhukumu mwanamke kwa ukali kulingana na maisha yake ya zamani"

Hivi wife material yupo? 😀
Hivi ndoa takatifu zipo?😀

Nakumbuka chuoni, Kuna badboy moja kwa jina la Rony,Jamaa alikua anakula bangi, pombe, na videmu vingi.Akawa na demu mmoja kibonge anamla matako na anakuja kusimulia, kuna siku dada "alikunya" akamlazimisha kwenda kufua mashuka kwa kumfokea.
Huwezi amini rafiki yangu wa karibu akaja kuoa huyo kibonge!
 
Back
Top Bottom