Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kuna simps wana hela na bado wanapelekeshwa na mwanamke. Tatizo lilopo kwenye jamii ni kwamba wanaume tumekubali kushusha thamani zetu mbele ya mwanamke, back day when our value was rigid hapakuwa na mwanaune anaeoa mke asie bikira ila sasa hivi kuna wajinga jinga wanaoa mpaka single mother.
Mm sio muoga naachaga mda wowote ila nawashauri nyie msije mkawa wateja wangu mkiachwa kizembe kisa mnajikuta wababeAcha uoga kijana
Ndio maana nasisitiza na wanaune nao kukaa kitaalamu. Wanawake tayari wameshatoka kwenye zama za mapenzi ya kweli sasa hivi wapo kwenye zama za mapenzi ya masilahi lakini wanaume bado wanajivuta kukubaliana na mabadiliko ya nyakati.Tatizo ni mabadiliko ya kiuchumi na kiteknolojia; binti anataka anukie vizuri, amiliki biashara kubwa, awe na usafiri na mjengo mkubwa, aweze kuzunguka dunia, pia hawataki kuzeeka haraka; hii inawapelekea kutafuta watu wenye hela, baada ya kuzipata ndio anatafuta kichaka cha wenye sifa zingine.
Weak men ndio wanakua na hayo mawazo ya kuhofia kuachwa. Maana wanafikiri kukubaliwa na mwanamke ni kufanyiwa favorMm sio muoga naachaga mda wowote ila nawashauri nyie msije mkawa wateja wangu mkiachwa kizembe kisa mnajikuta wababe
Haishagi kutusemaUnajifanya kutujua sana
Hili lipo wazi mkuu,ukimtreat mwanamke harsh kiume,na misimamo ya future yako.,bila kumuabuse.....atakuheshimu mileleNimegundua vijana wengi wanaoteseka na mapenzi ni nice guys
Tunamsoma tu halafu tunagunaHaishagi kutusema
Mwanamke mwenye bikira, maadili mema na past nzuri hawezi ku- complain kuhusu maandiko yangu. Kwenye post zangu ukisikia mayowe kutoka kwa mwanamke ujue jiwe limempataHaishagi kutusema
we endelea kutafta ajira mkuuWewe ni single maza? Naona kama unajitetea indirectly.
Sawa naendelea kutafuta.. wewe ni single mother?we endelea kutafta ajira mkuu
Yes wa watoto watatu baba tofauti na nna mimba ya mapacha pia baba mwingine.Sawa naendelea kutafuta.. wewe ni single mother?
Mm nawashauri tu mkipata shida mtakuja kuwa wateja wangu mm ntafurahiWeak men ndio wanakua na hayo mawazo ya kuhofia kuachwa. Maana wanafikiri kukubaliwa na mwanamke ni kufanyiwa favor
SawaYes wa watoto watatu baba tofauti na nna mimba ya mapacha pia baba mwingine.
Kwakweli umemaliza yote😊🙏It's all about mwonekano, nice guy/beta male ni mwanaume ambae sio handsome, bad boy/alpha ni mwanaume handsome mwenye mwonekano mzuri
Pia alpha male / beta male hutumika kumaamisha mindset alio nayo mwanaume kwenye dating na maisha kwa ujumla.
Ila mara nyingi nice guy/beta male thing maana ake ni mdada anakuona una sura mbaya, bad boy/alpha male ni mwanaume ambae mdada anakuona wewe ni handsome Natafuta Ajira Extrovert haszu Zemanda Equation x DeepPond
Kweli kabisaWomen chases who doesn't love them, love who doesn't care for them.
Mwanamke atampiga chini nice guy na kupambana juu chini kuwa na bad boy ambae wala hana time nae zaidi ya kumchezea tu.
Mwanamke akishakua demaged, overused, traumatised, shattered, battered, broken, destroyed, and dumped by bad boys hapo sasa ndipo ataanza kumtafuta nice guy wa kumuokoa.
Muda pekee ambao nice guy anakua chaguo la mwanamke ni pale ambapo mwanamke uyo ashakua demaged na bad boys, but when she is fresh, beautful, innocent she will reject the good guy.
The only time she needs a real man is when all hope is lost, the moment she is tired of playing bed to bed midfielder, taking abortions pills, sucking community cocks, now age is catching up with her she needs to retire.
The good guys take the left over while bad boys eat her fresh. My brother never be that good and understanding man, you deserve much better. Judge a woman harshly based on her past.
Don't be understanding man that will accept rubish into your life. If she says she has repent, let her repentance be for another man but not you.
Kweli kabisaUsimuonee huruma mwanamke.
Kweli kabisaBado unatafuta ajira
Kweli kabisaUkute ni dadako
Kweli kabisaSawa
Kweli kabisaTatizo ni mabadiliko ya kiuchumi na kiteknolojia; binti anataka anukie vizuri, amiliki biashara kubwa, awe na usafiri na mjengo mkubwa, aweze kuzunguka dunia, pia hawataki kuzeeka haraka; hii inawapelekea kutafuta watu wenye hela, baada ya kuzipata ndio anatafuta kichaka cha wenye sifa zingine.
Kweli kabisaUpo sahihi asilimia100 kuna kipindi mwanamke akinikwaza hata kidogo nakuwanamuangalia siongei anakuwa anatetemeka me nakuwa nakata vyombo
Kweli kabisaKwakweli umemaliza yote😊🙏
Hizi romantic movies hazina maana yoyote maana huko kwemye romantic movies ndio pengine ndoa hazidumu na usaliti ni mkubwa.Sure mkuu.. kitu kingine tujitahidi kuwaweka madogo mbali na romantic movies and songs, simp mentality ndo unaanziaga uko
Winyila wiluta ndakhu!???yani dunia ya saivi hakuna nice guy wa ku kalaga baho,,ni winyila sweeee